Kalapina awataka wale waliomteka Roma Mkatoliki wakamteke na Yeye ili awaonyeshe Kazi

Kalapina awataka wale waliomteka Roma Mkatoliki wakamteke na Yeye ili awaonyeshe Kazi

Popote alipo kalafisi kama anausoma Uzi huu na kama hajausoma mfikishieni tu ujumbe na Mimi nikimwona ntamwambia kuwa atunge wimbo kama wa Ney na Roma aitukane serikali awezavyo halafu tuone hizo nguvu zake za Goliati

Kiki zingine kama za wagonjwa wa mirembe
 
Kuna ukweli ndani, hutakiwi kujilegeza kabisa...nakubaliana naye. Mwaka 2007 niliwekwa kati na wazee [jambazi],ila sikulegea japo nilijeruhiwa ila na mimi nilimpa kubwa mmoja...nikawatoroka. Safi sana K.Pina

Mkuu hivi Jambazi unaweza ukamfananisha na Mtekaji kweli? Wewe mtie tu ndimu ( mpe sifa ) Kalapina kisha Wazee wa Kazi ( Watekaji wa Roma Mkatoliki ) wambikiri vizuri banda la Uani.
 
Roma katoka shamba...kalapina mtoto wa mjini

Acha kudanganya Watu humu Mkuu. Kwa taarifa yako tu Roma ni Mtoto wa mjini Kindakindaki sema tu hupendelea kwenda Mkoani Tanga kwa shughuli zake za Kifamilia ila muda mwingi huwepo Jijini Dar. Njoo tena na Uwongo wako mwingine!
 
Acha kudanganya Watu humu Mkuu. Kwa taarifa yako tu Roma ni Mtoto wa mjini Kindakindaki sema tu hupendelea kwenda Mkoani Tanga kwa shughuli zake za Kifamilia ila muda mwingi huwepo Jijini Dar. Njoo tena na Uwongo wako mwingine!


Roma mbwiga tu, kwao Duga Maforoni huko. Angekuwa mtoto wa jiji asingebakwa wanamgambo.
 
Kalapina bhana, akina Bou Nako na Fido Vato anawagwaya sembuse hao wanaoteka kwa mujibu wa sheria!?!?
 
Anafikiri ni kina chid benzi wale aache kujiona mtemi.
Hamna wale jamaa ni watamu tu wakikutana na walaji kama Kalapina, hebu niambie kijana mzuri kama yule aliyemuonyeshea bastola Napeh yule anachapwa vizuri tu labda akurushie risasi mwilini.
 
Back
Top Bottom