Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Inna
 
inasikitisha lakini kuna fundisho hapa.. kiumbe wa watu hana hatia. lakini uliposema 'mwanaume mzuri ana maisha yake' nadhani jibu lako liko hapo..jamaa amefanya kila kitu kwa steji yake, anatafuta wa kufanana naye hivyo hivyo,pengine wakati anajitengenezea hayo maisha mdogo wako alikuwa ana'tafuta' mtoto+ plus drama za wazazi wenza hakuna mtu anayezipenda kiukweli... siku mdogo wako atakuja kumkabidhi mtoto ili jamaa ampeleke kwa baba yake and that is emasculating
 
Haina madhara hio 😀!!!
Mimi kuwa na mtoto ni alama kuwa rijali. Wewe kuwa na mtoto bila ndoa ni alama kuwa huna akili. Boyaaa
Ha ha haaa...hawatambui nafasi yao katika jamii hao, wanajikuta kutaka kutambulika kama tunavyotambulika sisi.
Matukio yanatutambulisha tofauti, halafu wanakuja kutulilia sisi eti kuwa na mtoto siyo shida, kasema nani?
La kuoa mwanamke asiye bikira waliokubali wamelivumilia, sasa wanataka waoe wenye watoto, what next? Watataka hata wakiwaoa wakubali ku share na wanaume waliozaa nao sababu wamewakuta na ni wazazi wenzao.
Jamii inapaswa kumheshimu mwanamke katika nafasi yake, lakini jamii inayowaendekeza wanawake na kuwasikiliza kwa kila kitu kamwe haijawahi kuwa salama.
 
Correct [emoji3514]
 
Sijui nipo off topic , hivi kwanini watoto tuseme wanne waliozaliwa na baba tofauti ila mama ni mmoja ,Huwa hakuna ile family bond , yaani ule upendo baina ya ndugu na ndugu?[emoji848]
Ni kweli 100%
 
Samahani unaweza kuweka namba ya huyo jamaa hapa nimpigie nimpongeze?

Unasema huwaelewi wanaume kuhusu kukataa watoto wa single moms yaani umeshindwa hata kujiuliza hapo alipoangalia mpaka future za watoto atakaowazaa kwamba vipi wataambiwa na mama yao wasizini wakati yeye alizini kabla hajaolewa,jiulize hata wewe mama yako angezaa nje then leo akwambie usizini ungemuelewa?
 
Wewe unataka mechi ianze na aggregate kama ya yanga?.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka Sasa nimejifunza haya kuhusu singomothers,
° wanawake huwazalia watu waliowapenda sana, hivyo Hadi anazaa Maana yake amempenda sana, hakuna bahati mbaya.
° Singo mothers Wengi Huwa na mawasiliano na waliowazalisha, na hivyo hufanya ngono several times .
° Ukiwa singo mother ni vigumu sana kuolewa, unless singo mother uwe na hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…