Kalynda imeondoka na kijiji, Viongozi hawajulikani walipo

Kalynda imeondoka na kijiji, Viongozi hawajulikani walipo

Bado wale wanaoliwa kila baada ya lisaa limoja na Radio Stations... Yaani wajinga 100,000 mnachangishwa Mil 100 kwa gharama ya 1000/- kila kichwa Cha mjinga mmoja ... Halafu wanamchagua mjinga mwenzao mmoja Wanampa Mil. 1 wao wanabaki na Mil 99/- [emoji23][emoji23] halafu wanampigia simu kumpongeza na awashauri wajinga wenzake wazidi kuchangisha hela zao....
Kwa kweli ni huzuni sana mkuu yaani ni kisanga kweli kweli
 
Nimesikiliza video kule twitter katika ukurasa wa The chanzo Kuna jamaa anasema 'alialika mpaka watu wa chuoni kwake ikiwa ni wanafunzi mpaka maprofessor na wamepigwa...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]yaani hili ni balaa elimu ya bongo nyoso yaani professor anapigwa kishamba kabisa.
Nchi hii ina wajinga wengi sana

Ova
 
Bado wale wanaoliwa kila baada ya lisaa limoja na Radio Stations... Yaani wajinga 100,000 mnachangishwa Mil 100 kwa gharama ya 1000/- kila kichwa Cha mjinga mmoja ... Halafu wanamchagua mjinga mwenzao mmoja Wanampa Mil. 1 wao wanabaki na Mil 99/- [emoji23][emoji23] halafu wanampigia simu kumpongeza na awashauri wajinga wenzake wazidi kuchangisha hela zao....
Nchi ina wajinga wengi sana

Ova
 
Kuna wengine wamelizwa leo 1 1 Dec. 2022.
Kampuni ya Lourin imesepa na pesa ya Wadanganyika!
Ipo kampuni nyingine mpya na vijana kibao wameanza kujiunga eti wanavuna mahela!
Kenge asikii hadi atoke damu masikioni.
 
Kuna wengine wamelizwa leo 1 1 Dec. 2022.
Kampuni ya Lourin imesepa na pesa ya Wadanganyika!
Ipo kampuni nyingine mpya na vijana kibao wameanza kujiunga eti wanavuna mahela!
Kenge asikii hadi atoke damu masikioni.
Watu wanajipigia

Wanafungua hayo madude nchini maana wanajuwa wajinga wako wengi
Sana

Ova
 
Kuna wengine wamelizwa leo 1 1 Dec. 2022.
Kampuni ya Lourin imesepa na pesa ya Wadanganyika!
Ipo kampuni nyingine mpya na vijana kibao wameanza kujiunga eti wanavuna mahela!
Kenge asikii hadi atoke damu masikioni.
Niliwakimbia hawa jamaa
 
Serikali Kimya, Wasomi Wamepigwa Wamechakaa
Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu, Tuchape Kazi Tukimtanguliza Mungu Mbele
 
Back
Top Bottom