#COVID19 Kaka yangu amefariki kwa ugonjwa wa CORONA

#COVID19 Kaka yangu amefariki kwa ugonjwa wa CORONA

Mnakufa kwa hofu zenu wajinga!

Machinga wa Kariakoo, Makondakta, bodaboda wangekuwa wanapukutika kama wangekuwa na mihofu kama yenu.
Huyu mdudu ni kama zimwi mkuu, anapiga mahali anapotaka yeye kwa wakati unaomfaa yeye...
Yote kwa yote ni kuomba usikutane naye, na ukikutana naye basi asikupeleke akhera...
 
Sawa mkuu nikichanja sitoweza pata korona tena au kufa na korona? Swali tafadhali...

Na je maradhi mengine hayaui sasa hivi?
Kuchanja hakuna maana hutopata tena CORONA...

Bali......

Kazi cha chanjo ni kuuongezea mwili uwezo wa kupambana na UVIKO 19 ili mgonjwa asifike kuwa na hali ya hatari(kulazwa na kuwekewa gesi)......

#TujitokezeniKuchanjwa
 
Mnakufa kwa hofu zenu wajinga!

Machinga wa Kariakoo, Makondakta, bodaboda wangekuwa wanapukutika kama wangekuwa na mihofu kama yenu.
Sawa mkuu.....

Kwa hiyo wote waliolazwa na kupewa HEWA YA OKSIJENI ni kwa kuwa wana hofu.....

Ok mkuu
 
Mnakufa kwa hofu zenu wajinga!

Machinga wa Kariakoo, Makondakta, bodaboda wangekuwa wanapukutika kama wangekuwa na mihofu kama yenu.
Unayarudia maneno haya kila comment ,hwenda huna ndugu ,rafiki Wala jirani aliyepata UVIKO/KUFA KWA UVIKO....

Chanjo ni hiyari mkuu....
 
Malimau mengi,tangawizi nyingi,napilipili nyingi saaaana.. Korona utaisikia tuu jirani huuukooo.
 
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando Mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.

Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.

Hakika ni majonzi makubwa.

He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Poleni sana. It pains
 
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando Mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.

Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.

Hakika ni majonzi makubwa.

He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
So sad
 
Mkuu, mimi nimepata hii kitu. Niliumwa homa kwa wiki nzima, siku ya 9 miguu ikaanza kuvimba moyo kwenda mbio na Kukosa nguvu, wife wangu ni daktar alipoona hivo akasema Twende hospital, kutoka nyumban mpaka Agha Khan mjini niliendesha mwenyewe gari. Nimefika pale Nipo na uchovu haswaaa na moyo kwenda mbio, kuchek SPO2 tayari ishashuka to 90%, pia breathing ipo ya fasta fasta . X-ray ikaonyesha mapafu yote yana pneumonia na pia CRP ipo juu. Nikalazwa na ikalazimu kuwekwa kwa Oxygen. Aisee nakuambia isikie Corona kwa watu, usiombe yakukute.
Sasa pneumonia na corona wapi na wapi?

Wewe umeambiwa una pneumonia, lakini unang'ang'ania una corona!!

Yaanii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
my relative ametumia zaidi ya milioni 7 ICU akiwa kwenye oxygen support hospitali.tupate chanjo ndugu zangu.
Dalali wa chanjo kazini.

Umeanza na vitisho halafu baadae ukamalizia kupigia kampeni chanjo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Acha kucheza na akili za watu bwana mdogo!!
 
Sasa pneumonia na corona wapi na wapi?

Wewe umeambiwa una pneumonia, lakini unang'ang'ania una corona!!

Yaanii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu vipimo vya Corona vilifanyika na majibu yalikuwa positive.
pia mkuu Corona husababisha pneumonia, na hii ndo inayoua watu sana...Jaribu kusoma kidogo kuhusu Covid Mkuu.
 
Pole Sana ila hii staili ya corona kuua kwa sasa bora kuchanja maana sasa unafariki ukiwa mzima
kwan ukichanjwa huuguwi? na balakoa huvai? na je huambukiz? maana kama nilisikia hata kama umechanjwa lazima uvae barakoa na kama kuambukizwa utaamubukzwa tu!!sasa kuna maana gan ya kuchanjwa,,, off couse ni hiari ya mtu!!
 
Unaona sasa[emoji849]hizi ndio hofu tunazozizungumzia kama kila mtanzania atakuwa akihusisha kila uchovu na kujiskia vibaya ni corona tutapoteza watu wengi mno nachukia sana ninapoona watu tunapeana hofu na kukuza hizi habari.
sahih boss
 
Back
Top Bottom