Halafu ukute dada wa watu kabadilika kweli. Na bro amevutiwa na show yake...why kuwakatili?Sure aache kihere here hata yeye sasa hivi kuna mtu anamgonga demu wake huku yeye baadae atamuoa kwa mbwembwe.
Ufike wakati tukubaki kuwa hakuna mtu wa peke yako.
Ataoa bikra lkn atagingwa ndani ya ndoa na hii inauma zaidi.
Bora agingwe gingwe akija kwangu atulie
Huyu mwanamke nimemfahamu mwaka jana mwezi wa pili jijini Dar. Kila siku nilimkuta kwenye bar X yenye jina kubwa tu hapa Dar. Hakuwa mhudumu, bali alipretend kuwa mteja, kiuhalisia alikuwa anauza japo kwa kutumia akili pana sana! Alikaa
Msaada tafadhari!
Hahaha mbona hilo sio tatizo sii kitu cha kawaida tuu ama nyie hampendi kushare? Mke wangu mie mbona nampa uhuru wa kuonja de libolo zingineLa kushindwa kujizuia kumkojolea mke wa mtu🤔
Mbona hiyo ni nature wala sio tatizoLa kupenda mbususu kuliko chochote
Huendi mbinguni,wewe jamaa.Poa mshauri bro asimuoe huyo manzi. Ampige chini ili akuoe wewe.
KabisaHalafu ukute dada wa watu kabadilika kweli. Na bro amevutiwa na show yake...why kuwakatili?
Huyu mwanamke nimemfahamu mwaka jana mwezi wa pili jijini Dar. Kila siku nilimkuta kwenye bar X yenye jina kubwa tu hapa Dar. Hakuwa mhudumu, bali alipretend kuwa mteja, kiuhalisia alikuwa anauza japo kwa kutumia akili pana sana! Alikaa kwenye moja ya meza mle bar akiwa katika mavazi na mikao ya kimtego huku vidole vyake vyenye kucha ndefu za kizungu vikibofya screen ya simu yake, ndipo ungelijitokeza na kuanza mazungumzo naye, ungempatia pesa si chini ya 30k na bia za kumlewesha, kiulaini ungevuta chombo guest, maana zilikuwa mle mle kwa hotel. Kusema ukweli, hata mimi mwenyewe niliwahi kumchakata mara mbili tena kwa kukesha naye usiku kucha. Hakika anayajua mauno, anaijua miguno.
Mwezi wa saba mwaka huu nilienda kutembelea nyumbani Mwanza, ndipo kumkuta kaka yangu tayari kashafika. Safari hii alikuwa na binti mrembo asiye na mfano wa kufananishwa naye(yule yule binti). Nilipigwa butwaa mara ya kwanza nilipoonana nae, lakini licha ya kushangazwa kumkuta pale nyumbani, yeye binafsi hakunikumbuka kabisaa, wala kunivutia hata picha, tulisalimiana tu kibinadamu zaidi na ndipo dakika chache kaka yangu alinitambulisha kwa huyo binti. Ndipo ushemeji ukaanzia hapo. Nilithibitisha hili baada ya kuona hata mama yetu yuko serious kwenye mahusiano ya mwanae, huyu binti ndiye aliyekuwa anatupikia chakula pale nyumbani, hakika ni fundi pia wa mapishi jikoni.
Huyu binti anaonekana wazi kuwa tayari kashabadili mfumo wake wa kale wa maisha, kwa sasa ni mtu wa kusoma vijitabu vya ki Mungu Mungu i.e mnara wa mlinzi, kuangalia katuni sana na tamthiliya za star swahili. Simu yake haina password, pia yuko huru kuiacha sebuleni bila kuhofia chochote. Kuna siku nilikuwa nikimtazama na kumwongelesha kwa mtindo ule ambao niliutumia kipindi kile, ili ajigundue kuwa yeye ni nani aachane na kaka, lakini ndio kwanza hanikumbuki wala hakumbuki chochote.
Msaada wakuu, jinsi gani nitamnusuru kaka na huyu mwanamke? Shida sio kutafunwa na wanaume wengi, ila tatizo ni kuwa na mimi nishawahi kumtafuna mara mbili, tena kwa kumtangulizia pesa mbele! Nahisi namvua utu na heshima kaka yangu. Na kama watafanikisha, nahisi kuna siku nitapasha kiporo tu, kwa sababu namfahamu fika huyu binti.
Msaada tafadhari!
Utakuta umemfananisha na pacha wake ukadhani ndiye, kumbe siyo. Ila kama ameamua kutulia kwanini usinyamaze kimya, labda huyo ndiye wife material wake mkuu.Huyu mwanamke nimemfahamu mwaka jana mwezi wa pili jijini Dar. Kila siku nilimkuta kwenye bar X yenye jina kubwa tu hapa Dar. Hakuwa mhudumu, bali alipretend kuwa mteja, kiuhalisia alikuwa anauza japo kwa kutumia akili pana sana! Alikaa kwenye moja ya meza mle bar akiwa katika mavazi na mikao ya kimtego huku vidole vyake vyenye kucha ndefu za kizungu vikibofya screen ya simu yake, ndipo ungelijitokeza na kuanza mazungumzo naye, ungempatia pesa si chini ya 30k na bia za kumlewesha, kiulaini ungevuta chombo guest, maana zilikuwa mle mle kwa hotel. Kusema ukweli, hata mimi mwenyewe niliwahi kumchakata mara mbili tena kwa kukesha naye usiku kucha. Hakika anayajua mauno, anaijua miguno.
Mwezi wa saba mwaka huu nilienda kutembelea nyumbani Mwanza, ndipo kumkuta kaka yangu tayari kashafika. Safari hii alikuwa na binti mrembo asiye na mfano wa kufananishwa naye(yule yule binti). Nilipigwa butwaa mara ya kwanza nilipoonana nae, lakini licha ya kushangazwa kumkuta pale nyumbani, yeye binafsi hakunikumbuka kabisaa, wala kunivutia hata picha, tulisalimiana tu kibinadamu zaidi na ndipo dakika chache kaka yangu alinitambulisha kwa huyo binti. Ndipo ushemeji ukaanzia hapo. Nilithibitisha hili baada ya kuona hata mama yetu yuko serious kwenye mahusiano ya mwanae, huyu binti ndiye aliyekuwa anatupikia chakula pale nyumbani, hakika ni fundi pia wa mapishi jikoni.
Huyu binti anaonekana wazi kuwa tayari kashabadili mfumo wake wa kale wa maisha, kwa sasa ni mtu wa kusoma vijitabu vya ki Mungu Mungu i.e mnara wa mlinzi, kuangalia katuni sana na tamthiliya za star swahili. Simu yake haina password, pia yuko huru kuiacha sebuleni bila kuhofia chochote. Kuna siku nilikuwa nikimtazama na kumwongelesha kwa mtindo ule ambao niliutumia kipindi kile, ili ajigundue kuwa yeye ni nani aachane na kaka, lakini ndio kwanza hanikumbuki wala hakumbuki chochote.
Msaada wakuu, jinsi gani nitamnusuru kaka na huyu mwanamke? Shida sio kutafunwa na wanaume wengi, ila tatizo ni kuwa na mimi nishawahi kumtafuna mara mbili, tena kwa kumtangulizia pesa mbele! Nahisi namvua utu na heshima kaka yangu. Na kama watafanikisha, nahisi kuna siku nitapasha kiporo tu, kwa sababu namfahamu fika huyu binti.
Msaada tafadhari!