Kaka yetu Ben Pol sio mwenzetu tena, kapata Dada Mkenya Mwenye Pesa kama zotee

Ndio matatizo ya wanaume wa Dar. Mnapenda mno kitonga. Ukute huyo dada ni she male aiseee.
 
Anerlisa ni kisu hatari..
nalipenda kinomanoma!
 
Yaani chali kabisa?
 
Mkuu Hela Ya Mwanamke Hainaga Guarantee
 
Hivi nlisikiaga jamaa mchele mchele ni kweli au??kama sio kwel basi jamaa yawezekana akawa mchicha mwiba au ndo wabongo mambo ya kuzusha tuu
 
Mgogo ni Mgogo tuu haachi Asili yake kamwe hawezi kuacha U-Matonya.
 
hahah demu kamaliza msosi yeye bado.. kweli sio mwanaume mwenzetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…