William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Aliichukua timu kwa muda anashinda karibu kila mechi. Akawapiga Simba na Alikuwa awapige na Yanga sema refa alikuwa upande wao.
Lakini Kama kawaida wivu, ushamba na kutokujua wakampa timu mzungu wa % za kugawana timu imeanza kupoteana.
Timu yenye kila kitu inakosa akili kubwa kiongozi.
Kali si tu alilithi kipaji Cha soka kwa baba yake Bali akili kubwa Sana akisikiliza mashairi ya nyimbo za baba ake.
Ndio maana anaakili za kusoma mchezo, kuandaa kikosi na kufundisha pia. Pia karithi ubongo mkubwa Sana wa mama yake profesa na mkufunzi wa chuo kikuu.
Pia kapita pita vilabu vya ulaya Sana huyu kocha kinda.
Kwa uwezo alioonesha kwa kuongoza timu kwa mechi kumi Azam wakiendelea na figisu nashauri tu atoke akaombe kuifundisha Ihefu aoneshe uwezo msimu ujao ataonekana na kufanya makubwa.
Lakini Kama kawaida wivu, ushamba na kutokujua wakampa timu mzungu wa % za kugawana timu imeanza kupoteana.
Timu yenye kila kitu inakosa akili kubwa kiongozi.
Kali si tu alilithi kipaji Cha soka kwa baba yake Bali akili kubwa Sana akisikiliza mashairi ya nyimbo za baba ake.
Ndio maana anaakili za kusoma mchezo, kuandaa kikosi na kufundisha pia. Pia karithi ubongo mkubwa Sana wa mama yake profesa na mkufunzi wa chuo kikuu.
Pia kapita pita vilabu vya ulaya Sana huyu kocha kinda.
Kwa uwezo alioonesha kwa kuongoza timu kwa mechi kumi Azam wakiendelea na figisu nashauri tu atoke akaombe kuifundisha Ihefu aoneshe uwezo msimu ujao ataonekana na kufanya makubwa.