Kalapina awataka wale waliomteka Roma Mkatoliki wakamteke na Yeye ili awaonyeshe Kazi

Kuna kipindi nilisomaga kitabu cha willy gamba,

Basi nikatoka hom ili nipambane na migambo waliokua wanatoza kodi mtaani maana walikua wanaboa kinyama

Namshukuru Mungu walinivunja meno mawili tu

Mkuu umenichekesha sana duh!!!
 
Kwanza ANGEROPOKA kumsema BWANA YULE..halafu ndy ATAMBE MAJUKWAANI
 
BOU NAKO alimuita wazichape tena mpaka kesho ajamfuata na bou nako anaingia bongo kama kawa na alitunga wimbo akamuambia kalapina wew ni shoga njoo tuzichape uone
 
Kalapina kamchenjia aliyesambaza habari hii ...anasema kanukuu anavyotaka kinyume na alichosema ....kamwambia lazima alipe kwa uongo huu ....
 
Kalapina ana hamu tu, kasikia habari mwenzie katatuliwa malinda na yeye anataka.
 
au kama vipi aende kibiti akatangaze kua wale wanaoua watu waende wakamuue yeye, awaoneshe kazi.
 
Anaonekana hajui maana ya kutekwa.
Kama watu wanauwezo wa kumbeba mnyama kifaru na ubabe wake,anapelekwa kuwekwa rebo wakimaliza wanamludisha polini.

Kuliko mtu.siku yakimkuta hatasema itabakia kua siri yake.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kuna ukweli ndani, hutakiwi kujilegeza kabisa...nakubaliana naye. Mwaka 2007 niliwekwa kati na wazee [jambazi],ila sikulegea japo nilijeruhiwa ila na mimi nilimpa kubwa mmoja...nikawatoroka. Safi sana K.Pina
 
Hivi anayaonaga kweli Yale ma vipisi yanayo mlinda mkemia,yaje matatu hata bila chuma mbona lazima uongee sauti ya chumbani
Tuacheni masihara lakini watekaji wakiwa kama wale wababe wa nape so kalapina atajipatia bastola kirahisi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…