Kale ka nchi kanaweza kuvamiwa na kushambuliwa, lakini mwisho wa siku, mvamizi ataambulia kujuta na kusaga meno

HAMAS wapigwe mpaka wachakae japo itaenda sambamba na kupotezwa kwa maisha ya Wapalestina wengi wasio na hatia,lakini mwana kulitaka mwana kulipewa.
Nakusalimia jirani....hao Hamas Wacha wanyooshwe tu maana Wana vichwa vigumu sana
 
Nchi za Kimagharibi zinanufaishwaje na Israeli?
 
Israeli wana very high technology na vifaa vya kivita, kuanzia makombola, drones, vifaru, ndege za kivita nk.

Kaka, lile Taifa ni la watu wenye akili na wanajituma balaa.

Mziki waliouonyesha Gaza nafikiri imetoa somo kwa makundi mengine ya ki -jihad.
 
Je, tuna nchi ambayo hupewa mafunzo na jeshi la Israel kwa sasa? Jeshi hilo ni mahiri kiasi gani katika medeni za kivita?
tulikuwa marafiki wa Islael miaka yote wakati wa Mwalimu, watu wetu walikwenda huko kwa kozi mbalimbali za Kilimo, Udaktari, kijeshi nk. Baada ya hapo jibu unalo kutelekeza hadi bandari yetu kwa mwarabu.
 
Tatizo letu ni unafiki hatuwezi simamia lolote kwa upande wetu.
 
tulikuwa marafiki wa Islael miaka yote wakati wa Mwalimu, watu wetu walikwenda huko kwa kozi mbalimbali za Kilimo, Udaktari, kijeshi nk. Baada ya hapo jibu unalo kutelekeza hadi bandari yetu kwa mwarabu.
Iliishia wapi na kivipi mkuu???
 
Tena kwa kauli Moja wamesema kipigo kitakachotolewa kitakumbukwa vizazi na vizazi. Na ndio wameanza tayari HAMAS washaanza kulialia.
 
Nani amekudanganya wamevamia eneo? Karudie kusoma vizuri mkuu. Watu wamerudi kwao. Watoto wa mama mdogo mna tabu sana. Watoto wa kambo bana
 
Halafu walivyo waoga wanajificha kwenye makazi ya watu. Watachapika hukohuko wanakofugiwa
 
Acha kufananisha North korea na vitu vya kijinga.ile ni one man show
 
Tumieni akili kama wangekuwa hivyo mbona wameuwa wengi kuliko wapalestina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…