Kaka yangu anaelekea kuoa bomu, nimnusuru vipi?

Kaka yangu anaelekea kuoa bomu, nimnusuru vipi?

Sure aache kihere here hata yeye sasa hivi kuna mtu anamgonga demu wake huku yeye baadae atamuoa kwa mbwembwe.
Ufike wakati tukubaki kuwa hakuna mtu wa peke yako.
Ataoa bikra lkn atagingwa ndani ya ndoa na hii inauma zaidi.
Bora agingwe gingwe akija kwangu atulie
Halafu ukute dada wa watu kabadilika kweli. Na bro amevutiwa na show yake...why kuwakatili?
 
Huyu mwanamke nimemfahamu mwaka jana mwezi wa pili jijini Dar. Kila siku nilimkuta kwenye bar X yenye jina kubwa tu hapa Dar. Hakuwa mhudumu, bali alipretend kuwa mteja, kiuhalisia alikuwa anauza japo kwa kutumia akili pana sana! Alikaa

Msaada tafadhari!

Wanawake wengi wanafanya hao kutokana na changamoto za kimaisha mzee kama kapata mtu wa kumsitili muache asitilike mwenzio pengine ata wewe mke wako Aweza kua na dizain iyo mkuu
 
happy-businessman-holding-funny-huge-oversized-cup-of-black-cof-picture-id519282873-7.jpg

Imepoa sana
 
Kama binti walipima hana ngoma aisee bhasi usiseme nenoo maana kila mtu ana past yake mkuu usimuhukumuu maana hat huyo wako amini kuna mtu alishawahi mnunua uzuri ni hujui past yake na yeye kaamua kukuficha muache bro ale maisha
 
Me navoona we endelea tu na mambo yako achana na ya watu
Huyu mwanamke nimemfahamu mwaka jana mwezi wa pili jijini Dar. Kila siku nilimkuta kwenye bar X yenye jina kubwa tu hapa Dar. Hakuwa mhudumu, bali alipretend kuwa mteja, kiuhalisia alikuwa anauza japo kwa kutumia akili pana sana! Alikaa kwenye moja ya meza mle bar akiwa katika mavazi na mikao ya kimtego huku vidole vyake vyenye kucha ndefu za kizungu vikibofya screen ya simu yake, ndipo ungelijitokeza na kuanza mazungumzo naye, ungempatia pesa si chini ya 30k na bia za kumlewesha, kiulaini ungevuta chombo guest, maana zilikuwa mle mle kwa hotel. Kusema ukweli, hata mimi mwenyewe niliwahi kumchakata mara mbili tena kwa kukesha naye usiku kucha. Hakika anayajua mauno, anaijua miguno.

Mwezi wa saba mwaka huu nilienda kutembelea nyumbani Mwanza, ndipo kumkuta kaka yangu tayari kashafika. Safari hii alikuwa na binti mrembo asiye na mfano wa kufananishwa naye(yule yule binti). Nilipigwa butwaa mara ya kwanza nilipoonana nae, lakini licha ya kushangazwa kumkuta pale nyumbani, yeye binafsi hakunikumbuka kabisaa, wala kunivutia hata picha, tulisalimiana tu kibinadamu zaidi na ndipo dakika chache kaka yangu alinitambulisha kwa huyo binti. Ndipo ushemeji ukaanzia hapo. Nilithibitisha hili baada ya kuona hata mama yetu yuko serious kwenye mahusiano ya mwanae, huyu binti ndiye aliyekuwa anatupikia chakula pale nyumbani, hakika ni fundi pia wa mapishi jikoni.

Huyu binti anaonekana wazi kuwa tayari kashabadili mfumo wake wa kale wa maisha, kwa sasa ni mtu wa kusoma vijitabu vya ki Mungu Mungu i.e mnara wa mlinzi, kuangalia katuni sana na tamthiliya za star swahili. Simu yake haina password, pia yuko huru kuiacha sebuleni bila kuhofia chochote. Kuna siku nilikuwa nikimtazama na kumwongelesha kwa mtindo ule ambao niliutumia kipindi kile, ili ajigundue kuwa yeye ni nani aachane na kaka, lakini ndio kwanza hanikumbuki wala hakumbuki chochote.

Msaada wakuu, jinsi gani nitamnusuru kaka na huyu mwanamke? Shida sio kutafunwa na wanaume wengi, ila tatizo ni kuwa na mimi nishawahi kumtafuna mara mbili, tena kwa kumtangulizia pesa mbele! Nahisi namvua utu na heshima kaka yangu. Na kama watafanikisha, nahisi kuna siku nitapasha kiporo tu, kwa sababu namfahamu fika huyu binti.

Msaada tafadhari!
 
Mimi nimezaliwa na kaka yangu wawili tumbo moja tumezaliwa kwa kufuatana utasema mapacha so kitu kama hicho siwezi mficha

Ndugu wengine wapambane na hali zao hata wakioa malayaa
 
Huyu mwanamke nimemfahamu mwaka jana mwezi wa pili jijini Dar. Kila siku nilimkuta kwenye bar X yenye jina kubwa tu hapa Dar. Hakuwa mhudumu, bali alipretend kuwa mteja, kiuhalisia alikuwa anauza japo kwa kutumia akili pana sana! Alikaa kwenye moja ya meza mle bar akiwa katika mavazi na mikao ya kimtego huku vidole vyake vyenye kucha ndefu za kizungu vikibofya screen ya simu yake, ndipo ungelijitokeza na kuanza mazungumzo naye, ungempatia pesa si chini ya 30k na bia za kumlewesha, kiulaini ungevuta chombo guest, maana zilikuwa mle mle kwa hotel. Kusema ukweli, hata mimi mwenyewe niliwahi kumchakata mara mbili tena kwa kukesha naye usiku kucha. Hakika anayajua mauno, anaijua miguno.

Mwezi wa saba mwaka huu nilienda kutembelea nyumbani Mwanza, ndipo kumkuta kaka yangu tayari kashafika. Safari hii alikuwa na binti mrembo asiye na mfano wa kufananishwa naye(yule yule binti). Nilipigwa butwaa mara ya kwanza nilipoonana nae, lakini licha ya kushangazwa kumkuta pale nyumbani, yeye binafsi hakunikumbuka kabisaa, wala kunivutia hata picha, tulisalimiana tu kibinadamu zaidi na ndipo dakika chache kaka yangu alinitambulisha kwa huyo binti. Ndipo ushemeji ukaanzia hapo. Nilithibitisha hili baada ya kuona hata mama yetu yuko serious kwenye mahusiano ya mwanae, huyu binti ndiye aliyekuwa anatupikia chakula pale nyumbani, hakika ni fundi pia wa mapishi jikoni.

Huyu binti anaonekana wazi kuwa tayari kashabadili mfumo wake wa kale wa maisha, kwa sasa ni mtu wa kusoma vijitabu vya ki Mungu Mungu i.e mnara wa mlinzi, kuangalia katuni sana na tamthiliya za star swahili. Simu yake haina password, pia yuko huru kuiacha sebuleni bila kuhofia chochote. Kuna siku nilikuwa nikimtazama na kumwongelesha kwa mtindo ule ambao niliutumia kipindi kile, ili ajigundue kuwa yeye ni nani aachane na kaka, lakini ndio kwanza hanikumbuki wala hakumbuki chochote.

Msaada wakuu, jinsi gani nitamnusuru kaka na huyu mwanamke? Shida sio kutafunwa na wanaume wengi, ila tatizo ni kuwa na mimi nishawahi kumtafuna mara mbili, tena kwa kumtangulizia pesa mbele! Nahisi namvua utu na heshima kaka yangu. Na kama watafanikisha, nahisi kuna siku nitapasha kiporo tu, kwa sababu namfahamu fika huyu binti.

Msaada tafadhari!
Utakuta umemfananisha na pacha wake ukadhani ndiye, kumbe siyo. Ila kama ameamua kutulia kwanini usinyamaze kimya, labda huyo ndiye wife material wake mkuu.
 
Back
Top Bottom