Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Jamaa kaoa mke mwingine na hata mtoto hajamchukua ili aishi nae?

Ushauri kwa single mothers - mlio na mipango ya kuolewa, msipende kukaa na hao watoto, wapeni baba zao, mtoto akishaacha kunyonya, mtu yeyote anaweza kumtunza, ili mradinawe na upendo kwa mtoto, baba hawezi mchukia mwanawe.

Sasa tatizo nyie mnapenda kukaa na watoto ili muwatumie kama chambo cha kupata hela ya matumizi, mkija pata watu wa kutaka kuwaoa ndio mnawakimbiza wenyewe wakijua mna watoto na watoto wapo kwenu bado.

Mnang'ang'ania watoto na ilhali malezi yenyewe mnawapa mabaya, ya kumjaza mtoto chuki dhidi ya baba yake. Pole sana mdogo mtu kwa ndege kupeperuka.
Wengi huwa wanalazimisha kubakia na mtoto lakini bado atahangaika gharama za malezi kwa kusumbua watu baki au huyo mwanaume.

Mwisho wa siku mtoto akikua na kuwa mtu mzima lazima atamtafuta baba yake. Hapo baba mtu ndipo anaanza kuchukua points. Unakuta mwanamke ahangaika na mtoto hadi kafika chuoni huko. Mtoto akibanwa na shida anamcheki mama ampatie mahitaji mama anakuwa mkali anamwambia mtoto kuwa zingatia masomo, achana na maswala ya mavazi sijui smartphone, sijui laptop tumia na wenzako.

Mtoto anapata wazo kuwa mimi si nina baba lakini? Anafanya mchakato wa kumtafuta anampata. Anakuta mwamba ana pesa ya kubadili mboga. Baba anamwambia mwanangu mimi nakupenda sana, ila mama yako hakuwa anataka mimi niwe karibu yako.

Chukua hii pesa kanunue Smartphone, mwezi ujao unikumbushe nikufanyie shopping ya mavazi na hiyo laptop unambie unayotaka kuna baba yako mdogo yupo Dubai nimuagize akuletee na hii laki mbili chukua kwaajiri ya chakula ikusindikize huu mwezi hadi mwezi ujao. Ukiwa na shida usisite kuniambia mwanangu nakupenda sana.

Kwann Single mother usionekane ni Mchawi miaka yote hii umelea mtoto mwenyewe kwa shida ila mtoto anakuja kuona kumbe baba yake ni msaada mkubwa ila kwa roho mbaya yako hukutaka amlee. Mtoto anaanza kukuchukia. Ukiongea baya juu ya baba yake anakuona una chuki dhidi ya baba yake kipenzi.

Mtoto akisikia baba yake anaumwa anapata wasi wasi balaaa anakwenda kukesha nae hospital na kumpikia chakula. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Single mother wa kizazi hiki mtajua hamjui maana ni mwendo wa kufungwa mabao home and away. Mtaelewa vizuri ile amri ya 6. USIZINI. Na mtaelewa vizuri kwann watu huwa wanaolewa halafu ndio wanapata watoto na sio kinyume chake.
 
Bora huyo mdada ana mtoto na amesema ukweli,unakuta anapoenda kukimbilia ndio balaa ,Unamfata mwanadada haja mtoto kumbe kashatoa mimba mpka akifa shetani atamkataaa....
Hawezi kutana na wa hivyo sababu ndani ya nafsi yake ana dhamira nzuri tu ya kulinda uzao wake. Au haukusoma sababu zake.
 
Sijui nipo off topic , hivi kwanini watoto tuseme wanne waliozaliwa na baba tofauti ila mama ni mmoja ,Huwa hakuna ile family bond , yaani ule upendo baina ya ndugu na ndugu?[emoji848]
Watoto wa baba m'moja huwa wanakuzwa na principles za kufanana. Na hata koo wanayotokea ni moja. So hata kama Mama ni m'moja then ni rahisi wao kwenda kwa mfumo m'moja.

But kama baba ni tofauti tayari mgawanyiko utakuwa dhahiri sababu kila mwanaume ana namna yake ya kuongoza mtoto wake. Mwingine upendo, mwingine chuki, mwingine ubinafsi, so watoto eventually wakianza kukua wanakuwa wanatafuta Paternal leadership kwa baba zao.

So lazima watatofautiana na kukaa mbali maana baba zao ni tofauti.


Yaani hapo ni sawa na kuuliza kwann wanasiasa linapokuja swala la katiba wanaanza kutofautiana ingawa wanatakiwa kujadili ajenda za kitaifa na wanajenga taifa moja?
 
Unaweza kukuta kuna wanaoimba marufuku kuoa single mother huku kumbe nyuma kuna binti kamzalisha na mtoto kamtelekeza. Sisi watu weusi ni wanafiqun wa kiwango cha mwisho.
Hii ni kujitetea.
 
Mimi ni mwanamke ila huu upuuzi wa kijiachia kuzaa zaa vito ambavyo havina baba haikubaliki.

Hata ningekuwa mwanaume siwezi oa mwanamke mwenye mtoto kama niko chini ya miaka 35.
Huyo kaka kafanya maamuzi sahihi..mdogo wako anataka ndoa atuoneshe kaburi la mzazi mwezie.
Northing personal here case closed.
Njoo VIP lounge huku uchill na the Big boys. Tumeshaclear bill yako yote njoo huku juu agiza unachotaka its on the table. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengi huwa wanalazimisha kubakia na mtoto lakini bado atahangaika gharama za malezi kwa kusumbua watu baki au huyo mwanaume.

Mwisho wa siku mtoto akikua na kuwa mtu mzima lazima atamtafuta baba yake. Hapo baba mtu ndipo anaanza kuchukua points. Unakuta mwanamke ahangaika na mtoto hadi kafika chuoni huko. Mtoto akibanwa na shida anamcheki mama ampatie mahitaji mama anakuwa mkali anamwambia mtoto kuwa zingatia masomo, achana na maswala ya mavazi sijui smartphone, sijui laptop tumia na wenzako.

Mtoto anapata wazo kuwa mimi si nina baba lakini? Anafanya mchakato wa kumtafuta anampata. Anakuta mwamba ana pesa ya kubadili mboga. Baba anamwambia mwanangu mimi nakupenda sana, ila mama yako hakuwa anataka mimi niwe karibu yako.

Chukua hii pesa kanunue Smartphone, mwezi ujao unikumbushe nikufanyie shopping ya mavazi na hiyo laptop unambie unayotaka kuna baba yako mdogo yupo Dubai nimuagize akuletee na hii laki mbili chukua kwaajiri ya chakula ikusindikize huu mwezi hadi mwezi ujao. Ukiwa na shida usisite kuniambia mwanangu nakupenda sana.

Kwann Single mother usionekane ni Mchawi miaka yote hii umelea mtoto mwenyewe kwa shida ila mtoto anakuja kuona kumbe baba yake ni msaada mkubwa ila kwa roho mbaya yako hukutaka amlee. Mtoto anaanza kukuchukia. Ukiongea baya juu ya baba yake anakuona una chuki dhidi ya baba yake kipenzi.

Mtoto akisikia baba yake anaumwa anapata wasi wasi balaaa anakwenda kukesha nae hospital na kumpikia chakula. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Single mother wa kizazi hiki mtajua hamjui maana ni mwendo wa kufungwa mabao home and away. Mtaelewa vizuri ile amri ya 6. USIZINI. Na mtaelewa vizuri kwann watu huwa wanaolewa halafu ndio wanapata watoto na sio kinyume chake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "...mwanangu mimi nakupenda sana, mama yako hakutaka niwe karibu na wewe. Chukua hizi laki mbili zitakusogeza[emoji23], na chukua hii iPhone 14 Pro bado ni mpya tu nimeitumia kama mwezi hivi[emoji23], na mwezi ujao utaniambia ni aina ipi ya laptop unataka, kama ni apple au lenovo... usisite kunikumbusha mwisho wa mwezi huu, na usisahau kunikumbusha suala la shoppong pia[emoji23], baba yako mdogo anataka sana kuonana na wewe..."[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sasa hapo uchoyo na Roho mbaya inatoka wap?

Wew ungekuwa una kaka yako...ungekubali aoe mwanamke mwenye mtoto
Muulize mwanamke hili swali uone namna anayageuka tena maneno yake aliyoyasema mwenyewe kwa ulimi wake ndipo utajua hawa viumbe hawanaga aibu wala utu muda mwingine.
 
Tunakoelekea wanawake wataanza kuvinyonga vitoto ili waolewe
Waanze mara ngapi, hujui P2 ndio vidonge vyenye mauzo makubwa huko Pharmacy?! Nenda kwenye hizi dispensary ndogo ongea na daktari au muuguzi wakupe data za idadi ya mabinti na wadada plus wake za watu wanaotoa mimba changa, then uje usome tena ulichoandika.
 
Ha ha haaa...hawatambui nafasi yao katika jamii hao, wanajikuta kutaka kutambulika kama tunavyotambulika sisi.
Matukio yanatutambulisha tofauti, halafu wanakuja kutulilia sisi eti kuwa na mtoto siyo shida, kasema nani?
La kuoa mwanamke asiye bikira waliokubali wamelivumilia, sasa wanataka waoe wenye watoto, what next? Watataka hata wakiwaoa wakubali ku share na wanaume waliozaa nao sababu wamewakuta na ni wazazi wenzao.
Jamii inapaswa kumheshimu mwanamke katika nafasi yake, lakini jamii inayowaendekeza wanawake na kuwasikiliza kwa kila kitu kamwe haijawahi kuwa salama.
Bonge la point.
 
Unatulaumu sisi badala ya kumlaumu aliyemzalisha kwa kifupi jamaa yuko sahihi sana apewe maua yake na hoja zake ni nzito.....ebu vaa viatu vya jamaa ungekuwa ww ungekubali kuoa mwanamke keshazalishwa na mumewe ajafa bado mzima??
Kweli jamaa katoa hoja nzito Sana kiasi kwamba hakuna jibu hapa. Mwenye uzi ajibu hizo hoja tuone
 
Upo sahihi kabisa. Hili tatizo si la upnde mmoja tu. Hivi vijogoo vinavyozalisha ovyo ovyo hivi tabu sana. Unamkuta binti ana 20 yrs ila tayari ni single mother. Aisee inaumiza sana.

Na wanawake anzeni kukataa kuolewa na single fathers.

Mm ni Me

Uliona wapi mwanaume anataka ndoa?
 
Mimi nikikuzalisha labda uniachie mtoto, kinyume na hapo lazima kila wiki nikupigie wewe au mume wako mnipe maendeleo ya mtoto wangu na niwapatie maelekezo ya namna ya kumlea.
Lakini ukiniachia mtoto wala sitakua na issue na wewe, na wala hautatusikia popote pale. Zaidi nitakutakia maisha mema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah kibabe kama hivyo yaani.
 
Kuna jamaa alinichekesha alisema "ukimuoa mwanamke nliezaa nae nakua nakuja kwako asubuhi, mchana na jioni kumuona mtoto"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nitakuwa naleta mahitaji ya mtoto hapo hapo anapoishi mama mtoto tena muda ambao najua jamaa yupo home. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nimezalisha wanawake 3 tofauti ila kwa bahati mbaya hakuna ata mmoja tuliyepanga kuzaa wote wanakwambia bahati mbaya nimepata mimba..

Bahati mbaya zaidi wote wameolewa sasa na wanaume tofauti ila wototo nalea mahitaji bila kelele.

Huwa najuta some tyme ila napotezea ndio yameshatokea yaani hadi hamu ya kuwa na ndoa imeisha.
Pole kaka , unapasha viporo na mama watoto.
 
Wanaume kuna wakati mnashangaza sana. Unakuta mtu anasema hawezi kuoa single mama…. Hebu tuambieni kipi bora kuoa single mama ambae Yes alikosea but katunza mimba Kazaa mtoto na sasa ametulia Kajifunza kutokana na makosa AU bora kuoa binti alie bwia ma contraception hadi kizazi kimepinda au katoa mimba mpka kizazi kina makunyanzi utamuoa hata msipate mtoto? Kipi bora???
Wengi humu ni wazazi wa mabinti na wazazi watarajiwa unajuaje binti yako hata zaa kabla ya ndoa? Je vijana wakija kuonyesha interest utawaambia usimuoe binti yangu ni single maza?
Wangapi humu ni zao la single maza? Hivi mnavyo andika humu ndivyo mnavyoangalia mama zenu kua huyu Hana thamani ni single maza?
Na mshawahi kujiuliza anaempa binti mimba akamuacha yeye akaenda kuoa a fresh girl (as you think) is he not as guilty as well ???
Natamani ifike mahala jamii yetu isimnyooshee binti kidole kisa ni single mom bali tujikite pia kwenye kuongea na vijana wetu as they are also “single dads” na kuna mabinti pia hawatataka single dads kwa kuogopa pia baby mama dramas so it goes both ways!!!
Single mamas sio shida kikubwa jiridhishe kwamba ametulia na anajiheshimu hata Kama baba mtoto yupo kwenye picha, kuliko kuoa binti ambae anabwia ma P2 kila mwezi na Maria Stopes Ana Loyalty card!

Disclaimer: Read this with an open mind maana mtahisi ni maoni ya single mom which is quite the opposite [emoji3577]
Women control sex, birth and Homes, Men control Relationships, Family and Wealth.

Tusivalishane majukumu yasiyotuhusu. Single mother ni kosa la wanawake wanaume wasihusishwe. Utajitetea hapa kuwa kama wakibakwa. Mwanamke anapobakwa huwa inajulikana na sheria kali zipo. Na hizo kesi ni very rare kwenye jamii yetu. Kwamba unataka nambia kwa single mothers 1000 basi 999 ni walibakwa au walifosiwa kupata watoto kinguvu?! Jibu ji hapana.

Mwanamke anacontrol ya nani auguse mwili wake na nani apandikize mtoto katika mji wake wa uzazi hapo anawajibika kwa 100% hakuna kumlaumu mwanaume hata kidogo.

Mwanaume huwa analaumiwa kwa kukimbia Ndoa ya Mke halali anayejitambua na watoto wazuri tu. Mwanaume analaumiwa kwa kutokuwa na uwezo wa kusimamia majukumu ya familia kwa mwanamke ambaye anajitambua na ni msimamizi mzuri wa familia.

Hizi mbaga umeongea hapa ni katika kujitetea na kukwepa kuwajibika. Wanaume hatuhusiki na uzembe wa mwanamke anapochagua nani azae nae kisha aje kujisingizia ni bahati mbaya.
 
Back
Top Bottom