Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Mpaka Sasa nimejifunza haya kuhusu singomothers,
° wanawake huwazalia watu waliowapenda sana, hivyo Hadi anazaa Maana yake amempenda sana, hakuna bahati mbaya.
° Singo mothers Wengi Huwa na mawasiliano na waliowazalisha, na hivyo hufanya ngono several times .
° Ukiwa singo mother ni vigumu sana kuolewa, unless singo mother uwe na hela.
Nakubalina na wewe asilimia 101. Kuna jamaa zangu wawili wameoa single mothers tena huyo mmoja kaoa li single mother lizee kumzi yeye kisa hela. Kinachomkuta kila akiwa na wana full kudharirishwa na li single mother lake. Yaan yeye hajaoa ila wameoana kwa kio mke nae anasauti hata mbele za watu. Ila mwamba anavumilia tu. Mm ni big nooo aisee
 
Uwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.

Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.

Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.

Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.

Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.

Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.

Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.

Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.

Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.

Nimeshangaa sana jamani,

Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.

Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.

ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Acheni umalaya, ukishindwa fanya kwa akili.
 
Mpaka Sasa nimejifunza haya kuhusu singomothers,
° wanawake huwazalia watu waliowapenda sana, hivyo Hadi anazaa Maana yake amempenda sana, hakuna bahati mbaya.
° Singo mothers Wengi Huwa na mawasiliano na waliowazalisha, na hivyo hufanya ngono several times .
° Ukiwa singo mother ni vigumu sana kuolewa, unless singo mother uwe na hela.
nyongeza: mwanamke akipenda kwa mara ya kwanza, akatendwa; kamwe moyo wake hautapenda tena kama mwanzo.
 
Wanawake munapenda unafiki na kuto kuambiwa ukweli, ukweli ni kuwa

UKIWA SINGLE MOTHER TIALI WEWE UNA DOSARI

UKIWA SINGLE MOTHER TIALI WEWE UNA DOSARI

Kitu cha muhimu kuwa muwazo kuwa wewe ni single mother kwa mwanaume kabla mujaanza mahusiano au mwanzoni tu umwambie una mtoto...mwanaume akikupenda huku anajua una changamoto fulani suala linakuwa juu yake sio kwako mfano kakuona Baa anajua wewe malaya then anakupenda hapo anajua wewe malaya kakupenda hivyohivyo atarekebusha baadae, anakuona single mother anakutongoza hivyohivyo anakupenda sio anajua wewe plain anakupenda then baadae ajue wewe single mother lazima uachwe.

Kuna mwanamke nilimtongoza then baadae ndio namuuliza uliyemuweka Wallpaper nani anasema mwanangu 🚮🚮 nika m dump
 
Sisi kama wanaume nahisi hii case tumeimaliza salama...case closed [emoji375]
 
Ili kuoa single mother lazima kuzingatia yafuatayo;

1. Lazima ushuhudie kaburi la baba wa mtoto.
2. Cheti cha kifo ( majina ya cheti yafanane na ya kaburi pamoja na kufuatilia uhalali wake ofisi za RITA)
3. Upate video ya mazishi kujiridhisha

NB:
Hakuna kitu kinaitwa mimba ya bahati mbaya.
SASA WEWE JICHANGANYE, HAKUNA RANGI UTAACHA IONA.
Mkuu umehau inabidi mifupa ipimwe DNA na mtoto kama ndio baba yake aliyezikwa. Nawasilisha
 
Unaweza kukuta kuna wanaoimba marufuku kuoa single mother huku kumbe nyuma kuna binti kamzalisha na mtoto kamtelekeza. Sisi watu weusi ni wanafiqun wa kiwango cha mwisho.
Mm ni mmoja wapo wala sijifichi kuna binti nilimzalisha ila sikumuoa kwasababu ya ujinga wake, wakati tupo kwenye mahusiano nilimwambia nahitaji kwenda kwenu ili tuishi kihalali kama mke na mume lkn alikataa katakata kwa kisingizio yeye bado hajafikiria kuolewa,huku na huku akapata mimba akataka kuitoa nikaweka ngumu bado niliendelea kuamini atabadilisha msimamo wake ila mwisho wa siku nilikuja kugundua baadhi ya tabia ambazo hapo mwanzo sikuziona,nikanyanyua mikono juu kushukuru nikajisemea kimoyomoyo afadhali alikataa nisiende kujitambulisha kwao
 
Back
Top Bottom