Kaka yangu anaelekea kuoa bomu, nimnusuru vipi?

Maisha ukiyachukulia siriaz sana hutapiga hatua.
Yes umemtafuna alipokuwa malaya lakini huo ukurasa ameufunga.

Hauzi tena kei na huenda aliuza kwa taabu za dunia.
Mwache kaka aoe maisha hubadilika.

Watakuja watu kupinga lkn nawauliza...unajua huyo mpenzi wako ameliwa na nani wako?
 
Acha utani wewe...watu wanajisaidia jivi lakini sio tabia
 
Nambie nikupe hata andazi tu tafadhali❤️ analeta ujuaji na maisha ya watu huyo
 
Vyuma chakavu vitamwaga cheche sana huu uzi.. 🏃‍♂️ aisee jamaa anampenda kaka ake huwez kumuona mtu unaemtakia mema anaelekea kwenye shimo alaf ukanyamaza tuache unafki! Mchane bro live alaf ataamua kusikiliza au aendelee! Ila kama hii ni chai acha uchoko!
 
Halafu ulivyo mpumbavu unasema ikitokea Kaka yako ameoa basi IPO siku utapasha kiporo-unaonekana kichwani kwako una funza sio bure.
 
We ndo umeshindwa kubadilika mkuu,lakin watu uamua na inawezekana
Nikupe historia ya kweli.
Niliwahi kukutana na binti mrembo sana sana, nikiri hakuwa level zangu alipaswa awe na watu kama akina mond hivi.

Nilipomuona roho yangu ilipasuka sijawhi kuona.
Namna ya kumpata ilikuwa ngoma.
Nilichezesha mchezo kwa rafiki yangu wa kike tena kwa kumdanganya kuwa huyu binti kuna tajiri amtaka.


Lengo la kudanganya ni kwasababu huyu rafiki yangu alikuwa akitaka nimle lkn mimi sikuwa tayari kwani nilikuwa namheshimu mumewe so ningemwambia ukweli angeunguza mkanda.
Ni kweli nilifanikiwa kumnasa binti.

Tatizo alikuwa mtu wa viwanja sana hasa club.

But nilipoanza uhusiano naye yule binti alinielewa hadi nilishangaa akawa anataka hadi ndoa.

Nilimwambia T uko siriaz wataka ndoa?
Una uhakika umekata kiu ya ujana?

Alifunguka balaa na kunihakikishia kuwa G mimi sasa ni wako na ya dunia yametosha.

Nikamwambia usijali nitakupa muda uyahakiki maamuzi yako.

Nikamwambia huku unapotaka kuingia ukiiingia si unajua utamilikiwa na uhuru utapungua?
Kwa kifupi binti ali change mno.
Hakutaka tena hata tutoke saana na akili yake akaielekeza kwenye maendeleo.

Ulifika wakati ndg zake waliniheshimu mno kuwa nimemtuliza binti tmyao hadi wakamtaia jina la utani...sista yani wale watawa.

Akawa rafiki na mpenzi wangu wa maana mnoo.

Sina maneno mazuri ya kumuelezea huyo binti... watu hubadilika wakipata mtu sahihi......acha niiishie hapa
 
Acha zako bwana.
Unamuonea wivu bro anaenda kufaidi. Waache na mambo yao
Sure aache kihere here hata yeye sasa hivi kuna mtu anamgonga demu wake huku yeye baadae atamuoa kwa mbwembwe.
Ufike wakati tukubaki kuwa hakuna mtu wa peke yako.
Ataoa bikra lkn atagingwa ndani ya ndoa na hii inauma zaidi.
Bora agingwe gingwe akija kwangu atulie
 
Unajipitisha akukunbuke
Pamoja na kumla kwako hukuacha alama maishani mwake.
Tulia aolewe vinginevyo uolewe wewe😂
 
Eti anaoa bomu mbona wewe ulikula na wakati unakula ulikoj o lea kwa raha zote hukuona unakoj o lea bomu?
 
Kaka yako anaona kitu swaaafi. Kitu kinajua kupagawisha na wewe unataka kuroga mchakato.

Mwache bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…