Kaka yangu amechomwa Moto kwa kudhaniwa ni mwizi

Kaka yangu amechomwa Moto kwa kudhaniwa ni mwizi

Hivi mkuu umemkamata mwizi wako kabeba kitu chako, nyumban kwako usiku wa manane na humjui.

Hicho kipimo Cha akili unakipata wapi MDA huo?
Ndio lengo la kutojichukulia sheria mkononi, ili kuepuka mtu asiye na hatia kama huyu kuuwawa kwa mateso namna hiyo
 
Mkuu,
Unawajua wezi au unawasikia?

Hivi mkuu ulishawahi bananishwa na wezi wakiwa katika kazi zao?

Wametumwa Kuja kuichukua chao?

Mwizi akiwa KAZIni suala la kukutoa uhai achukue anachotaka Ni dkk sifuri.

Binafsi siwezi kua na huruma na mwizi, WAUWAWE TU[emoji3525]
Umeambiwa huyu alikuwa na matatizo ya akili, huelewi nini, wewe ni taahira?
 
Ifike mahala tujichukulie TU sheria mkononi

Vyombo vya sheria vishakuwa sehemu salama sana kwa wahalifu.

Wanapelekwa leo,ndugu mnaenda kuwatoa kesho kwa hongo.
Na wizi unaendelea kama kawaida.

Honestly Mwaka Jana nmeibiwa, ila kilichoandikwa polisi Ni upuuzi wkt ushahidi uko wazi na baadhi ya Mali wamekamtwa nazo.

Wewe Kama wewe unafanyaje hapo?

Binafsi,
Kwasasa hao Wezi wangu nadili nao mtaa kwa mtaaa na baadhi Yao tayar washaanza kuonja joto la karma yangu artificial nnavyowanyoosha kimya kimya mmoja baada ya mwingine[emoji3525].
Wewe jamaa ni mpumbavu wa mwisho.
Unajifanya una roho mbaya kumbe chocolate tu
 
  • Kicheko
Reactions: amu
Hivi mkuu umemkamata mwizi wako kabeba kitu chako, nyumban kwako usiku wa manane na humjui.

Hicho kipimo Cha akili unakipata wapi MDA huo?
Solution ni kumuua?
Hana silaha hana chochote ila kaiba na umemkamata unamuua?

Acha upunguani
 
  • Kicheko
Reactions: amu
Liongo tu wewe

Mwaka 2000 kulikua na bodaboda au unataka uonekane una hasira na wezi

Liongo tu
Kaka,
Wewe utakua wa juzi, au umeamua tunkubishia uzoefu

Angalia Hapa,
sheria ya kuruhusu bodaboda imekuepo tangu 2001 na bunge la JMT.

Hizi Ndo Aina ya leseni zilizokua zinatolewa.

Nmeambatanisha na PDF yake
2022-02-26-01-25-13.jpg
Screenshot_20220226-012247.jpg
 
Nimesema boda boda zimeanza mwishoni mwa mwaka 2000! Maana yake ni kati ya mwaka 2008/2009/2010!!!
Mkuu,
Uyo kaamua kubishia uzoefu TU.

Bodaboda wapo kitambo sana.

Angalia Hapa tangu 2001 bunge lishapitisha sheria na wanapewa leseni rasmi kabisa za usafirishaji wa abiria.

Uyu anabishia uzoefu TU, au Ni wajuzi uyu,
Nmeambatanisha na PDF afungue asome mwnyw[emoji117]View attachment PikipikiZaAbiria_sw.pdf
2022-02-26-01-25-13.jpg
 
Sahii kabisa,
Hizi janja janja za kujifanya Ni mgonjwa wa akili zinatumika Sana skuhizi.

Maana mateja na waathirika wa bangi nao Skuhzi wanaitwa wagonjwa wa akili[emoji3525]
Hii msg nakulenga wewe. Yaani mpaka ndugu yako au wewe upigwe kwa kudhaniwa mwizi ndio utawaelewa walalamikaji kama Msweden
 
  • Kicheko
Reactions: amu
Broh aisee yaani kama ni mimi wameniulia ndugu yangu natafuta damu yenye h.i.v + kivyovyote iwavyo nawaingizia kwa namna yoyote watakufa taratibu huku wakijuta.
 
Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.

Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.

Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.

KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.

Mtoa mada kajipange[emoji3525]
Hakika... Likitokea baya basi ni kuonewa...
 
Mtoa mada usitake kutuhamisha goli.

Binafsi natembea Sana usiku, na Mara kibao nishakamtwa na hao hao sungusungu usiku wa manane.
Ila sijawai dhurika kwa namna moja ama nyingine.

Nnachokifahamu ktk operation zao usiku hutembea na viongozi kadhaa wa mtaa.

Wakishakukamata,
Hawa viongozi wa mtaa wanakuhoji wewe Ni Nani, unaishi wapi, unafanya shughuli gan, unaelekea wapi, unatoka wapi.

(Ukiwa ni mtu mwema kwny jamii na huna historia ya uhalifu, hakuna anayehangaika na wewe)

Ayo unayosema Kwamba wamemvamia tu na ghafla kuanza kumchoma TU kibiriti hayawezekani kabisa.

Vinginevyo uyo ndugu yenu ana historia ya uhalifu hapo kabla.

Na Kama Ni suala la uhalifu,
Hapo ninyi Kama ndugu Kuna namna mmefeli kwny suala Zima la malezi[emoji4]

Nchi haiwezi kuendelea kwa kukumbatia wezi na vibaka wanaoishi kwa kutegemea utelezi wa jasho la watu.

Wezi na Vibaka wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma, na wanapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.
Hakika, tena siku hizi wameenda mbali zaidi na kuweka vizuizi vya magari mitaani, ukipita wa manane, unasimamishwa wanakuhoji kama ni wa kitaa hapo hapo wanakuachia upite...

Kama hueleweki wanakungangania kweli...
 
Hakika, tena siku hizi wameenda mbali zaidi na kuweka vizuizi vya magari mitaani, ukipita wa manane, unasimamishwa wanakuhoji kama ni wa kitaa hapo hapo wanakuachia upite...

Kama hueleweki wanakungangania kweli...
Sahii kabisa[emoji4]
 
Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.

Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.

Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.

KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.

Mtoa mada kajipange[emoji3525]
kuna kitu kinapikwa time will tell
 
Hakika, tena siku hizi wameenda mbali zaidi na kuweka vizuizi vya magari mitaani, ukipita wa manane, unasimamishwa wanakuhoji kama ni wa kitaa hapo hapo wanakuachia upite...

Kama hueleweki wanakungangania kweli...
shida ni kwamba hata hao nyungu wakizidiwa wanaiba,binafsi kuna kakundi ka nyungu walihongwa kunifanyia fujo nikawatoa nduk
 
Tafuta mmoja mmoja malizana nao
Kuwa na roho ngumu zaidi yao

Tafuta chura mmoj hivi ana sumu inayopenya kwenye nerves halafu andaa visindano vidogo dogo au pete fulani yenye pini chom yule chura halafu dili nao mmoja mmoja jua, ratiba zao hasa sehem za starehe. Choma mmoja baada ya mwingine.
Au tafuta insulin halafu anza nao harakati mmoja baada ya mwingine.
 
Back
Top Bottom