Kaka yangu amechomwa Moto kwa kudhaniwa ni mwizi

Kaka yangu amechomwa Moto kwa kudhaniwa ni mwizi

Mtoa mada usitake kutuhamisha goli.

Binafsi natembea Sana usiku, na Mara kibao nishakamtwa na hao hao sungusungu usiku wa manane.
Ila sijawai dhurika kwa namna moja ama nyingine.

Nnachokifahamu ktk operation zao usiku hutembea na viongozi kadhaa wa mtaa.

Wakishakukamata,
Hawa viongozi wa mtaa wanakuhoji wewe Ni Nani, unaishi wapi, unafanya shughuli gan, unaelekea wapi, unatoka wapi.

(Ukiwa ni mtu mwema kwny jamii na huna historia ya uhalifu, hakuna anayehangaika na wewe)

Ayo unayosema Kwamba wamemvamia tu na ghafla kuanza kumchoma TU kibiriti hayawezekani kabisa.

Vinginevyo uyo ndugu yenu ana historia ya uhalifu hapo kabla.

Na Kama Ni suala la uhalifu,
Hapo ninyi Kama ndugu Kuna namna mmefeli kwny suala Zima la malezi[emoji4]

Nchi haiwezi kuendelea kwa kukumbatia wezi na vibaka wanaoishi kwa kutegemea utelezi wa jasho la watu.

Wezi na Vibaka wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma, na wanapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.
Pond himself again.
Baba G
Leo mwamba umekuwa mkali sana
Kumbuka huo ni upande wa mleta mada mkuu other side of story who knows the fact
But hao vibaka na wale wanaotuibia rasilimali za nchi yetu tuwafanyaje mkuu
Mwizi wa kuku ,Bata,kabarib etc sawa wachomwe how about hao hulligans

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Pond himself again.
Baba G
Leo mwamba umekuwa mkali sana
Kumbuka huo ni upande wa mleta mada mkuu other side of story who knows the fact
But hao vibaka na wale wanaotuibia rasilimali za nchi yetu tuwafanyaje mkuu
Mwizi wa kuku ,Bata,kabarib etc sawa wachomwe how about hao hulligans

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hao wakubwa wanyongwe kabisa [emoji4]
 
Dah! Pole sana mkuu! Hili suala la watu kujichukulia sheria mkononi linawaathiri watu wengi wasio na hatia.
Mkuu,kama hujawahi kuibiwa unaweza kusema hivyo,me juzi nimechapwa laptop yangu ambayo was everything to me,nimeapa sitokuwa na huruma na mtu yeyote anaedhaniwa kuwa kibaka.
 
Kuna kitu hapa.
Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.

Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.

Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.

KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.

Mtoa mada kajipange[emoji3525]
 
Ha ha ha....
Hzo kesi na wahalifu wangu tuziweke pembeni chief[emoji4]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Pembeni tena mbona kesi ni moja mzew..!! Wangapi wanaitiwa wezi na hata sio wezi na raia wanapiga mpaka kuua
 
Ifike mahala tujichukulie TU sheria mkononi

Vyombo vya sheria vishakuwa sehemu salama sana kwa wahalifu.

Wanapelekwa leo,ndugu mnaenda kuwatoa kesho kwa hongo.
Na wizi unaendelea kama kawaida.

Honestly Mwaka Jana nmeibiwa, ila kilichoandikwa polisi Ni upuuzi wkt ushahidi uko wazi na baadhi ya Mali wamekamtwa nazo.

Wewe Kama wewe unafanyaje hapo?

Binafsi,
Kwasasa hao Wezi wangu nadili nao mtaa kwa mtaaa na baadhi Yao tayar washaanza kuonja joto la karma yangu artificial nnavyowanyoosha kimya kimya mmoja baada ya mwingine[emoji3525].
Wapige asidi mmoja baada ya mmoja utakuwa umeusaidia mtaa.
Na mpango wa kubeba wali wa sumu night kali nipite mitaa ya vibaka wakinikaba nawaambia kuleni wali huo sina kitu nimetoka kwenye sherehe.
 
Wezi na wachawi ni kuwapa hukumu ya torati wakiingia anga zetu maana usiombe uingie anga zao hawana huruma kabisa
 
Amechomwa moto mtaa huohuo anaoishi au kwingine tu?

Kama "kichwani hamna kitu",uwezekano wa yeye kukwapua kitu na kukimbia upo.

Jungle justice ikiendekezwa ni tatizo kubwa, nakumbuka waendesha bodaboda walivyokuwa wanachoma magari hata kama chanzo cha ajali ni mwenzao.
 
Kaleta Uzi uku ili iweje sasa?

Au uku sikuhizi kimekua kituo Cha polisi kumshughulikia jinai Kama hizo?

Polisi wamemkataa ndo maana kaja uku kutafuta huruma[emoji3525]
Si kaleta habari zake kama uluvyoleta zako za michepuko zako na wadogo zake tukasoma na kuchangia? What is wrong with you man?
 
wabongo huwajui wewe, mantiki ya uzi ni kutaka huruma
Huruma kivipi? Huyo mtu kachomwa moto mleta mada hajasema nihurumieni jamani, hajasema naombeni msaada. Kaleta tu habari ya yaliyomtokea ndugu yake. Mbona jambo la kawaida sana? Kuhusu kuwa na hatia au kutokuwa na hatia hakuna anayeweza kuthibitisha ndo maana tunaichukua habari kama ilivyo na kumpa pole.
 
Huruma kivipi? Huyo mtu kachomwa moto hajasema nihurumieni jamani, hajasema naombeni msaada. Kaleta tu habari ya yaliyomtokea ndugu yake. Mbona jambo la kawaida sana? Kuhusu kuwa na hatia au kutokuwa na hatia hakuna anayeweza kuthibitisha ndo maana tunaichukua habari kama ilivyo na kumpa pole.
sawa mpe pole
 
Ndo maana nikasema mtoa mada achukulie Kama Ni ajali.

Haina haja kuwalaumu waliomshughulikia maana ndugu yake uyu wkt anakamtwa hakutembea na Cheti na kuwaonyesha kua Ni mgonjwa wa akili washambuliaji wakakikataa .

Hapo lawama ziende kwa waangalizi, pia ichukuliwe Ni bahat mbaya TU[emoji26]
Ndugu yangu, huyu ndugu yake kauwawa na kwa anavyoamini kauwawa kimakosa na kinyume cha sheria za nchi yetu. Embu vaa viatu vyake.
 
Mkuu,kama hujawahi kuibiwa unaweza kusema hivyo,me juzi nimechapwa laptop yangu ambayo was everything to me,nimeapa sitokuwa na huruma na mtu yeyote anaedhaniwa kuwa kibaka.
Anayedhaniwa🤬🤬🤬🤬🤬 yaani utapiga tu sababu amedhaniwa bila kuthibitisha? Hapo umeibiwa laptop😂😂😂😂.

WE PIGA ILA USIOMBE TU UKUTANE NA JAMHURI UINGIZWE KULE KWENYE KACHUMBA CHA WATU WAUAJI. TUKORADANI TUKAGONGWA GONGWA UTAJE WENZAKO
 
Mkoa gani huko?
Mimi ninae binamu ambaye naye ni mgonjwa wa akili maji kupwa kujaa. Sasa Kuna siku hiyo Hali ikamjia akiwa Arusha halafu akaingia kwenye compound ya watu. Aisee walipiga, ng'oa meno mpaka walipokuja kugundua kua sii mwizi walishamharibu sura vya kutosha.
Soo sad watu wanapenda kuona damu ikimwagika.
 
Back
Top Bottom