KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Poleni sana
Tujifukize jmn
Tujifukize jmn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna lolote tapeli la chanjo wewe!Mkuu vipimo vya Corona vilifanyika na majibu yalikuwa positive.
pia mkuu Corona husababisha pneumonia, na hii ndo inayoua watu sana...Jaribu kusoma kidogo kuhusu Covid Mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23] madalali wa chanjo hawapendi kusikia hii!!kwan ukichanjwa huuguwi? na balakoa huvai? na je huambukiz? maana kama nilisikia hata kama umechanjwa lazima uvae barakoa na kama kuambukizwa utaamubukzwa tu!!sasa kuna maana gan ya kuchanjwa,,, off couse ni hiari ya mtu!!
Inategemea na unavyoumwa.kama ukifikia stage ya kupumua kwa shida solution ni kwenda hospitali kupatiwa oxygen. Inategema na unavyoumwaNaunga mkono hoja kama taifa tungeendelea kuwa na msimamo ule ule coz wagonjwa walikuwepo na tulikuwa tukijiuguza nyumbani na tunarudi uraiani sasa angalia tulivyoanza kuishi kwa mihemko madhara yake ndio haya
Mbona mnawapeleka watoto wenu kupata chanjo za kifaduro,pepopunda nakadhalika ili wasife.Poleni sana, chanjo haizuii kifo
Ahsante
Pole zao kwa kweli...ila chanjo haizuii chochote kuhusu coronaPoleni. I feel your pain. It is sad. Chanjo ikitufikia tuchanjwe. Na tahadhali pia tuchukuwe. Na Mungu pia tuzidi kumwomba.
Unamaanisha nini wewe?Ukimchoma chanjo itakuwaje hawezi amka
Pole zao kwa kweli...ila chanjo haizuii chochote kuhusu corona
Chanjo tayari mkuuKaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando Mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.
Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.
Hakika ni majonzi makubwa.
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Ndiyo na hapanaKwa hiyo kutokuchanjwa kunazuia?