Kaka yangu kamtia mimba mama yetu mdogo. Hili lipoje kwa Wanyakyusa?

Katika watu ambao hawaruhusiwi kuwaoa ni kina mama wadogo, Shangazi, watoto kaka au wadogo zako maana hiyo ni laana.
Mbona hamsemi Putin atapata laana gani,haya mambo ya laana ni mzigo
 
Mama mdogo ni nduguu, maana unaweza nyonya ziwa lake, pindi mama mzazi akiwa hayupoo!! Kosa kubwa hili.
Kwa nilivyomuelewa huyo anayemuita mama mdogo (aliyejazwa) ni shemeji wa baba ake mdogo yaani mdogo wa mke wa baba ake mdogo aishie huko mjini mbeya.
Huyo mamdogo sio wa kumzaa ametoka koo ingine huko. Sema tu itakuwa siyo heshima kwa baba mdogo na familia yake.
 
Bro alipewa uno la tukuyu+mlo wa ndizi unakuta kitu nta nta na lile baridi ,lazima umwagilizie bustani ndani ya fensi,,,,halafu za kuku wa kienyeji zinashawishi sana kutembea pekupeku,,,......kongole kwa blaza
 
Ni watu wazima msiumize kichwa waacheni
 
Binamu inakuwa na aibu na maswali mengi ila huyu mamdogo wa kujuana naye baada ya dada ake kuolewa na baba mdogo mbali saaana
 
kama nimesoma kwa usahihi ni kwamba kaka yako amempa mimba mdogo wa mke wa baba yenu mdogo(ambaye naye siyo baba mdogo wa moja kwa moja ni mtoto wa Babu mdogo)

hapo hakuna undugu wowote Mimi nilidhani hata ametembea na huyo mke wa baba mdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…