Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Sawa Kalemani kwamba mwenge uwashwa MkonaniHuwashwa Mkonani na kuzimwa mkoani. Amesema Kalemani na kudai kuwa hii ni fursa kubwa kwa Chato.
Hivyo Chato kama wilaya imepata fursa kubwa sana kwa mwenge kuzimwa hapa wilayani chato.
Chato inatangazwa kama mkoa mpya siku hiyoHuwashwa Mkonani na kuzimwa mkoani. Amesema Kalemani na kudai kuwa hii ni fursa kubwa kwa Chato.
Hivyo Chato kama wilaya imepata fursa kubwa sana kwa mwenge kuzimwa hapa wilayani chato.
Kwahiyo ni ajabu gani imetokea hapo?Huwashwa Mkonani na kuzimwa mkoani. Amesema Kalemani na kudai kuwa hii ni fursa kubwa kwa Chato.
Hivyo Chato kama wilaya imepata fursa kubwa sana kwa mwenge kuzimwa hapa wilayani chato.
Usingizi wa pono kwa wanao aminiNipe faida tano za mwenge
Je,chato imetimiza sifa za kuwa mkoa?Chato inatangazwa kama mkoa mpya siku hiyo
Endelea kuisubiri Nyahunge pale Mwanza southMama atatangaza mkoa mpya, kwa hiyo mwenge unazimiwa makao makuu ya mkoa mpya.Hongera JPM mama yuko pamoja na wewe, Leo kakuinua kuwa kiatu chako size kubwa.Leki zoni ng'araaaaaaaaaaaaaàa
Itimize wapi? Labda kama vigezo ingekuwa wingi wa punda mjiniJe,chato imetimiza sifa za kuwa mkoa?
Acha chuki za kifalaItimize wapi? Labda kama vigezo ingekuwa wingi wa punda mjini
Chuki za kifala unazimiliki wewe kwenye mbuga zenu hapo lumumbaAcha chuki za kifala
Umerogwa wewe siyo bureMama atatangaza mkoa mpya, kwa hiyo mwenge unazimiwa makao makuu ya mkoa mpya.Hongera JPM mama yuko pamoja na wewe, Leo kakuinua kuwa kiatu chako size kubwa.Leki zoni ng'araaaaaaaaaaaaaàa
NyumbuzzzzUmerogwa wewe siyo bure
Hopeless mbw mkubwa.Vile mwendakuzimu amefurahi kutokea huko kuzimu baada ya kusikia kuwa mwenge umezimwa Chato😁😁😁
View attachment 1970421
daa yani unahis wakipewa mkoa watafaid sana mkuu!!?? ..uzur hata chato ni tz unaruhusiwa kununua kiwanja na ukaw mkaazi wa chato, uzur viwanja bei ni nafuu naamin hilo!!ko usiumize ubongo na moyo wako mwisho upate pressure ya kushuka ujifie bure...Itimize wapi? Labda kama vigezo ingekuwa wingi wa punda mjini
1. Kuokota condom asubuhiNipe faida tano za mwenge
Kuna waliokufa wakakuachia ujane lkn bado unaishi.daa yani unahis wakipewa mkoa watafaid sana mkuu!!?? ..uzur hata chato ni tz unaruhusiwa kununua kiwanja na ukaw mkaazi wa chato, uzur viwanja bei ni nafuu naamin hilo!!ko usiumize ubongo na moyo wako mwisho upate pressure ya kushuka ujifie bure...