Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Itafika mahali kila mtu atakuwa na covid viruses mwili kama ilivyo virus wa mafua n.k, baada ya hapo itabakia vita kati ya kinga na virus...
By the time ukiona mtu anaanza kuonesha hali ya kuumwa ni vile kinga zimezidiwa hivyo zinahitaji external boosters...
By the time ukiona mtu anaanza kuonesha hali ya kuumwa ni vile kinga zimezidiwa hivyo zinahitaji external boosters...