mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,193
- 1,854
Mwendazake angekuwepo tusinge sikia haya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendazake angekuwepo tusinge sikia haya!
When you are talking about REGASI this is exactly what it meant[emoji3][emoji3][emoji3]
Mungu anatupenda sana watzMwendazake angekuwepo tusinge sikia haya!
Jpm is no more! He is gone forever.. Life goes on. Cha muhimu ni taasisi imara na sio kumtegemea mwanadamu ambae leo yupo kesho hayupo..Taahira mkubwa wewe tumeishi na JPM tumemuona, tumeuona utendaji wake hatujahadithiwa, JPM asingeweza kuapprove upuuzi huo, misho.ga ka nyie lazima mumchukie kwa kuzuia accounts za viNGO vyenu na mafuta ya KY.
Mungu anatupenda sana watz
Huyu Daniel Ni Darasa La Saba Hajui Hata KujielezaNireteeni Gwajima
Nyumba zishafika kwenye kupigwa rangi , bado huamini kama alihusika ?
When you are talking about REGASI this is exactly what it meant![]()
![]()
![]()
Acheni kushadadia upuuziWhen you are talking about REGASI this is exactly what it meant[emoji3][emoji3][emoji3]
SAMIA HUNA DOA WW JIKAGUE WATAKUJA TU TENA WINO USIJE KUKUMWAGIKIAHuyu ni kichaa, anaongelea mambo ya 2020 kipindi ambacho huyo mwendazake ndio aliokua anayapitisha kufanyika, halafu anajitoa ufahamu kwamba Rais Samia ndio amefanya utumbo huo.
Hio millioni 700 kipindi cha mwendazake zingetumika kwaajili ya kununua magari mawili tu ya wakurugenzi wa mikoa (400 Million gari moja kama la yule bwana fulani kule Geita).
Ningetarajia angesema kwamba "WATEULE WA MWENDAZAKE KATIKA UBORA WAO WA UFISADI". Ingekaa sawa.
Sio kwamba mbali na makusanyo hayo, pesa nyingine inatoka serikali kuu?Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko
Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.
Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.
Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na
Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.
Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko
Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.
Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.
Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na
Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.
Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
@mshana Jr subiri mama atakutangaza utakuwa mkurugenzi mkuuu TAKUKURU maaana upuuuz kama huo hautakiwi TANZANIA KAMWE WATU KM NYIE NDIO TUNAWATAKAq
JPM asingeweza kuapprove upuuzi huo. Suala ni kwamba hii nchi ina matakataka kibao manyonyaji serikalini. Pamoja na kwamba alijitahidi kuyakemea na kuyaminya lakini bado ni mengi mno kuyamaliza si kitu rahisi. Mama asipokuwa mkali kuyashughulikia haya manyonyaji tutamshughulikia yeye. Hatuwezi kulipa kodi halafu itafunwe na majitu yasiyoweza kujilisha nje ya serikali.
Tunauombea sanaMchakato wa St Magufuli umeanza..
RIP MAGUFURI. ANGEKATAA HAPOHii nchini ina watendaji wajinga sana na dhaifu.