Kaka yetu Ben Pol sio mwenzetu tena, kapata Dada Mkenya Mwenye Pesa kama zotee

Kaka yetu Ben Pol sio mwenzetu tena, kapata Dada Mkenya Mwenye Pesa kama zotee

Mgogo na kitonga tena, hawajawahi kufanya makosa toka enzi za Makamba!!!
Hahaa .... ontario si alisema kuna 3d sijui za kuprint gari au nyumba halafu inatokea... na mimi niagizieni japo moja aisee nataka niji print niwe kama ben paul huwenda madada wamjini na mimi wakaniona
 
Kama kweli, basi Kenya kumenoga, wasanii wanatekwa tu.
Ila asiwe Mario, Mana atanyanyasika Sana akitemwa.
Uyo demu Bibi yake alikuwa tajiri akamrithisha mama yake ambae kwa Sasa Ni moja ya matajiri wa 5 zaidi wanawake Kenya ,
Dogo sasahivi ndo tajiri binti zaidi Kenya Sasa hapo Ben Pol inabid atulie tu awe mpole
 
Ahahaha sema wa Kenya wanajua kuzisaka na sio wagumu kuspend na wapenzi wao. Wana ile spirit flani ya kitasha kwamba wanaeza spend na mpenzi on thier own cash, ila ukute mmbongo hapo anasubiri mpaka uombe kwenda ATM kuongeza fungu jingine na hapo ana laki kwenye pochi!
Sema uyo demu pesa kazikuta kuanzia Bibi yake alikuwa tajiri mama yake ndo tajiri zaidi
 
Huyo bi dada mbona anafanana na yule taifa kule usa
Yule wa USA nyama nyingi Kama hizi anazo?
Screenshot_20181226-160241~2.jpeg
 
Hapa hawatakuelewa.
Ni sawa na kunena kwa lugha katikati ya kundi la walevi.

Enzi zetu sifa ya mwanaume utafute pesa kwa jitihada zako mwenyewe na wasichana walona fahari kuolewa na mwanaume mpambanaji. Enzi hizo pesa za mwanamke kwenye familia zilikuwa ni nyongeza tu.

Leo hii vijana wa kiume wanataka 'kuolewa' na wanawake wenye pesa. Dunia imepinduka!

Na kweli dunia imepindukia kifo cha mende.., miguu juu. Na vijana wa sasa ndio starehe yao utafutaji wao ni wa mwanamke mwenye pesa na si kuwa na pesa zao!
 
Ahahaha sema wa Kenya wanajua kuzisaka na sio wagumu kuspend na wapenzi wao. Wana ile spirit flani ya kitasha kwamba wanaeza spend na mpenzi on thier own cash, ila ukute mmbongo hapo anasubiri mpaka uombe kwenda ATM kuongeza fungu jingine na hapo ana laki kwenye pochi!
Aiseee, waendelee tu kuwa wakenya na Akina sie tubaki Kuwa wa tz
 
Mtoto mkali halafu ana kilemba kirefu...ngoja nihamie Kenya na mie ila kuimba ndio sijui sasa...da!
 
Back
Top Bottom