Kale ka nchi kanaweza kuvamiwa na kushambuliwa, lakini mwisho wa siku, mvamizi ataambulia kujuta na kusaga meno

Unazungumzia kupigika kwa aina gani wakati waislael zaidi ya 800 wameuwa.

Hili ni pigo kubwa sana kwenye Historia ya taifa la Israel.

Kwa shambulio la Jumamosi hii, Hamas wamefanikiwa kwa zaidi 100% kwa sababu lengo la Hamas lilikuwa kulipiza kisasi na kuonya walowezi wa Kiyahudi wanaoishi katika maeneo ya Palestina.
 
Zingatia mantiki ya kile kimeandikwa hapo mkuu
 
naona misri nao kuna askari polisi ameua watalii wa wili wa kiyahudi. hao watalii nao walitakiwa wajifanye ni wamarekani, kujitambulisha kama wayahudi kwenye ardhi ya mwarabu ilikuwa very risky. hata hivyo, hiyo ni dosari kwenye utalii wa misri sasa.
Ardhi ipi ya waarabu? Hao waarabu waliokuja 1500's. Sema ardhi ya Waafrika.
 
Israeli anapigikia vizuri sema Huwa anakingiwa kifua na kaka mkubwa Marekani.Hii ni Aibu kwa Mossad kujifanya wanaongoza Kwa Intelligence duniani.
Israel no propaganda tu,hana lolote.hakuna vita yoyete amewahi kupigana na akashinda,anapigana na wala tende na harua tu.
 
Wao hawajui si wanaua kwa mafungu hawawezi kuchagua huyu ni Nani na huyu Ni yupi???
Mataifa kadhaa yameanza kutangaza kwamba watu wao pia wameuawa. kuna raia wa ufaransa, nepal, marekani na nchi kadhaa wameuawa. wengine walikuwa wanafunzi.
 
Wao hawajui si wanaua kwa mafungu hawawezi kuchagua huyu ni Nani na huyu Ni yupi???
ila huu ndio ugaidi halisi, imagine badala ya kupigana na wanajeshi trained kama wewe, unaenda kupiga raia ambao hata hawako trained, wengine wanafunzi. kuna mama mmoja analia mtoto wake aliondoka mexico kuja shule, amechukuliwa mateka na wamempeleka gaza. kama wao ni wanaume, si wapigane na wanajeshi wa israel? unashambuliaje raia wasio wanajeshi? ndio ugaidi huo.
 
Lakini mwisho wa siku watabaki kama moja ya mataifa walioivamia Israel na kumteka jenerali wa Israel! Wape credit..
Haisaidii maana mwisho wa siku ushinde. Sasa kwa mfano Israel akivamia Gaza akaichukua yote utakuwa umepoteza au umewin.
 
mapigo mengi huwa ni usiku. kwahiyo hadi kesho asubuhi, kuna mengi tutasikia. israel wanasubiri giza liingie kusiwe na makamera, hapo ndipo wanachapa. hamas wamefanya jambo baya sana.
Makamera wakati kila siku wanaua waandishi wa habar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…