bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 667
- 1,850
ReallyAhahaha sema wa Kenya wanajua kuzisaka na sio wagumu kuspend na wapenzi wao. Wana ile spirit flani ya kitasha kwamba wanaeza spend na mpenzi on thier own cash, ila ukute mmbongo hapo anasubiri mpaka uombe kwenda ATM kuongeza fungu jingine na hapo ana laki kwenye pochi!
Kuna mtu Nimemsingizia kwani?Really
Mkuu ebhitoke ni mkerewe, kihaya anaigiza tu.nakala kwa ebhitoke bikra wa kihaya.
Hahaa .... ontario si alisema kuna 3d sijui za kuprint gari au nyumba halafu inatokea... na mimi niagizieni japo moja aisee nataka niji print niwe kama ben paul huwenda madada wamjini na mimi wakanionaMgogo na kitonga tena, hawajawahi kufanya makosa toka enzi za Makamba!!!
Uyo demu Bibi yake alikuwa tajiri akamrithisha mama yake ambae kwa Sasa Ni moja ya matajiri wa 5 zaidi wanawake Kenya ,Kama kweli, basi Kenya kumenoga, wasanii wanatekwa tu.
Ila asiwe Mario, Mana atanyanyasika Sana akitemwa.
Sema uyo demu pesa kazikuta kuanzia Bibi yake alikuwa tajiri mama yake ndo tajiri zaidiAhahaha sema wa Kenya wanajua kuzisaka na sio wagumu kuspend na wapenzi wao. Wana ile spirit flani ya kitasha kwamba wanaeza spend na mpenzi on thier own cash, ila ukute mmbongo hapo anasubiri mpaka uombe kwenda ATM kuongeza fungu jingine na hapo ana laki kwenye pochi!
Huyo Demu ana 30. Ni kama wapo Rika moja. Ila Pesa unamfanya awe Mkubwa kwa Bernad.Kapata kizee yenye pesa Ben Pol kawa kiben ten
Yule wa USA nyama nyingi Kama hizi anazo?Huyo bi dada mbona anafanana na yule taifa kule usa
Hapa hawatakuelewa.
Ni sawa na kunena kwa lugha katikati ya kundi la walevi.
Enzi zetu sifa ya mwanaume utafute pesa kwa jitihada zako mwenyewe na wasichana walona fahari kuolewa na mwanaume mpambanaji. Enzi hizo pesa za mwanamke kwenye familia zilikuwa ni nyongeza tu.
Leo hii vijana wa kiume wanataka 'kuolewa' na wanawake wenye pesa. Dunia imepinduka!
meaning?Mkuu ebhitoke ni mkerewe, kihaya anaigiza tu.
Kabila lake ni mkerewe.meaning?
Aiseee, waendelee tu kuwa wakenya na Akina sie tubaki Kuwa wa tzAhahaha sema wa Kenya wanajua kuzisaka na sio wagumu kuspend na wapenzi wao. Wana ile spirit flani ya kitasha kwamba wanaeza spend na mpenzi on thier own cash, ila ukute mmbongo hapo anasubiri mpaka uombe kwenda ATM kuongeza fungu jingine na hapo ana laki kwenye pochi!
lohhWenye wivu wajinyongeeee