MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Aksante Charity mama Mchungaji naomba kila siku uwe unampa Babu yangu lift asubuhi si unaona leo alivyo'ongoka' hadi analeta rahaImani huja kwa kusikia neno la Mungu.Ukimueleza kuwa ni dhambi atasikia na kuelewa.then atatubu.
Zamani kwa vile watu walikuwa wachache ilikuwa ruhusa kuoana kaka na dada.Kwa vyovyote atakuwa alimuoa dada yake.Wadau; nawatoa tu nje ya topic, nina swali gumu sana:
Mungu aliwaumba Adam na Hawa. Wakamzaa Cain na Abel, then Cain akamwua Abel. Lakini tunaambiwa Cain alikuwa na Uzao. Je Alizaa na nani?
Mama yake? Dada yake? Na kama ni hivyo, ilikuwaje?
Wadau; nawatoa tu nje ya topic, nina swali gumu sana:
Mungu aliwaumba Adam na Hawa. Wakamzaa Cain na Abel, then Cain akamwua Abel. Lakini tunaambiwa Cain alikuwa na Uzao. Je Alizaa na nani?
Mama yake? Dada yake? Na kama ni hivyo, ilikuwaje?
Zamani kwa vile watu walikuwa wachache ilikuwa ruhusa kuoana kaka na dada.Kwa vyovyote atakuwa alimuoa dada yake..
Aksante Charity mama Mchungaji naomba kila siku uwe unampa Babu yangu lift asubuhi si unaona leo alivyo'ongoka' hadi analeta raha
So kaka na dada (watoto wa Adam na Eve) watakuwa walioana wenyewe kwa wenyewe na ndivyo dunia ilivyojazwa
Hilo nalo nenosasa kama mshafanya mapenzi mara kadhaa kabla hamjauliza kama ni sawa au si sawa, leo hii ndo unauliza akikuoa ni sawa, kwani ndoa ni nini? until now i thought ndoa ni tendo la ndoa. ndo maana ndoa inakuwaga invalid kama hakuna tendo la ndoa, sasa yote mshafanya its so absurd!
kasema yeye mwislamu, hajui haya maandiko! nadhani X paster amemjibu vizuri
kweli kaka!
what about consequences?? mbona hili huwa mnalisahahu sana wakati mnajipa moyo? unafikiri Mungu mjinga?( hadhihakiwi)
..
We mjukuu wewe! Kwa mara ya tatu narudia leo niko kimaadili na kidini zaidi. Siyo kimila.Aksante Charity mama Mchungaji naomba kila siku uwe unampa Babu yangu lift asubuhi si unaona leo alivyo'ongoka' hadi analeta raha
I wish ningezaliwa enzi hizo.....! Lazima ningekuoa!Zamani kwa vile watu walikuwa wachache ilikuwa ruhusa kuoana kaka na dada.Kwa vyovyote atakuwa alimuoa dada yake.
Baadae watu walivyoongezeka Mungu akakataza kuoana kaka na dada kupitia sheria za torati ambazo Mungu alimpa Musa awape wana wa Israel.
I wish ningezaliwa enzi hizo.....! Lazima ningekuoa!