Kale kamsemo ka ''tunajenga timu'' katahamia Jangwan safari hii?

Kale kamsemo ka ''tunajenga timu'' katahamia Jangwan safari hii?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Viwango vya wachezaji wa Yanga vimeshuka,Aziz Ki injini ya timu hata timu ya Taifa hajaitwa yupo zake Tabata snall planet anakula shisha,kutoka kushinda tuzo ya mfungaji bora mpaka kuwa na holi moja katikati ya msimu,Dube mpaka aombe radhi kwa wazee wa Azam,Pacome amesusa anataka kuondoka,timu inamtegemea Mzize na Nzegeli,,Diara amekuwa mdaka upepo

Kocha mpya huja na falsafa zake na huchukua muda wachezaji kuingia kwenye mfumo.

Lolote linaweza kutokea kwa Yanga wakiwa wanaanza na kocha mpya,kuna kujitafuta au kuamsha spirit moya ya upambanaji,yote yanawezekana.

Ikitokea wakapuyanga kale kamsemo ka kjiinga wanakokatumia Simba kutuhadaa kuwa,''tunajenga timu'' katahamia Jangwani?? Au nao watakuja na kamsemo kao
 
1000277837.jpg
 
Sababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli ya wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
 
Soma vizuri,lolote linaweza kutokea,kuingia kwenye mfuno au kusingizia tunajenga timu
Pili wachezaji wa EPL wana nidhamu na wanafundishika
Ten hag mbona alishindwa kuwafundisha man u?
 
Alikuja kwenye timu mwezi wa ngapi na unafananishaje mifumo ya uendeshaji wa timu ulaya na Afrika ambapo mganga wa timu ndiye anaaminiwa kuliko benchi la ufundi?
Man u ipo angola?
 
7 - stop
7 - stop
7 - stop
7 - stop
8 - kwangu
8 - kwangu
J - Naomba Mavi
Last card
3 - Nimemaliza.
 
Back
Top Bottom