BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Hii ni kweli kabisaFikra za kimasikini sana ndugu yangu. Kwanini unasubiri kusaidiwa je una kilema chochote? Kwanini wewe usiwe ndiye msaidiaji
Inawezekana kabisa tatizo likawa ni nyie ndugu na wala sio kaka zenu. Huwezi kuwa na ndugu tegemezi maana ukishafanya makosa ya ndugu kukutegemea basi watakutegemea maisha yao yote. Sehemu ambayo ni muhimu kusaidiana kama ndugu ni kwenye elimu tu. Lakini sijui miradi ya biashara au pesa za kujikimu wakati upo mtaani nashauri usisaide kabisa ndugu
Dah kitu kilicho nishinda mm nikumuomba ndugu yangu anisaidie! Atakam ninashida vep siwez kumuomba bola nife2 nashida zangu japo brother ang anauwezo mkubwatu wakimaishaKatika maisha kosea vyote ila sio kuoa. Huyu kaka etu ana roho ya uchuro yani sisi wadogo zake tumbo moja tukiwa na shida ya kifedha jibu lake atasema Sina pesa ukibahatika sana basi utapewa nusu tu au unapewa kwa masimango lakini ndugu zake mke wake anawajali anacheka nao kila shida anawasaidia.
Mama mkubwa ametuambia karogwa na mke wake sisi kama ndugu tutafute mganga tumnasue maana huenda kapewa rimbwata. Huwezi sahau nyumbani kwenu ukawa unatunza watu ambao sio nduguzo, kwanini Hao watoto wasipewe hela na ndugu zao huko halafu waje kwa kaka etu kuwa ombaomba, kila nikienda kumsalimia broo nawakuta wapo, kila rikizo za shule na vyuo wakifunga wanaenda kwa broo.
Halafu utasikia shemeji shemeji, shemeji ya minyoko. Kuna siku miaka mitatu nyuma nilikwazika kweli, niliomba pesa ya ada akasema hawezi nipa mkononi akaenda benki akalipia, ila ndugu wa mke wake akitaka pesa ya Ada anampa cash in hand ila mimi haniamini. Binafsi nimeacha hata kwenda kumsalimia ila ipo siku atanikumbuka tu
Atafute pesa zakeπππππLimbwata zinatufelisha sana aisee
Katika maisha kosea vyote ila sio kuoa. Huyu kaka etu ana roho ya uchuro yani sisi wadogo zake tumbo moja tukiwa na shida ya kifedha jibu lake atasema Sina pesa ukibahatika sana basi utapewa nusu tu au unapewa kwa masimango lakini ndugu zake mke wake anawajali anacheka nao kila shida anawasaidia.
Mama mkubwa ametuambia karogwa na mke wake sisi kama ndugu tutafute mganga tumnasue maana huenda kapewa rimbwata. Huwezi sahau nyumbani kwenu ukawa unatunza watu ambao sio nduguzo, kwanini Hao watoto wasipewe hela na ndugu zao huko halafu waje kwa kaka etu kuwa ombaomba, kila nikienda kumsalimia broo nawakuta wapo, kila rikizo za shule na vyuo wakifunga wanaenda kwa broo.
Halafu utasikia shemeji shemeji, shemeji ya minyoko. Kuna siku miaka mitatu nyuma nilikwazika kweli, niliomba pesa ya ada akasema hawezi nipa mkononi akaenda benki akalipia, ila ndugu wa mke wake akitaka pesa ya Ada anampa cash in hand ila mimi haniamini. Binafsi nimeacha hata kwenda kumsalimia ila ipo siku atanikumbuka tu
Ndugu wa mume
Mshaanza kutupia lawama mkewe......
Ahsante kwa kukomenti ndugu mudiAisee, kazi ipo
Kakupiga dole la katiMbweha we
Nani kakuambia anishi peke yake? Yupo na mke wake, halafu wewe na ndugu zako muache ufala wa kuomba omba, fanyeni kaziMaisha kusaidiana huwezi kuishi maisha ya peke ako
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ivi kumbeMpwanyungu,Mpwanyungu,Mpwanyungu nimekuita mara3 pambana upate vya kwakoView attachment 2311372
Wengi hawatakuelewa maana akili zao nizakikeKuna workmate mmoja naye anasomesha wadogo wa mkewe sasa hivi aliyenaye ni wanne, mmoja kamaliza Chuo (alianza kumsomesha toka kidato Cha kwanza), wa pili naye yuko chuo na huyu watatu yupo sekondari. Ajabu wadogo zake wakija kusoma wanaishia kukaa mwaka kisha wanaondoka.
Hili limenifikirisha sana na kuapa kuwa wa kwanza kumhudumia ni ndugu yangu wa tumbo moja. Hata wakiwa wakorofi damu ni nzito kuliko maji. Hawa hawakuachi kwenye shida.
πππππ€©π€©π€©π€©Mimi binafsi maisha ya kuomba pesa kwa ndugu kwa namna yeyote nilisha jipiga marufuku .... tafta pesa zako kwa jasho lako
1: Kwanza utaheshimika nyumbani
2:Utakuwa na uhuru nazo
3: Utaepuka dharau zisizo na msingi
Nakusisitiza wewe na nduguzako wengine tafteni pesa zenu kwa jasho lenu omba omba huleta unyonge hasa kwa watoto wakiume ..... umenielewa meku???
πππππππππππTemana nae mtakuwa mnakutana misibani na kwenye vikao vya ukoo. Tafuta vyako jombaa dunia ya leo undugu umeshakwisha.