Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
2000,
Nmefatwa nyumbani na majambazi wakanikosa na kuijeruhi familia yangu wakiilazimisha iseme nilipo.
Alhamdullillah nilishapata tip kwa bodaboda mmoja nikaenda kulala gesti badala ya nyumban usiku ule.
We mzee hebu acha kuniokota basi...huu mwaka hakukuwa na bodaboda