KakaKiiza 2010 February 16 Mpaka leo 2019 February 16!

KakaKiiza 2010 February 16 Mpaka leo 2019 February 16!

Ni bidii kukaa nafamilia karibu na kila mtu kazaliwa na akili ila kunahitajika jitihada kuziongeza pia unatakiwa kutenga muda mwingi kwa ajili ya watoto nakila kitu kitaenda utakavyo kwangu ambaye nilikuwa single father nilibadili tabia hasa kwenda katika virabu na kupungunza muda wakukaa nje hivyo muda mwingi niliutumia kukaa na watoto wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana kaka!Mungu ainue kizazi chako kiwe bora sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana Kaka Kiiza. Humu JF kuna watu wema pia. Hakika we we in mmoja wapo. Bado unapatikana Tegeta?
 
Back
Top Bottom