Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wamejazana pare rubondo jirani na lumumbaNyumbuzzzz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejazana pare rubondo jirani na lumumbaNyumbuzzzz
Tuliwazidi maarifa tukamuua bwana Chato.Hopeless mbw mkubwa.
Ndege ya ATCL inaenda mara mbili kwa wiki utakufa kwa stress soon.Uwanja wa ndege sasa hivi wanaanikia kamongo
Huna uwezo huo wewe bwege.Tuliwazidi maarifa tukamuua bwana Chato.
Labda kuchukua mabondoNdege ya ATCL inaenda mara mbili kwa wiki utakufa kwa stress soon.
Bwege ni Magu aliekufa kwa Corona.Huna uwezo huo wewe bwege.
Condom za bureNipe faida tano za mwenge
1. Hutengeneza ajira kwa wakimbiza mwenge hata kama ni ajira ya muda ila watu hao hupata kipato kinachoweza kuboresha maisha yao.Nipe faida tano za mwenge
Kama walivyokufa ndugu zako.Bwege ni Magu aliekufa kwa Corona.
Imetimiza za zaidi.Je,chato imetimiza sifa za kuwa mkoa?
Ndivyo ulivyodaganywa na wanasiasa? ATCL ilikuwa na safari mbili kwa wiki ila kutokana na ongezeko la abiria ikaongeza safari na kufikia tatu kwa wiki.Uwanja wa ndege sasa hivi wanaanikia kamongo
Mbona mwenge ushawahi zimwa Butiama? au butiama ni mkoa?Huwashwa Mkoani na kuzimwa mkoani. Amesema Kalemani na kudai kuwa hii ni fursa kubwa kwa Chato.
Hivyo Chato kama wilaya imepata fursa kubwa sana kwa mwenge kuzimwa hapa wilayani chato.
1. Hutengeneza ajira kwa wakimbiza mwenge hata kama ni ajira ya muda ila watu hao hupata kipato kinachoweza kuboresha maisha yao.
2. Unaongeza social network kwa wanaoshiriki - wengi hufahamiana huko na baadae mahusiano hayo huleta faida za kiuchumi au kijamii
3. Huwezesha wakimbiza mwenge kufahamu maeneo mengi ya nchi hivyo kuwa na jiografia pana ya nchi yao
4. Husaidia kuongeza pato kwa wakazi wa eneo ambalo mwenge hupita na kulala
5. Huongeza mzunguko wa pesa nchini (money circulation) kupitia matumizi ya wakimbiza mwenge, mafuta ya magari, service za magari, michango ya mwenge n.k
Amelaaniwa amtwgemeaye binadamu.....Huwashwa Mkoani na kuzimwa mkoani. Amesema Kalemani na kudai kuwa hii ni fursa kubwa kwa Chato.
Hivyo Chato kama wilaya imepata fursa kubwa sana kwa mwenge kuzimwa hapa wilayani chato.
Wanajua maccmJe,chato imetimiza sifa za kuwa mkoa?
Kawadanganye madunya wasio na A wala B hasa lumumba wenzako.Ndivyo ulivyodaganywa na wanasiasa? ATCL ilikuwa na safari mbili kwa wiki ila kutokana na ongezeko la abiria ikaongeza safari na kufikia tatu kwa wiki.
Lumumba wamechanganyikiwaMbona mwenge ushawahi zimwa Butiama? au butiama ni mkoa?
Unamaanisha nini mkuuMajina ya viongozi wa mbio za mwenge tangu uanze kukimbizwa wanao ishi na almaruhumu tupatie.