Weka na picha ya marehemu tumuone mkuu.Kaka (marehemu) anaitwa isack mwageni anaishi mbande magengeni,ameenda kuuliwa kitongoji cha mbande rufu mwenyekiti wa huko anaitwa sadiki.
Nikuwekee picha ya marehemu ufananinishe na wagonjwa wengine wa downs syndrome wanavyokuwa wanafanana?
Wewe juzi umetoka Kuandika ishu ya kumsingizia kesi Mchepuko wako ili afungwe sasa kama Polisi wanafunga watu kwa kesi hizo je inashindikanaje Raia kuua kwa style hiyo????Kuna walakini,
Uyo ndugu yake Ni kibaka sugu.
Hamna kesi pale, ndo maana polisi hawataki kujisumbua.
Serikali inawaamini Sana viongozi wa mtaa maana wa ndo wanawajua vibaka na wanaishi nao.
Wakisema huyu hapana, na wao wanasema hapana.
Inakua imeisha hivyo
Hata kama ni kweli ni mwizi,hivyo vitu vinathamani kuliko uhai??Ifike mahala tujichukulie TU sheria mkononi
Vyombo vya sheria vishakua sehemu salama Sana kwa wahalifu.
Wanapelekwa leo,ndugu mnaenda kuwatoa kesho kwa hongo.
Na wizi unaendelea kama kawaida.
Honestly Mwaka Jana nmeibiwa, ila kilichoandikwa polisi Ni upuuzi wkt ushahidi uko wazi na baadhi ya Mali wamekamtwa nazo.
Wewe Kama wewe unafanyaje hapo?
Binafsi,
Kwasasa hao Wezi wangu nadili nao mtaa kwa mtaaa na baadhi Yao tayar washaanza kuonja joto la karma yangu artificial.
Naunga mkono hojaIfike mahala tujichukulie TU sheria mkononi
Vyombo vya sheria vishakua sehemu salama Sana kwa wahalifu.
Wanapelekwa leo,ndugu mnaenda kuwatoa kesho kwa hongo.
Na wizi unaendelea kama kawaida.
Honestly Mwaka Jana nmeibiwa, ila kilichoandikwa polisi Ni upuuzi wkt ushahidi uko wazi na baadhi ya Mali wamekamtwa nazo.
Wewe Kama wewe unafanyaje hapo?
Binafsi,
Kwasasa hao Wezi wangu nadili nao mtaa kwa mtaaa na baadhi Yao tayar washaanza kuonja joto la karma yangu artificial.
Ndo maana kuna police na mahakama mzee.,sasa umemuua mtu kama huyo,next time unakuja kuskia ni mginjwa akili..utakuwa at peace kweli??hutajutia uamuzi uliofanya?Kaka,
Hicho kipimo Cha kumpima mtu huo utimamu wake wa akili usiku wa manane na nmeshamkamata ready handled na mali yangu kaniibia nakipata wapi?
Hebu vingine jiongeze mwnyw, ungelikua wee unafanyaje?
Akipata hiyo huruma toka kwetu inamsaidia nini??umejuaje ? inawezakua moja ya njia ya mtoa mada kuvutia kwake na kutaka huruma
hmm, muulize mtoa madaAkipata hiyo huruma toka kwetu inamsaidia nini??
GoodHumu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.
Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.
Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.
KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.
Mtoa mada kajipange[emoji3525]
Sahii kabisaPole sana mkuu sidhani kama hicho kisa kilitokea tu kwa bahati mbaya inawezekana hao raia waliona kuna viashiria vya kaka yako kufanya uhalifu au kutokana na tatizo lake alifanya/alikua sehemu iliyotokea uhalifu.
Kwani Sheria ya mtu kujichukulia Mali ya mwenzie kwa nguvu imetungwa lini?Hii sheria ya kuua mnaodhania ni Wezi ometungwa lini?
Kabisa,story ya upande mmoja hii
Siwezi kamwe kutetea vibakaAcha roho mbaya sheikh.. haya jamaa kashapoteza ndugu yake na ww umefaidika nn sasa!!
Kama mnajua anatatizo la akili lawama ziende kwa waangalizi wake na sio waliomshughulikiaMzee mbona unatoa povu sana nimekwambia bro ana tatizo la akili tangu kuzaliwa kwake ni tahira
NB:hata Mimi nilikuwa nafurahia mwizi akipokea kipondo na wewe siku ndugu yako akipigwa moto na unajua fika sio mwizi ndio utajua kwanini serikali inakataza raia kujichukulia sheria mkononi
Ifike mahala tujichukulie TU sheria mkononi
Vyombo vya sheria vishakua sehemu salama Sana kwa wahalifu.
Wanapelekwa leo,ndugu mnaenda kuwatoa kesho kwa hongo.
Na wizi unaendelea kama kawaida.
Honestly Mwaka Jana nmeibiwa, ila kilichoandikwa polisi Ni upuuzi wkt ushahidi uko wazi na baadhi ya Mali wamekamtwa nazo.
Wewe Kama wewe unafanyaje hapo?
Binafsi,
Kwasasa hao Wezi wangu nadili nao mtaa kwa mtaaa na baadhi Yao tayar washaanza kuonja joto la karma yangu artificial.
Kaleta Uzi uku ili iweje sasa?Akipata hiyo huruma toka kwetu inamsaidia nini??
Lawama ziwaendee hao waangalizi wake,Ndo maana kuna police na mahakama mzee.,sasa umemuua mtu kama huyo,next time unakuja kuskia ni mginjwa akili..utakuwa at peace kweli??hutajutia uamuzi uliofanya?