Kalala usiku kaamka kanyolewa nywele. Madaktari njooni hapa mtueleze huu ni ugonjwa gani?

Kalala usiku kaamka kanyolewa nywele. Madaktari njooni hapa mtueleze huu ni ugonjwa gani?

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Habari wakuu,

IMG_20250123_164710_131.jpg

Picha hapo juu inajieleza,

Ni kijana mwenye umri wa miaka 26, jinsia mwanaume, kazi yake ni mkulima.

Alilala usiku akaamka hana nywere baadhi ktk eneo la juu ya kisogo na pembeni, nywere zilizotoka hazikuonekana kitandani wala popote, hii hali ilitokea ghafla tu

Hana rekodi yeyote ya kulazwa hivi karibuni au kutumia dawq yeyote ya hospitali, hajawahi kuugua kansa wala kisukari

Hana historia ya aleji yeyote

Hii ni case kutokabariadi jirani na gamboshi


Wataalam tunaomba maelezo ya kisayansi huu ni ugonjwa gani chanzo chake ni nini na mechanism yake (pathophysiology) ikoje?

NB: Lengo la huu uzi ni kujifunza hizi case zipo nyingi hapa nchini


Nawasilisha
 
Hakuna watu wajinga duniani kama hao MADAKTARI.

Wanafuatia hawa wasomi uchwara wenye DIPLOMA ZA D MBILI na digrii za supplementary......

Wanaishi kwenye ulimwengu wa NOTES ZA DIPLOMA in total ignorance of the otherwise REAL WORLD.

Wachawi wapo, na viumbe roho wapo.

Ukiwa na hizi elimu za DIPLOMA ZA D MBILI huwezi kung'amua uwepo wa wachawi na viumbe roho maana akili yako yote inazunguka kwenye NOTES za what is chemistry.

Chemistry is the study of matter and Liquid... Kinjekitile alikuwa na miguu mingapi!
 
Shirki ni tabia mbaya sana ambayo kizazi cha sasa kinatakiwa kuachana nacho...........kuna kajamaa kamoja nakajua kipindi frani wakati bado niko mitaa fulani najitafuta kalinunua simu ya camera akaenda nayo kijijini kwao.........kufika huko akawa anawapiga flash wale wazee usiku........wakamuonya kwamba ile simu inaumiza macho akawa anawacheka kwa dharau.........kilichomkuta amerudi dar wenyewe wakabaki na nywele zake kule kijijini kwao.........yaani kafika kakaa kama 2 days anakuta ana viwanja kibao kichwani ..........alishangaa kinoma.........ikabidi arudi tena huko huko maana alienda kunyoa salon kama mara tatu nywele zikawa zikiota tu vinabaki vikaburi kichwani ..........ndio kwenda kuomba msamaha na kuwapa elfu 2 mbili mbili kwa wazee wakamwambia arudi alikotoka zitarudi zenyewe ..........kweli bana siku zilivyokwenda zikawa zinaota zenyewe mpaka vikaburi vikafutika ........sasa yuko poa kabisa
 
Back
Top Bottom