Kalemani huu sio ufisadi kwa kujenga ofisi ya TANESCO ya mabilioni katika Kijiji cha Chato, kubwa kuliko ofisi yoyote Kanda ya Ziwa na Kati?

Kalemani huu sio ufisadi kwa kujenga ofisi ya TANESCO ya mabilioni katika Kijiji cha Chato, kubwa kuliko ofisi yoyote Kanda ya Ziwa na Kati?

Huwez kuleta maendeleo kwa gorofa ya tanesco ilhali chato 40% ni maskini wa kutupwa wasio na hata makaz bora(nyumba za nyasi) huko mlimani unakosema hawana nyumba ya nyasi Wala watoto wao hawakai chini kwa kukosa madarasa,mentality first majengo baadae
Uko sahihi. Jengo hilo sio maendeleo ni kitendea kazi tu. Ila hata mipango endelevu ya kuwakwamua watu kimaendeleo au kuchochea uchumi wa kaya katika wilaya hiyo bado imepigiwa kelele kuwa kwanini ifanyike chato.
 
Kuna watu watasema kwani Chato sio Tanzania, lakini Ni kweli kulikuwa na uhitaji huo?
Hospitali ya kanda Chato, ni specialist gani utamtoa Dar, Mwanza, Mbeya na miji mingine atakayekubali kukaa chato?
Yule mzee sijui alikuwa anafikiria Nin!!!, Halafu mazezeta yalikuwa yanamsifia eti,
 
Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini. Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja

Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadiView attachment 1941428acheni Mungu aitwe Mungu. Kumchukua Magu ulikuwa mpango sahihi. Sijui alikuwa anataka kuifanyia nn nchi hii. Alikuwa mbaguzi katili wa ajabu. Pesa zetu zimetumika vibaya Sana. Lile jengo libadilishiwe matumizi, ni la serikali. Uwanja wa ndege ni hasara ya Taifa. Lile hosp. Nayo wafikirie kuipangia matumizi sahihi
 
Chato kwani hamjui ilitakiwa iwe nchi? Mungu aliingilia kati mapemaaaaa sasahivi hata lile liuwanja la ndege imebaki stori
mkuu umeamua kulenga point bila kumung'unya maneno, safi.
 
Uko sahihi. Jengo hilo sio maendeleo ni kitendea kazi tu. Ila hata mipango endelevu ya kuwakwamua watu kimaendeleo au kuchochea uchumi wa kaya katika wilaya hiyo bado imepigiwa kelele kuwa kwanini ifanyike chato.
Inepigiwa kelele kwakuwa imevutwa kwa haraka mno na kurundukwa,vitu hata visivyo na hadhi ya kuwekwa kijijn chato vinawekwa i.e chato internacional airport wakati mwanza na ukubwa wake haina international airport
 
Your major weakness is always poor reasoning. This is your perennial deathbed.
Usiwe mbwiga Chato kila taasisi ilijenga ofisi zenye hadhi ya mkoa.

Wewe bavicha bure kabisa unalinganisha Chato na banda lenu hapo Ufipa st!
 
Umeona. Nawe uko kulekule kwenye kulalamika. So hoja kumbe sio jengo hilo bali ni kwanini Chato
Inepigiwa kelele kwakuwa imevutwa kwa haraka mno na kurundukwa,vitu hata visivyo na hadhi ya kuwekwa kijijn chato vinawekwa i.e chato internacional airport wakati mwanza na ukubwa wake haina international airport
 
Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini. Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja

Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadiView attachment 1941428
Kama alitaka Mwanza ihamie chato sisi ni wakina nani tumpinge?
 
Na hakuna mtz yeyote aliyelalamika kwanini wami wakati kuna sehemu bado watu wanatumia madaraja ya miti, vivuko vibovu ama kutokuwa na mawasiliano kabisa nyakati za mvua. Ila kikifanyika kwingineko ndo hizo reasonings zenu zinaanza.
Ni Kodi zetu Tena Hilo daraja limechewa njia ya dar kaskazn Ina pesa nyingi mno
 
Badi ilo jengo libadilishwe matumizi wafanye shule ya advance
 
Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini. Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji la Mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja

Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadiView attachment 1941428
HAYA MAANDISHI BWANA NDIO UTAKUNA NA MWANAMKE ANAMILIKI BILION 6,789,823 KWENYE BANKI AKAUNTI BADO MWANADAMU ANAFIKIRI KUNA MTU MALI... HUYU MWANAMKE SIJUI BADO YUPO CRDB BANKI
 
Back
Top Bottom