#COVID19 Kaka yangu amefariki kwa ugonjwa wa CORONA

#COVID19 Kaka yangu amefariki kwa ugonjwa wa CORONA

Poleni sana, leo mimi najisikia ovyo kweli nimetapika angalau najisikia nafuu sijui ndiyo yenyewe dah
Yenyewe hiyo, delta one mkuu, uchovu, kuharisha, kutapika,koo kuuma,,
Poleni sana,,hali ni mbaya mno
 
Mungu na sayans n vitu viwl tofaut. Ukiamua kufuata sayans fuata sayan, ukiamua kumfuata Mungu mfuate na uwe na iman yaan uachane na hizo mambo za uoga, ukiamua kumfuata Mungu na uuikane nafs yako na sio kuamn nusu nusu kuwa maji vugu,kwa hil ndpo watu wanafel, kama nchi imeamua kufuata iman na wafuate bila mikanganyo, nakama wameamua kufuata sayans wafuate kwel kwel bila kupuuza kitu, na ndpo ugunu ulipo
Sayansi ilitumika kuchapisha Biblia, kujenga makanisa, kusafirisha waumini na wachungaji, vipaza sauti, vyombo vya muziki etc...
Hivi kwanini unajitoa ufahamu na kusema dini na sayansi vikae separately?
Chanjo ni muhimu acheni upuuzi wenu!
 
Pressure Na uoga inawezekana ikawa Ndo sababu.

Akawa kama ametengwa hospital bila kupewa Huduma.

Pole sana
 
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.

Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.

Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Alivyo kuwa akisema Freeman Mbowe tena akitoa mifano hai kuanzia Mwanawe Dudley na hata karibuni tu alivyo zungumza kumpoteza Kaka yake Charles Mbowe na kuomba taifa lichukue tahadhari,alidhihakiwa sana tena humu humu kwa wana JF wenzetu, anyway MUNGU atuvushe na kutunusuru katika janga hili
 
Poleni sana. Halafu wakina Gwajiboy na kundi lake wanahubiri funza kuhusu chanjo, kaka yako alikuwa ni mzee??
 
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.

Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.

Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Pole sana huko Hai hali ni mbaya sana.. Ibada moja misiba 9
 
Hii kitu inawatokea wengi,ila ukijipeleka kwa matabibu inakuonesha adabu.
Chamsingi ukijiskia umechoka jilazimishe kutembeatembea,kula matunda kwa wingi,ondoa hofu ,baada ya mda mfup utaona nguvu zinaanza kurejea
 
Katika watu bado wabishi kuamini ili gonjwa lipo na linakata watu ni wasukuma jamani.nipo nao kanda ya ziwa ukimwambia ukweli hana kuambia angekuwepo magufuli haya yote yasingekuwepo [emoji23].
Sasa gonjwa linasubiria mtu
 
Huyo alikua na magonjwa mengine either kisukari au HIV,
Mkuu hii ya sasa imekuja kivingine nimempoteza mdogo wangu wiki iliyopita dada wa miaka 40 Hana sukari Wala HIV She was health aliwekewa oxygen siku 2 tu na nilikuwa nae emergency siku zote hizo tunazungumza anakula lakini alizidiwa ndani ya dk tano tu na kufariki.
 
Back
Top Bottom