Kaka yetu Ben Pol sio mwenzetu tena, kapata Dada Mkenya Mwenye Pesa kama zotee

Kaka yetu Ben Pol sio mwenzetu tena, kapata Dada Mkenya Mwenye Pesa kama zotee

Mwanaume huwezi kutoboa kwa pesa za kuwekwa kinyumba na mwanamke. Kama Ben Pol hakuweza kutoboa kupitia mafanikio yake ya kimuziki, asitegemee pesa za malaya zinaweza kumtoa.
Hapa hawatakuelewa.
Ni sawa na kunena kwa lugha katikati ya kundi la walevi.

Enzi zetu sifa ya mwanaume utafute pesa kwa jitihada zako mwenyewe na wasichana walona fahari kuolewa na mwanaume mpambanaji. Enzi hizo pesa za mwanamke kwenye familia zilikuwa ni nyongeza tu.

Leo hii vijana wa kiume wanataka 'kuolewa' na wanawake wenye pesa. Dunia imepinduka!
 
Nilivyoambiwa wanawake wa kenya na Uganda wanajua mapenzi na kumcare mwanaume mwenzenu nilibishaga mjue, sasa ndio nimeamini kwa nini kaka zetu hawa wanakimbilia kwa kasi ya 4g kuowa na kuchumbia Kenya, Uganda na Rwanda

Kaka yetu Ben paul inasemekana kapata mchumba raia wa Kenya dada anapesa kama zotee, Ben sasa ni mtu wa hewani tu now anaenda ulaya kama posta vile
View attachment 977129
View attachment 977130
View attachment 977131
View attachment 977132View attachment 977133
Una maanisha kaolewa au? Ivi mwanaume unawezaje kutegemea ela za mwanamke?
 
Hapa hawatakuelewa.
Ni sawa na kunena kwa lugha katikati ya kundi la walevi.

Enzi zetu sifa ya mwanaume utafute pesa kwa jitihada zako mwenyewe na wasichana walona fahari kuolewa na mwanaume mpambanaji. Enzi hizo pesa za mwanamke kwenye familia zilikuwa ni nyongeza tu.

Leo hii vijana wa kiume wanataka 'kuolewa' na wanawake wenye pesa. Dunia imepinduka!
Ni kweli, kulelewa sio ila wapo wanaotoboa kwa kupitia hela za wanawake hasa vijana wanaojua kujiongeza. Sio kula bata tu full time!
 
Nilivyoambiwa wanawake wa kenya na Uganda wanajua mapenzi na kumcare mwanaume mwenzenu nilibishaga mjue, sasa ndio nimeamini kwa nini kaka zetu hawa wanakimbilia kwa kasi ya 4g kuowa na kuchumbia Kenya, Uganda na Rwanda

Kaka yetu Ben paul inasemekana kapata mchumba raia wa Kenya dada anapesa kama zotee, Ben sasa ni mtu wa hewani tu now anaenda ulaya kama posta vile
View attachment 977129
View attachment 977130
View attachment 977131
View attachment 977132View attachment 977133
Kama kweli, basi Kenya kumenoga, wasanii wanatekwa tu.
Ila asiwe Mario, Mana atanyanyasika Sana akitemwa.
 
Back
Top Bottom