Kalynda imeondoka na kijiji, Viongozi hawajulikani walipo

Kalynda imeondoka na kijiji, Viongozi hawajulikani walipo

Elimu hawana kazi kukariri formula na kucopy assignment ndo balaa lake huku mtaani utapigwa tu ...80% ni wanafunzi wa vyuoni je ushamba kiasi gani? Sijaona wasomi wenye ukombozi wa kifikra hata kuchanganua mambo tangu miaka kibao naeleza watu haya mapyramid schemes hawaelewi
 
Nchi hii wajinga ni wengi ....na elimu ya kukariri hwajui kuchanganua mambo kabisa
Tunashindwa kuelewa siri ya mafanikio ni kufanya kazi tu. Tunatumia muda mwingi kwenye dini baada ya kufanya kazi. Wakoloni wametuweza kweli kuleta hizi dini hatutaweza kuendelea kamwe kama tutaendelea kuamini kila kitu Mungu atatufanyia.
 
Ilikuwepo D9 ikala hela za watu
Watu hawakujifunza

Ikaja Q Net
Hawakujifunza

Imekuja hii hatajifunza

Itakuja nyingine bado kuna wajinga watapigwa, afu wanataka mitihani ya LST ishushwe ubora
 
Wambane yule jamaa anajiita mshauri serikali yeye si alikuwa anaitangaza
Sana

Ova
Huyu hapa.
Jamaa wakisepa na kijiji, huyu ndo clue ya kufikia pesa zenu
Screenshot_20221011_062539.jpg
 
Watu mnaacha kufanya kazi mnakomaa sana na masuala mepesi ya kubeti , uliona wapi mtu amefanikiwa kirahisi, hakuna jambo rahisi dunuiani nawashangaa hata hawa jamaa wanaoshinda katika vijikanisa ati wanaombewa wawe matajiri wakati huyo mwenye kijikanisa mwenyewe anataka hela zao ili awe tajiri, kuna uvivu mkubwa sana wa kufikiria katika taifa
 
Back
Top Bottom