Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii case mkuu niliona isinipite nikataka kushuhudia kwa macho yangu nione kama zitarudiHalafu tapeli moja litasema umeibiwa nyota yako
Yaani umasikini aisee
Sijui nyota gani anayo kichwa cha hivyo
Sio utapeli tu mkuu, nimeona sana haya tena miaka na miaka tunawaona walionyolewa usiku ila sijaona wanaodhurika ila sijui huwa kuna kitu gani nyuma ya hayaHii case mkuu niliona isinipite nikataka kushuhudia kwa macho yangu nione kama zitarudi
In short nipo site nafanya research hii ni sehemu ya kupima attitude na knowledge pia kupata mawazo mapya
Ukitaka kujifunza usitangulize mawazo ya kutapeliwa
Hivi wewe ni Shetani kweli mkuu mbona mnalaini laini Shetani unachukia uchawiHuo unyoaji ni wa salon baada ya umeme kukatika.
Kamati ya ufundi hawanyoi hivyo.
Nachukia sana shirki..
sIo kunyonyoka sio kunyolewaAlopecia areata
Ahsante sana mkuu,
Ila hakuna maelezo yanayojitosheleza, hilo neno ni la kiingereza kiswahili chake ni kunyolewa nywele
Pathophysiology yake ipoje?
Yaaap. Hii ukitakaa kuijua sana. Nenda kwenye shule za boarding ambao ula mlo mmoja michezo ile ile na ratba zile zile. Inatokea sanaOvernight mkuu??
?
Siyo uchawi ni vitiligo hiyoKwa mlioko Daslama mtuambie "nywere" ni kitu gani sisi ambao hatujawahi fika huko.
Mkuu umeelezea vizuri sana ššKunyolewa nywele kimazingara mara nyingi hakuna madhara kwa muhusika, labda hofu yake tu mwenyewe imvuruge, kwa sababu hua zinahitajika tu kwenye shughuli za kichawi, so unakuta anatumwa mchawi mmoja anaambiwa kalete nywele kidogo za mtu ambae sio mchawi, labda watengenezee matilio flan, ndo anakuja kukunyoa ukiwa hujitambui, ila hakuachii madhara mengine, na wengine hua wanachanjwa, hawa ndo kabisa hawatakiwi kua na hofu.
Huwa zinarudi mkuu kuna michakato ya jadi niliishuhudia inachukua kama wiki hivi ila ukiacha tu ukatulia hazioti lSio utapeli tu mkuu, nimeona sana haya tena miaka na miaka tunawaona walionyolewa usiku ila sijaona wanaodhurika ila sijui huwa kuna kitu gani nyuma ya haya
Mimi sio muumini wa haya mambo na siyaamini kabisa
Naomba ukipata mwisho wake usinisahau kuni Tag
Alikuja mwenyewe kwa babuUmejuaje kama kanyolewa? Usiamini kila unachosikia