BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Hii ni kweli kabisaFikra za kimasikini sana ndugu yangu. Kwanini unasubiri kusaidiwa je una kilema chochote? Kwanini wewe usiwe ndiye msaidiaji
Inawezekana kabisa tatizo likawa ni nyie ndugu na wala sio kaka zenu. Huwezi kuwa na ndugu tegemezi maana ukishafanya makosa ya ndugu kukutegemea basi watakutegemea maisha yao yote. Sehemu ambayo ni muhimu kusaidiana kama ndugu ni kwenye elimu tu. Lakini sijui miradi ya biashara au pesa za kujikimu wakati upo mtaani nashauri usisaide kabisa ndugu
Halafu wanaona kama.ni haki yao kuwapa fedha ya kujikimu