MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,502
- 1,886
Nenda wewe mwenye uwezo!!sio kwamba Israel haipigiki la hasha, sema hawana adui mwenye uwezo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda wewe mwenye uwezo!!sio kwamba Israel haipigiki la hasha, sema hawana adui mwenye uwezo .
Unazungumzia kupigika kwa aina gani wakati waislael zaidi ya 800 wameuwa.Sjawahi kujua ni kivipi Israel huwa ni vigumu kupigika!
Ukiondoa hiyo Imani ya kusema ni taifa la Mungu, lakini Je, Mungu hachukii kisirani?
Mbona hicho kitaifa kina watu na viongozi wenye kisrani sana
Ni kagomvi mpaka nachukia, hakaogopi nchi kubwa wala mhuni kama Irani
Naomba kujua, mafunzo ya kijeshi jeshi la Israel hupata kutoka jeshi la nchi gani?
Je, tuna nchi ambayo hupewa mafunzo na jeshi la Israel kwa sasa? Jeshi hilo ni mahiri kiasi gani katika medeni za kivita?
Ni taifa dogo na lenye watu wachache, cha ajabu ndio taifa linaloogopeka zaidi Duniani
Ni taifa lenye jeshi imara zaidi ya nchi kama Iran, Saudi Arabia, brazil, na hata North Korea n.k
Africa tuna kwama wapi?
Mfano kama Nchi yangu Tanzania!
Hatujisikii aibu kuwa na nchi kuuubwa, lakini hatuwezi kabisa kuwa kwenye position kama hizo?
Mimi napenda mashindano siku zote, huwa sipendi kuachwa nyuma, ndivyo ninavyojisikia wivu nchi yangu kuwa nyuma kiasi vile
Tutafikia lini hapo? Kiasi cha kumkoromea hata Marekani, china, urusi na hata nchi yoyote?
Huna unachokijua kuhusu Israel.Israeli anapigikia vizuri sema Huwa anakingiwa kifua na kaka mkubwa Marekani.Hii ni Aibu kwa Mossad kujifanya wanaongoza Kwa Intelligence duniani.
Soma vizuri historia ya hio nchi kwenye medan za kivita.Israeli anapigikia vizuri sema Huwa anakingiwa kifua na kaka mkubwa Marekani.Hii ni Aibu kwa Mossad kujifanya wanaongoza Kwa Intelligence duniani.
Mungu ndie kamuweka.Waliomweka pale wanamlinda kwa kila kitu..
Zingatia mantiki ya kile kimeandikwa hapo mkuuUnazungumzia kupigika kwa aina gani wakati waislael zaidi ya 800 wameuwa.
Hili ni pigo kubwa sana kwenye Historia ya taifa la Israel.
Kwa shambulio la Jumamosi hii, Hamas wamefanikiwa kwa zaidi 100% kwa sababu lengo la Hamas lilikuwa kulipiza kisasi na kuonya walowezi wa Kiyahudi wanaoishi katika maeneo ya Palestina.
Umetoka jela lini?sio kwamba Israel haipigiki la hasha, sema hawana adui mwenye uwezo .
Ardhi ipi ya waarabu? Hao waarabu waliokuja 1500's. Sema ardhi ya Waafrika.naona misri nao kuna askari polisi ameua watalii wa wili wa kiyahudi. hao watalii nao walitakiwa wajifanye ni wamarekani, kujitambulisha kama wayahudi kwenye ardhi ya mwarabu ilikuwa very risky. hata hivyo, hiyo ni dosari kwenye utalii wa misri sasa.
Tarehe 22 Disemba ninakwend kupata mafunzo maalum huko.
Ni nchi ya ndoto yangu
Israel no propaganda tu,hana lolote.hakuna vita yoyete amewahi kupigana na akashinda,anapigana na wala tende na harua tu.Israeli anapigikia vizuri sema Huwa anakingiwa kifua na kaka mkubwa Marekani.Hii ni Aibu kwa Mossad kujifanya wanaongoza Kwa Intelligence duniani.
Wewe umekumbana na propaganda za magharibi.Soma vizuri historia ya hio nchi kwenye medan za kivita.
Mataifa kadhaa yameanza kutangaza kwamba watu wao pia wameuawa. kuna raia wa ufaransa, nepal, marekani na nchi kadhaa wameuawa. wengine walikuwa wanafunzi.
ila huu ndio ugaidi halisi, imagine badala ya kupigana na wanajeshi trained kama wewe, unaenda kupiga raia ambao hata hawako trained, wengine wanafunzi. kuna mama mmoja analia mtoto wake aliondoka mexico kuja shule, amechukuliwa mateka na wamempeleka gaza. kama wao ni wanaume, si wapigane na wanajeshi wa israel? unashambuliaje raia wasio wanajeshi? ndio ugaidi huo.Wao hawajui si wanaua kwa mafungu hawawezi kuchagua huyu ni Nani na huyu Ni yupi???
Jazia nyama mkuu. Tupe more infoVita vya Israel na farestine .ni vita vya kimkakati.
hivyo vita ndivyo vipimo vya mwisho wa dunia.
Haisaidii maana mwisho wa siku ushinde. Sasa kwa mfano Israel akivamia Gaza akaichukua yote utakuwa umepoteza au umewin.Lakini mwisho wa siku watabaki kama moja ya mataifa walioivamia Israel na kumteka jenerali wa Israel! Wape credit..
Makamera wakati kila siku wanaua waandishi wa habarmapigo mengi huwa ni usiku. kwahiyo hadi kesho asubuhi, kuna mengi tutasikia. israel wanasubiri giza liingie kusiwe na makamera, hapo ndipo wanachapa. hamas wamefanya jambo baya sana.
makamera ya simu, wapalestina wanapiga na kurusha mitandaoni. usiku wakilala, wanaamkia kuzimuMakamera wakati kila siku wanaua waandishi wa habar
Hao Hibollah wenyewe wamebaki kwanza wanatafakari kinachotokea Gaza kuona kama watakimuduNasubiri battle la Hizbollah Vs Israel,lazima Duniani pachapike mwisho wa siku tuheshmiane.