Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Uwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.

Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.

Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.

Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.

Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.

Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.

Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.

Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.

Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.

Nimeshangaa sana jamani,

Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.

Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.

ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
huyo msimbe ni wewe usiseme mdogo wako.
 
Wanaobakwa ni kesi chache Sana wengi wanataka wenyewe.
Mwanamke inatakiwa ujue ya kwamba ni hatari kwenda peke yako lodge au chumbani kwa mwanamme mwenye hisia na wewe au mpenzi wako ukatarajia kutoka bila kuguswa. Kama haupo tayari usiende kamwe.

Usikubali mtego wa kwamba eti nitamwaga nje au naweka kichwa tu, huku ni kutafutiana lawama
Kwa hiyo unataka wawe wanakuja na marafiki?wewe huwa hutaki Kwa muda au ndo Ile kichwa cha juu kikisimama kichwa cha chini maamuzi yanakuwa 0.
 
Mwambie mdogo wako kwa hali na mali atafute wasukuma hawa jamaaa huwa hawajali kbs if u have child or children...napga mishe lake zone huwa naona masela ya kingosha yakpenda hayaangalii....sooo my advice is that

Mwambie atafute wasukuma tuu ...hilo swala dogo sn kwao
Ndugu yangu, sisi watu wa lake zone tunakuheshimu sana, nasi tunaomba utuheshimu japo kidogo tu [emoji4][emoji4]
 
Ndugu yangu, sisi wa lake zone tunakuheshimu sana, nasi tunaomba utuheshimu [emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23] ila ni kweli jamaa kawaheshima kina ngosha, msukuma akishapenda hua hana mambo mengi.
Mtaani kwetu kuna kibinti kizuri kinoma kimeshezalishwa watoto wawili.
Hicho kibinti ni cheupeeee sio kinene ila kina shepu kali kinyama shida yake kinapenda pombe hatari halafu kinagawa kama pipi.
Kishapigwa mtungo mara kibao na chenyewe hua kinajisifia kabisa kua ni bingwa wa dabo penetresheni pale kitaani, Bimkubwa wake nae ni mlevi mbwa ni yale mashangingi yaliyokubuhu.
Kuna msukuma alifungua duka la simu hapo mtaani, baada ya kumuona cheupe akapagawa, msukuma akaanza kuhonga mpaka akapewa mzigo.
Masikini msukuma wa watu sijui alipagawishwa na nini baada ya mwezi tu msukuma akatangaza ndoa kabisa.
Hata mwaka haujaisha msukuma wa watu kafilisika akapigwa chini, cheupe hataki hata kumuona mumewe ni anagawa tu hovyohovyo kwa masela.
Msukuma kakonda kinyama anaenda kupiga mpaka magoti kwa mama mkwe analilia penzi la mrembo.
Mama mkwe anamcheka huku anamwambia akatafute pesa kwanza akishazipata aje atamkuta tu mkewe yupo anamsubiria [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongereni sana wasukumu nyie mkipenda hua mnapenda kweli hamgeuki nyuma.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila ni kweli jamaa kawaheshima kina ngosha, msukuma akishapenda hua hana mambo mengi.
Mtaani kwetu kuna kibinti kizuri kinoma kimeshezalishwa watoto wawili.
Hicho kibinti ni cheupeeee sio kinene ila kina shepu kali kinyama shida yake kinapenda pombe hatari halafu kinagawa kama pipi.
Kishapigwa mtungo mara kibao na chenyewe hua kinajisifia kabisa kua ni bingwa wa dabo penetresheni pale kitaani, Bimkubwa wake nae ni mlevi mbwa ni yale mashangingi yaliyokubuhu.
Kuna msukuma alifungua duka la simu hapo mtaani, baada ya kumuona cheupe akapagawa, msukuma akaanza kuhonga mpaka akapewa mzigo.
Masikini msukuma wa watu sijui alipagawishwa na nini baada ya mwezi tu msukuma akatangaza ndoa kabisa.
Hata mwaka haujaisha msukuma wa watu kafilisika akapigwa chini, cheupe hataki hata kumuona mumewe ni anagawa tu hovyohovyo kwa masela.
Msukuma kakonda kinyama anaenda kupiga mpaka magoti kwa mama mkwe analilia penzi la mrembo.
Mama mkwe anamcheka huku anamwambia akatafute pesa kwanza akishazipata aje atamkuta tu mkewe yupo anamsubiria [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongereni sana wasukumu nyie mkipenda hua mnapenda kweli hamgeuki nyuma.
Duh, basi huyo mwamba katuangusha [emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila ni kweli jamaa kawaheshima kina ngosha, msukuma akishapenda hua hana mambo mengi.
Mtaani kwetu kuna kibinti kizuri kinoma kimeshezalishwa watoto wawili.
Hicho kibinti ni cheupeeee sio kinene ila kina shepu kali kinyama shida yake kinapenda pombe hatari halafu kinagawa kama pipi.
Kishapigwa mtungo mara kibao na chenyewe hua kinajisifia kabisa kua ni bingwa wa dabo penetresheni pale kitaani, Bimkubwa wake nae ni mlevi mbwa ni yale mashangingi yaliyokubuhu.
Kuna msukuma alifungua duka la simu hapo mtaani, baada ya kumuona cheupe akapagawa, msukuma akaanza kuhonga mpaka akapewa mzigo.
Masikini msukuma wa watu sijui alipagawishwa na nini baada ya mwezi tu msukuma akatangaza ndoa kabisa.
Hata mwaka haujaisha msukuma wa watu kafilisika akapigwa chini, cheupe hataki hata kumuona mumewe ni anagawa tu hovyohovyo kwa masela.
Msukuma kakonda kinyama anaenda kupiga mpaka magoti kwa mama mkwe analilia penzi la mrembo.
Mama mkwe anamcheka huku anamwambia akatafute pesa kwanza akishazipata aje atamkuta tu mkewe yupo anamsubiria [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongereni sana wasukumu nyie mkipenda hua mnapenda kweli hamgeuki nyuma.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wasukuma wapewe maua yao kwakweli kwa kupenda watoto weupe[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Wanaume kuna wakati mnashangaza sana. Unakuta mtu anasema hawezi kuoa single mama…. Hebu tuambieni kipi bora kuoa single mama ambae Yes alikosea but katunza mimba Kazaa mtoto na sasa ametulia Kajifunza kutokana na makosa AU bora kuoa binti alie bwia ma contraception hadi kizazi kimepinda au katoa mimba mpka kizazi kina makunyanzi utamuoa hata msipate mtoto? Kipi bora???
Nani kakambia kinyume Cha kukataa kuoa single mother ni kuoa aliyetoa mimba,...usifosi mambo yasiyohusika kutetea hoja yako, all idea ni kuoa Mwanamke Fresh huyo aliyekula dawa sisi hatumjui unamjua wewe.
Wengi humu ni wazazi wa mabinti na wazazi watarajiwa unajuaje binti yako hata zaa kabla ya ndoa? Je vijana wakija kuonyesha interest utawaambia usimuoe binti yangu ni single maza?
Kwani tunaposema hatuoi single mother au tunasema wazazi wa hao single mother watwambie tusawaoe watoto wao, maana tungesema hivyo ndio ilibidi utoe hoja hio.

Mimi sioi single mother mwanangu akiwa single mother hio ni juu yake kitaja akimkataa kwasababu single mother YES yupo sahihi kwani kosa la kijana au huyo mtoto wangu mimi kazi yangu kuozesha sio kufanya Mapenzi yaende Hilo jukumu la mtoto kama kapewa mimba bila ndoa ni zigo lake nani abebe akitokea kijana wa kubeba YES vijana wakimkimbia YES.
Wangapi humu ni zao la single maza? Hivi mnavyo andika humu ndivyo mnavyoangalia mama zenu kua huyu Hana thamani ni single maza?
Mahusiano yako binafsi hayaingiliani na wazazi wako jitunze kuweka mpaka mamayako ni binadamu Kama binadamu mwengine ila ana NAFASI YA MAMA TU KWAKO lakini hio nafasi hana kwa wengine babako huyo mamayako alikuwa demu wake tu then mke means mwanaume alimpa mimba mamyako nae alisema napiga tu hapa nasepa, nawanaume wengine walimtema ti kwasababu yeye single mother as usual so kuwa mamayako hio nafasi ni kwako sio kwa wote.

Mama yangu sio single mother ila angekuwa hivyo still bado nisingeoa single maza na nisingekubali huo upuuzi yeye nini mamayangu huyo ni demu tu/mpenzi/mwanamke wangu tu.
Na mshawahi kujiuliza anaempa binti mimba akamuacha yeye akaenda kuoa a fresh girl (as you think) is he not as guilty as well ???
Kwani sisi wanaume tunaona wanaume wenzetu mpaka tujiulize kuhusu mwanaume aliyejaza mimba akasepa, mimi na deal na mwanamke kwasababu wewe ndio unaingia ndoani na mimi huyo mwanaume aliyekimbia hio no kesi yako/Mzigo wako wewe usiwape watu mizigo yako deal na zigo lako mimi zigo langu ni wewe nayetaka kukuoa ndio maana naandika hoja zangu hapa sikuoi goli moja bila.
Natamani ifike mahala jamii yetu isimnyooshee binti kidole kisa ni single mom bali tujikite pia kwenye kuongea na vijana wetu as they are also “single dads” na kuna mabinti pia hawatataka single dads kwa kuogopa pia baby mama dramas so it goes both ways!!!
Mosi, hakuna kitu kinaitwa 'Single Dads' usitafute 50/50 tatizo lenu ni kufosi 50/50 kwenye changamoto zinazowakabili tu na raha ila kwenye changamoto za wanaume munaacha iwe za wanaume tu...

Pili, hili ni suala la mwanaume(muoaji) sio suala la jamaii ninayenyoosha kidole ni mimi sio jamii, jamii has nothing to do with it...
Single mamas sio shida kikubwa jiridhishe kwamba ametulia na anajiheshimu hata Kama baba mtoto yupo kwenye picha, kuliko kuoa binti ambae anabwia ma P2 kila mwezi na Maria Stopes Ana Loyalty card!
Mbona unafosi kinyume Cha single mother ni wala P2 kutete hoja zako Kama unakula P2 ni wewe usiingize wanawake wenzie.
Disclaimer: Read this with an open mind maana mtahisi ni maoni ya single mom which is quite the opposite [emoji3577]
Ni Mwanaume asiyejielewa tu ndio utapata hio Open Mind yake, real nigga wanaofosi ku-make it kwenye hili life gumu huwezi mletea emotions zako hizi tunasota na life so tuna deserve mwanamke fresh mwenye utu na utulivu sio mwanamke aliyepigwa na kila mwanaume uje kula jasho letu.

Wewe na single mother wenzio pelekeni ugari mulipomwaga mboga.

Huu ni muda wa kila mwanaume rijali kuwa na standard ya maisha sio kupetipeti hawa watu.
 
Usilazimishe mapenzi.

Kama kuna sehemu hupendwi, hupendwi tu.

Tafuta atakayekupenda, utulie naye.
 
Nasema tena hapana. Mtoto anatakiwa aitwe jina la ukoo wangu sasa huyo aliyeletwa anakuja na jina la wapi.

Hao watoto wanakuwaga wasumbufu sana na wanaweza kukupa frustration kwenye malezi.

Mtoto anaweza kukosea ukimchapa unasikia kanaropoka "kwanza wewe sio baba yangu" iyo kitu inaumiza sana ni vile mnaunderestimate ilo swala.

Fingerprints zako kwa mtoto unazitengeneza mtoto akiwa na miaka chini ya 3. Mtoto apate joto na jasho lako mzee. Leo unaletewa mtoto hujui ametoka familia ya aina gani ghafla unakurupuka tuu unaweka mwanamke ndani.

Niliwahi kuwa na mmoja nikaja kujua ako na mtoto wa 8 years tena alishawahi tolewa hadi mahari lakini wakaachana. Sema ndio kamerudi home kamejiweka kama kabinti. Drama zao ni mingi sana hapo ni kabla sijaoa.

Wewe ni nani wa kufaulu alipofeli mwanaume mwenzako??
 
No one is desperate my dear , and yes kila mtu anahaki ya kuoa na kupenda anaeona anafaa! Issue ni justification ya kusema single mother ni mfano mbaya na ataonyeshaje njia kwa watoto wakati yeye alishazaa. Ndio nikasema if it’s just a personal preference well and good but if it’s because the girl is a single parent then it’s foolishness (still his choice) because unaweza kataa mtu mwenye mtoto ukaenda kwa alietoa mimba kibao….yupi bora????
I know single mamas who are picky and they ain’t desperate at all!
Kwa kusema hivyo sitete huyo binti kuachwa kwasababu if I was her mwanaume akinitaka mwanangu is part of my introduction, mtoto sio laana so siwezi ficha, the earlier she said that she would have made it easy for everyone and avoid the situation she is in right now.
Yaani wewe dada sasa kwa nini usiolewe na aliyekuzalisha unanga'ng'ania watu wasiokutaka?
 
Wanawake wengi mnafeli hapa "SIKUPANGA KUWA NA MTOTO ILITOKEA TU"
Acheni kuongea huu ujinga na uongo kwa wanaume.
Wanaume tunajua MWANAMKE ANAFANYA MAPENZI NA MWANAUME ANAYEMPENDA.NA ANAZAA NA MWANAUME ANAYEMPENDA.
Wewe umezaa kabla ya ndoa,Je watoto wako watajifunza nini kwako? Umezini kabla ya ndoa, Watoto utawafundisha nini? MUNGU WAKO UMESHINDWA KUMUHESHIMU.mimi je ninaekuoa ukiwa na Mtoto utaniheshimu?
 
Uwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.

Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.

Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.

Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.

Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.

Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.

Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.

Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.

Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.

Nimeshangaa sana jamani,

Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.

Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.

ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Unataka kusema pamoja na yote uloambiwa na pamoja na kuandika kabla ya kushare bado hujaelewa sababu za mdg wako kupigwa chini,ama umeforwad tu bila kusoma
 
Uwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.

Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.

Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.

Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.

Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.

Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.

Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.

Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.

Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.

Nimeshangaa sana jamani,

Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.

Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.

ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Mie siyo MCHOYO au ROHO MBAYA. Niko tayari. Mlete mdogo wako tafadhali
 
Yaani wewe dada sasa kwa nini usiolewe na aliyekuzalisha unanga'ng'ania watu wasiokutaka?

Punguza mihemko ! Humu tunachangia hija kila mtu kwa anavyowaza na anavyoamini…hakuna sehemu nimesema nawazo yangu ni sheria.
Alafu kutoa mawazo haitoi marital status ya mtu so habari za sijui kuolewa na kuzalishwa umetoa wapi.
Changia kwa akili sio mihemko utaolewa shauri yako
 
Uwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.

Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.

Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.

Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.

Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.

Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.

Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.

Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.

Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.

Nimeshangaa sana jamani,

Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.

Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.

ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Hapo ni hali ya kupambana na hali yako, kama ulikosea hatua, huna haja ya kumbebesha mtu mwingine yasiyomuhusu.
 
Nani kakambia kinyume Cha kukataa kuoa single mother ni kuoa aliyetoa mimba,...usifosi mambo yasiyohusika kutetea hoja yako, all idea ni kuoa Mwanamke Fresh huyo aliyekula dawa sisi hatumjui unamjua wewe.

Kwani tunaposema hatuoi single mother au tunasema wazazi wa hao single mother watwambie tusawaoe watoto wao, maana tungesema hivyo ndio ilibidi utoe hoja hio.

Mimi sioi single mother mwanangu akiwa single mother hio ni juu yake kitaja akimkataa kwasababu single mother YES yupo sahihi kwani kosa la kijana au huyo mtoto wangu mimi kazi yangu kuozesha sio kufanya Mapenzi yaende Hilo jukumu la mtoto kama kapewa mimba bila ndoa ni zigo lake nani abebe akitokea kijana wa kubeba YES vijana wakimkimbia YES.

Mahusiano yako binafsi hayaingiliani na wazazi wako jitunze kuweka mpaka mamayako ni binadamu Kama binadamu mwengine ila ana NAFASI YA MAMA TU KWAKO lakini hio nafasi hana kwa wengine babako huyo mamayako alikuwa demu wake tu then mke means mwanaume alimpa mimba mamyako nae alisema napiga tu hapa nasepa, nawanaume wengine walimtema ti kwasababu yeye single mother as usual so kuwa mamayako hio nafasi ni kwako sio kwa wote.

Mama yangu sio single mother ila angekuwa hivyo still bado nisingeoa single maza na nisingekubali huo upuuzi yeye nini mamayangu huyo ni demu tu/mpenzi/mwanamke wangu tu.

Kwani sisi wanaume tunaona wanaume wenzetu mpaka tujiulize kuhusu mwanaume aliyejaza mimba akasepa, mimi na deal na mwanamke kwasababu wewe ndio unaingia ndoani na mimi huyo mwanaume aliyekimbia hio no kesi yako/Mzigo wako wewe usiwape watu mizigo yako deal na zigo lako mimi zigo langu ni wewe nayetaka kukuoa ndio maana naandika hoja zangu hapa sikuoi goli moja bila.

Mosi, hakuna kitu kinaitwa 'Single Dads' usitafute 50/50 tatizo lenu ni kufosi 50/50 kwenye changamoto zinazowakabili tu na raha ila kwenye changamoto za wanaume munaacha iwe za wanaume tu...

Pili, hili ni suala la mwanaume(muoaji) sio suala la jamaii ninayenyoosha kidole ni mimi sio jamii, jamii has nothing to do with it...

Mbona unafosi kinyume Cha single mother ni wala P2 kutete hoja zako Kama unakula P2 ni wewe usiingize wanawake wenzie.

Ni Mwanaume asiyejielewa tu ndio utapata hio Open Mind yake, real nigga wanaofosi ku-make it kwenye hili life gumu huwezi mletea emotions zako hizi tunasota na life so tuna deserve mwanamke fresh mwenye utu na utulivu sio mwanamke aliyepigwa na kila mwanaume uje kula jasho letu.

Wewe na single mother wenzio pelekeni ugari mulipomwaga mboga.

Huu ni muda wa kila mwanaume rijali kuwa na standard ya maisha sio kupetipeti hawa watu.
Umetema sana nondo mkuu, single mother haolewi na mimi
 
Back
Top Bottom