Kaka yangu amechomwa Moto kwa kudhaniwa ni mwizi

Kaka yangu amechomwa Moto kwa kudhaniwa ni mwizi

Naunga mkono hoja
Niliwahi kuibiwa na wahuni walioshawishiana na ndugu na ushahidi ukawa wazii lakini hakuna walichofanya. Zaidi baba wa wale wahuni alikuwa kijana wa mjini akaenda polisi akaongea na mkuu wa kituo file likabadilishwa mpelelezi bila sababu na kazi ikaishia hapo nkapoteza mali zangu.
Pole Sana binamu[emoji26]
Wezi tunamalizana nao uku uku mtaani
 
Hata kama ni kweli ni mwizi,hivyo vitu vinathamani kuliko uhai??
Wezi wamewatoa wangapi uhai wakiwa kwny shughuli zao za jihalifu?

Au uhai unathamani kwao TU na sio sisi raia?
 
Kama mnajua anatatizo la akili lawama ziende kwa waangalizi wake na sio waliomshughulikia
Mtu amelelewa miaka 48 ya ugonjwa kwanini asingepotea kipindi akiwa kijana au mtoto
Ukikutwa eneo la tukio ukiwa ready handled na Mali ya mtu.

Aisee pale Bila ya cheti Cha daktari kwenye walet kuthibitisha kua una ugonjwa wa akili Ni sahii kabisa kupigwa kibiriti.
Mtu tahaira umpe cheti cha Daktari atembee nacho? Uko seriously kweli?
Vinginevyo,
Mlitakiwa mtoa taarifa mapema jamii itambue kua inaishi na mlemavu wa akili.
Unamaanisha tungekuwa tunatembea mbagala yote kutangaza kuwa ndugu yetu ana ugonjwa wa akili?
Kifo Cha ndugu yenu Ni uzembe wenu wenyewe.
Kama ni uzembe kwa nini uzembe usingetokea tangu akiwa mtoto mpka kijana kwanini uzembe utokee akiwa na miaka 48.!!!
 
Mkuu ulikuwepo eneo la tukio why udhani alikamatwa na kitu cha wizi
Sikuwepo, Mimi Ni Kama wewe tu.
Ila siwez kutetea wizi hata siku moja.

Vinginevyo mtoa mada aje na solid evidence kwamba ndugubyaje sio mwizi.

Anasema Ni mgonjwa wa akili,
ila mpk sahv Uzi unatembea page kibao sijaona akileta Cheti kuthibitisha huo ugonjwa wa ndugu yake.

Kama sio porojo hizi Ni Nini Sasa[emoji848]
 
Lawama ziwaendee hao waangalizi wake,

Kifo Cha ndugu wa mtoa mada atulie na achukulie Kama Ni ajali Kama ambavyo uyo ndugu yake mlemavu angegongwa na gari barabarani.
NB:hata Mimi nilikuwa nafurahia mwizi akipokea kipondo na wewe siku ndugu yako akipigwa moto na unajua fika sio mwizi ndio utajua kwanini serikali inakataza raia kujichukulia sheria mkononi
 
Inasikitisha sana Kaka yangu ni mlemavu wa akili (ana downs syndrome) hata kumuangalia kwa macho unajua kabisa huyu mtu kichwani hakuna kitu.

Majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio ghafla tukapewa taarifa kuwa ameitiwa mwizi amechomwa moto, amekamatwa mzima mzima wala hawajampiga wamemfunga mikono wamemvisha tairi wamemchoma moto [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] .

Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Pole sana mkuu, nimevaa viatu vyako nimejiona ni punje ya sukari ndani ya bahari
 
,(majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio,)
Umesoma vizuri na kuielewa hiyo paragraph? Uyu alitoroka akaenda sehemu tofauti ambayo hajulikani na mtu yoyote..unaijua downs syndrome?

NB:hata Mimi nilikuwa nafurahia mwizi akipokea kipondo na wewe siku ndugu yako akipigwa moto na unajua fika sio mwizi ndio utajua kwanini serikali inakataza raia kujichukulia sheria mkononi
Na inawezekana watu walimtumia kufanya uhalifu( hao waliokuwa nae tangu apotee) all in all sababu hayuko sawa, walitakiwa wasimpige kabisa,.
 
Inasikitisha sana Kaka yangu ni mlemavu wa akili (ana downs syndrome) hata kumuangalia kwa macho unajua kabisa huyu mtu kichwani hakuna kitu.

Majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio ghafla tukapewa taarifa kuwa ameitiwa mwizi amechomwa moto, amekamatwa mzima mzima wala hawajampiga wamemfunga mikono wamemvisha tairi wamemchoma moto 😭😭😭😭😭 .

Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana mkuu. Kama kweli ulicho kuandika hapa ni kweli, piga a mpaka haki ya kakako ipatikane. Anzia kwa mtendaji wa mtaa/ kijiji, Kata,...... Mkuu wa wilaya, mkoa hadi kwa Rais. Kila niliye mtaja ukimuandikia barua (baki na nakara) akishindwa kukusaidia Nenda ngazi ya juu. Nadhani kuna sehemu utasikilizwa na ya kakako itatendeka.
 
Mtoa mada usitake kutuhamisha goli.

Binafsi natembea Sana usiku, na Mara kibao nishakamtwa na hao hao sungusungu usiku wa manane.
Ila sijawai dhurika kwa namna moja ama nyingine.

Nnachokifahamu ktk operation zao usiku hutembea na viongozi kadhaa wa mtaa.

Wakishakukamata,
Hawa viongozi wa mtaa wanakuhoji wewe Ni Nani, unaishi wapi, unafanya shughuli gan, unaelekea wapi, unatoka wapi.

(Ukiwa ni mtu mwema kwny jamii na huna historia ya uhalifu, hakuna anayehangaika na wewe)

Ayo unayosema Kwamba wamemvamia tu na ghafla kuanza kumchoma TU kibiriti hayawezekani kabisa.

Vinginevyo uyo ndugu yenu ana historia ya uhalifu hapo kabla.

Na Kama Ni suala la uhalifu,
Hapo ninyi Kama ndugu Kuna namna mmefeli kwny suala Zima la malezi[emoji4]

Nchi haiwezi kuendelea kwa kukumbatia wezi na vibaka wanaoishi kwa kutegemea utelezi wa jasho la watu.

Wezi na Vibaka wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma, na wanapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.
Kenge huwa hasikii hadi atoke damu masikioni.
 
Mtoa mada usitake kutuhamisha goli.

Binafsi natembea Sana usiku, na Mara kibao nishakamtwa na hao hao sungusungu usiku wa manane.
Ila sijawai dhurika kwa namna moja ama nyingine.

Nnachokifahamu ktk operation zao usiku hutembea na viongozi kadhaa wa mtaa.

Wakishakukamata,
Hawa viongozi wa mtaa wanakuhoji wewe Ni Nani, unaishi wapi, unafanya shughuli gan, unaelekea wapi, unatoka wapi.

(Ukiwa ni mtu mwema kwny jamii na huna historia ya uhalifu, hakuna anayehangaika na wewe)

Ayo unayosema Kwamba wamemvamia tu na ghafla kuanza kumchoma TU kibiriti hayawezekani kabisa.

Vinginevyo uyo ndugu yenu ana historia ya uhalifu hapo kabla.

Na Kama Ni suala la uhalifu,
Hapo ninyi Kama ndugu Kuna namna mmefeli kwny suala Zima la malezi[emoji4]

Nchi haiwezi kuendelea kwa kukumbatia wezi na vibaka wanaoishi kwa kutegemea utelezi wa jasho la watu.

Wezi na Vibaka wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma, na wanapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.
Umeambiwa alikuwa mgonjwa wa akili
 
Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.

Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.

Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.

KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.

Mtoa mada kajipange[emoji3525]
Still anaweza kuwa alipotea na kuenda mbali eneo ambalo hamna anaejua kuhusu udhaifu wake. Sasa wenda amefika huko akachukua mali ya mtu (kwa akili yake aliona sawa kulingana na matatizo yake) na kukutwa nayo read handed na kwa kuwa huwa hawawezi kujielezea kutokana na udhaifu wao, basi kibao kikamgeukia. So mazingira kama hayo yapo sana ndugu yangu. HII NI KAMA BAADA YA TUKIO KUTOKEA, NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WANAJUA ALIEHUKUMIWA ANA MATATIZO YA AKILI KITAMBO
 
Mtu mwenye down sydrome anajulikana hata kwa kumuangalia aseee !! Hata speech mara nyingi huwa hawako vizuri kabisa !! Hawa watu aidha walifanya makusudi !! Mlemavu wa akili anaonekana kabisa yaani !!
 
Sawa kaenda sehemu hajulikani, nmekubali.

Vipi suala la kumpiga mpk kumchoma,
Unataka kunambia walimkuta wakapiga tu Bila hata kumhoji?

Mbona haiingii akilini?

Uku kwetu mbona wehu na vichaa mbalimbali wanazurura mji mpk mji na hatujawai sikia kesi ya mwehu au kichaa kauwawa bahati mbaya akidhaniwa Ni mwizi?

Unajua nikwambie kitu mkuu,
Hapo huwez pata sapoti yoyote ile.

Hata hao polisi wenyewe ulikoenda kushtaki washawachoka hao wezi na Vibaka, wanawaharibia kazi yao.

Ndo maana kesi za vibaka kuuwawa na Sungu Sungu huwa hazna Nguvu kabisa hata uende ikulu maana serikali yenyewe inajua kabisa wezi ndo Hawa Hawa tunaioshi nao.

Na wazazi ndo Kama nyie mnaowafuga.

Na sungusungu na viongozi wanawajua wezi wanaosumbua mtaa.

Hiyo kesi achana nayo mkuu, Fanya tu ishu nyingine.
We jamaa unatumia nn kufikiri?
Ukitanguliza gadhabu mbele hauwezi tatua lolote,
Ina maana ww unaharalisha kitendo cha walinda amani mtaani mida ya usiku kujichukulia sheria mkononi?
Unaharalisha uhalifu hadharani masta...
 
Mtoa mada usitake kutuhamisha goli.

Binafsi natembea Sana usiku, na Mara kibao nishakamtwa na hao hao sungusungu usiku wa manane.
Ila sijawai dhurika kwa namna moja ama nyingine.

Nnachokifahamu ktk operation zao usiku hutembea na viongozi kadhaa wa mtaa.

Wakishakukamata,
Hawa viongozi wa mtaa wanakuhoji wewe Ni Nani, unaishi wapi, unafanya shughuli gan, unaelekea wapi, unatoka wapi.

(Ukiwa ni mtu mwema kwny jamii na huna historia ya uhalifu, hakuna anayehangaika na wewe)

Ayo unayosema Kwamba wamemvamia tu na ghafla kuanza kumchoma TU kibiriti hayawezekani kabisa.

Vinginevyo uyo ndugu yenu ana historia ya uhalifu hapo kabla.

Na Kama Ni suala la uhalifu,
Hapo ninyi Kama ndugu Kuna namna mmefeli kwny suala Zima la malezi[emoji4]

Nchi haiwezi kuendelea kwa kukumbatia wezi na vibaka wanaoishi kwa kutegemea utelezi wa jasho la watu.

Wezi na Vibaka wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma, na wanapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.
Ushaambiwa una ulemavu wa akili unadhani katika hayo mahojiano angeweza kujibu na kuonekana hana hatia!
 
Mzee naona umeandika kwa uchungu wa kuibiwa dukani kwako sio...

Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.

Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.

Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.

KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.

Mtoa mada kajipange[emoji3525]
 
Back
Top Bottom