Kalynda imeondoka na kijiji, Viongozi hawajulikani walipo

Kalynda imeondoka na kijiji, Viongozi hawajulikani walipo

Nusu ya Watanzania ni chini ya Miaka 18

Hesabu inayobakia 35,000,000
Kati yao asilimia 20 ni Wastaafu
Hivyo twabaki na Milioni 28

Kati ya hao Milioni 28 wanaojitambua ni 100,000
Hivyo misukure ni Milioni 27.9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo sijui mshauri wa serikali ,mkosoaji blhblh tu
Watu walimuona akili kubw
Wakati wajanja wanamuona
Mlopokaji tu

Ova
nchi ina mazezeta wengi hii eti CEO MCHINA ANAITWA THOMAS, TOKA LINI MCHINA AKAITWA THOMAS 😂

😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Nandy kawaita mara 3 😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
nandy.jpg
 
Ilikuwepo D9 ikala hela za watu
Watu hawakujifunza

Ikaja Q Net
Hawakujifunza

Imekuja hii hatajifunza

Itakuja nyingine bado kuna wajinga watapigwa, afu wanataka mitihani ya LST ishushwe ubora
Umesahau DECI na Wale wakulima wajanja wanaochunguzwa na Takukuru sasa.
 
jamaa yangu wakati inaanza tu aliweka 1m alivyoona patam baada ya kupata faida ya 1m akaongeza 2m ikawa 4m

akazungusha akapiga around 8.8m akatoa 8m yote akaacha laki 8tu then akawa anaizungushia hyo hyo mpka yametokea ya kutokea yuko zake miguu juu always hizi pyramids ingia mwanzoni lamba pesa then kimbia ukiingia mazma tu na tamaa umeishaaaaa
 
Back
Top Bottom