YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Hebu tuone.
[emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuone.
🤣🤣🤣🤣 Siwezi mkatili kiasi hichoUkitaka kujua akili za mwanamke mpindulie swali uone atakavyogeuka exactly alichokisema nitakupa mifano.
Muulize single mother single mother yoyote hapa kuwa yeye ana haki ya kuanza maisha ya hati safi baada ya kuzalishwa na muhuni mwenzake utaona atakavyoshabikia na kujitetea kuwa ni stahiki yake.
Sasa mgeuzie swali, muulize mfano wewe hapo ulivyo ni single mother, ukapata mtoto wako wa kiume. Ukasomesha kwa shida sana kwa kuuza vitenge, maandazi, kufanya shughuli za mama ntilie ukajinyima 90% ya mapato yako yakaenda kwa huyu mtoto na kweli mtoto akafanya jitihada na kufanikiwa ukaenda mbali zaidi hata kupigia magoti watu wazito mtoto wako apate ajira.
MUNGU akafunua njia na kusikiliza kilio chako single mother miaka 10 baadae mwanao huyu uliyempambania akafanikiwa baada ya kusota na mishahara ya laki tatu akapata contract nzuri ya milioni tano kwa mwezi. Akapewa nyumba na kampuni, gari nzuri ya kutembelea.
Then within a month baada ya kuhamia makazi mapya then akaja kukutambulisha kwa mwanamke kwanza kamzidi umri kidogo halafu ana watoto watatu wadogo sana kila mtoto na baba yake. Na huyu mwanamke anatokea familia ya kipato cha chini sana kwao ndie tegemeo na hajiwezi kuwasaidia kwao.
Then mwanao anakuja kukutambulisha kuwa huyu ndie love of his life na ameamua kuwachukua watoto kama wake na atawaandika kwa majina yake ya ukoo na kuwa asili kuwa wanae kinyaraka na warithi wa mali zake.
Wewe single mother utabariki huu uhusiano wa mwanao au utapinga?!
Kumbuka huyo nae ni Single mother kama wewe ila tu yeye ana watoto zaidi yako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Am humbled you know, asante mingiz, am on my way!Njoo VIP lounge huku uchill na the Big boys. Tumeshaclear bill yako yote njoo huku juu agiza unachotaka its on the table. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sometimes shida ni baba watoto pia[emoji23][emoji23] wanaume huwa hawapendi kuona wanawake waliozaa nao wanaolewa utasikia sitaki mtoto wangu alelewe na mwanaume mwingine sasa kama hutaki kwann hujanioa[emoji1787][emoji1787] afu ndo anaanza kujifanya alikosea anatamani mrudi mlee mtoto wenu.. wanawake wana roho ndogo sana jamani yani ukishamjaza upepo basi[emoji113][emoji113][emoji113] ko ukishamwacha mwanamke kubali matokeo mana lazima ataolewa tu au atakua na mahusiano mengine hawezi kukusubiri wewe milele[emoji28]
Halafu hawataki kuwalazimisha walio wa dump wanataka kulazimisha wengine kabisa ambao hawakuhusika na upuuzi wao ili wawaingize kwenye chain yaoWatu wana haki ya kuchagua mtu wanayetaka kuwa naye.
Hii ni haki ya msingi.
Kama mtu hataki single mother, hataki single mother. Ni haki yake.
Mkianza kumsema ana stereotype mnamnyanyapaa katika kitu ambacho ni haki yake ya msingi.
Halafu kwa nini mnalazimisha kupendwa msipopendwa?
Mtu hataki single mother, kwa nini mnamlazimisha awapende?
Hamuoni kwamba mnakuwa desperate hapo kutaka mapenzi kutoka kwa watu wasiowapenda?
A terrible sense of entitlement.Halafu hawataki kuwalazimisha walio wa dump wanataka kulazimisha wengine kabisa ambao hawakuhusika na uouuzi wao ili wawaingize kwenye chain yao
Aione JokaKuuKwanza hajakutwa akiwa bikra,akasamehewa halafu tena anakuja baadae anasema pamoja na kunikuta siyo bikra,ila nimezalishwa kabisa.Aisee yataka moyo sana,wanaume tuna wivu sana,wadada mkitaka kuolewa kiroho safi,chungeni sana mienendo yenu kabla ya kuolewa.Ukute hata aliyemzalisha alivyoambiwa kua muoe huyu dada kwasababu umempa ujauzito,akajibu sikumkuta bikra,hivyo atakua na mahusiano na maex wake,ntaoa nitakayemkuta ni bikra,na akampata bikra akamuoa.
Enyi wanawake,ambao mnaolewa kwasasa,ukiolewa jua kabisa anayekuoa hajakutana na bikra,akikutana na bikra,ushindani wako nayeye(huyo bikra),unakua mkubwa.Nawewe single mother,ukiolewa na mwanaume,jua huyo mwanaume,hajakutana na mdada bikra au ambaye siyo bikra ila hana tabia njema ukilinganisha nawewe, ndiyomaana kakuoa wewe.Tambua mdada ambaye ni single mother au asiye bikra ni chaguo la pili baada ya mtu kukosa hitaji lake.
Jitunzeni.
Mkuu ukioneshwa kaburi la kanyaboya utahakiki vipi sasa?Bora mimi nimebahatila singo maza na baba wa mtoto alishafariki hapa najipanga kwenda kulihakiki kaburi tuu tena kwa kumsindikiza dogo.
Baada ya hapo ndio nitume mshenga kisha nioe kabisa.
Ataonyeshwa kaburi na mashahidi wa mchongo kumbe jamaa anamega kimya kimya na miaka ya baadaye jamaa anaibukaMkuu ukioneshwa kaburi la kanyaboya utahakiki vipi sasa?
Utafukua ulinganishe DNA na watoto?
Ohooo 😂😂😂😂We zaa tu mama wanaume wapo tu utaolewaga badae 🤣
HIYO KUHUDUMIA MTOTO TU NDO INALETA SHIDA, MWANAMKE YEYOTE ALIYEZAA NI NGUMU KUMNYIMA MBUNYU MZAZI MWEZAKE.ILA ASIKATE TAMAA ATAKUTANA NA WANAUME WALIOZAA KABLA YA NDOA AU MGANE AU WAMETALIKIANA, HAO HAWANA SHIDA NGOMA DROOO.AWE MVUMILIVU NA NIDHAMU NA MAISHA YAKE ATAONEKANA TUUwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.
Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.
Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.
Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.
Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.
Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.
Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.
Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.
Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.
Nimeshangaa sana jamani,
Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.
Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.
ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Tulikubaliana kikao cha mwisho single mother tunaoa endapo utaonyeshwa kaburi la mzazi mwenza.Bora mimi nimebahatila singo maza na baba wa mtoto alishafariki hapa najipanga kwenda kulihakiki kaburi tuu tena kwa kumsindikiza dogo.
Baada ya hapo ndio nitume mshenga kisha nioe kabisa.
Kama yanatokea kwa kubakwa, hapo sawa.Tusimalize maneno jamani tuna watoto wakike na dada zetu wakike kikubwa tuombe Mungu tu na ukikuta single mother usimtamikie maneno makali hvyo hakuna anaependa kuwa single mother ni mambo tu yanatokea kwenye safar ya maisha
Hata hao hawataki single maza, ni asili ya mwanamke kulea yeyote, ila siyo asili ya mwanaume kulea yeyote.HIYO KUHUDUMIA MTOTO TU NDO INALETA SHIDA, MWANAMKE YEYOTE ALIYEZAA NI NGUMU KUMNYIMA MBUNYU MZAZI MWEZAKE.ILA ASIKATE TAMAA ATAKUTANA NA WANAUME WALIOZAA KABLA YA NDOA AU MGANE AU WAMETALIKIANA, HAO HAWANA SHIDA NGOMA DROOO.AWE MVUMILIVU NA NIDHAMU NA MAISHA YAKE ATAONEKANA TU