Kaka yetu anasaidia ndugu wa mke wake, sisi hatusaidii

Hii ni kweli kabisa

Halafu wanaona kama.ni haki yao kuwapa fedha ya kujikimu
 
Kuna workmate mmoja naye anasomesha wadogo wa mkewe sasa hivi aliyenaye ni wanne, mmoja kamaliza Chuo (alianza kumsomesha toka kidato Cha kwanza), wa pili naye yuko chuo na huyu watatu yupo sekondari. Ajabu wadogo zake wakija kusoma wanaishia kukaa mwaka kisha wanaondoka.

Hili limenifikirisha sana na kuapa kuwa wa kwanza kumhudumia ni ndugu yangu wa tumbo moja. Hata wakiwa wakorofi damu ni nzito kuliko maji. Hawa hawakuachi kwenye shida.
 
Dah kitu kilicho nishinda mm nikumuomba ndugu yangu anisaidie! Atakam ninashida vep siwez kumuomba bola nife2 nashida zangu japo brother ang anauwezo mkubwatu wakimaisha
 

Ndugu wengi kama si wote wa mwanamke pamoja na mwanamke mwenyewe wanahisi kuwa ni haki yao kuishi kwa mme wa dada yao na ni kwamba wanahaki zaidi ya kuliko ndugu wa mume na wanafikiri ni wajibu wa mwanaume wa ndugu yao kuwasaidia yaani wanafikiri ni lazima na ni wajibu wako wewe mwanaume kuwasaidia stupid mwanaume yoyoe unao soma ujumbe huu tambua na ujitambue sio wajibu wako na si lazima kusaidia ndugu wa mke ni hiari wewe umeoa mke huyu mkeo ndio wajibu wako kumtunza kumlinda kumvisha na kila kitu kinacho husu binadamu kuishi wanafuata watoto mkijaariwa ikiwa umetoka familia masikini basi wazazi wako ni namba 3 wanafuata ndugu zako kwa kiasi na wazazi wa mke kwa kiasi halafu ndugu wa mke kwa hiari labda narudia tena labda huyu mwanamke awe na kazi yake eidha kwa elimu alio someshwa na wazazi wake au ndugu zake ikapelekea awe na kipato chake binfsi hapo utawajibika kwa ku balance kipato chake ndio kifanye shughuri hiyo ya misaada ya ndugu zake na ukitaka amanina kuishi kwa upendo na mkeo epuka kukaa na wazazi wako ndugu zako au ndugu wa mkeo au wazazi wake nyumbani kwako
 
Wengi hawatakuelewa maana akili zao nizakike
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€©πŸ€©πŸ€©πŸ€©
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…