Kalynda imeondoka na kijiji, Viongozi hawajulikani walipo

Kalynda imeondoka na kijiji, Viongozi hawajulikani walipo

Hivi hata kama kukata tamaa ndio uambiwe kuna nyumba za kudownload? Au kuna pesa za kudownload? Au eti unaweza kudownload gari? Jamani jamani tutumie hata hizi akili ndogo tulizonazo.
akili gani mkuu watanzania 98% hatuna akili na hatujawahi kuwa na akili na hatuji kuwa nazo kamweeeee

kuna watu humu walipewa saa ya m5 eti itajidabo iwe 10 hahahaha

jana nilikuwa sehemu kijana kachakaa mimi nina nafuu eti anatoa matangazo ya kujiunga na free mason nilicheka sana
 
Niliwahi kushauri, Tanzania tuwe na mfumo wetu, kura za kuchaguwa Rais zisipigwe kwa kigezo cha Uraia au kutimiza miaka 18, inabidi na sisi tutengeze mfumo wetu wa college vote kama za Marekani ili Rais achaguliwe na wachache na mikoa yenye watu wajinga kama Morogoro na Tabora ipewe nafasi chache zaidi za kura za Urais.
Jiheshimu
 
View attachment 2383171
Jamaa kajianika vizuri mno. Huyu akichukiliwa maelezo ataeleza hao jamaa wapo wapi na pesa zinarudi.

Nimepitia tena akaunt ya Kalynda naona wanafuta posts zao kuondoa ushahidi
Huyo sijui mshauri wa serikali ,mkosoaji blhblh tu
Watu walimuona akili kubw
Wakati wajanja wanamuona
Mlopokaji tu

Ova
 
Watanzania badala ya kufanya kazi, wako busy wanakunywa kahawa na kutafuta pesa za rahisi za mitandaoni
Wapuz sana ,wanasubiria pesa za kudownload
Hakuna pesa nyepesi hata siku moja
Wengine kwenye biashara hiyo mln 1
Unaitafuta faida ya 130,000 na kwa mbinde alafu anakuja mtu anakuambia weka 1m baada ya mwezi utapata mln 5 umeona wapi hiyo

Ova
 
Wapuz sana ,wanasubiria pesa za kudownload
Hakuna pesa nyepesi hata siku moja
Wengine kwenye biashara hiyo mln 1
Unaitafuta faida ya 130,000 na kwa mbinde alafu anakuja mtu anakuambia weka 1m baada ya mwezi utapata mln 5 umeona wapi hiyo

Ova
Ngoja tujifunze kwanza.....
 
Anayezungumza kwenye hii video ni binamu yangu kabisa. Alikuja nyumbani ijumaa kunishawishi kujiunga. Hata kabla sijafanya shauri la kujiunga au la Kalynda wakakimbia. Kifupi watu hawajui tu nadhani wengi wanaojiunga wanajua kwamba ni scam schemes ila wanaamini mwanzoni watapiga hela, na kweli wa mwanzo wamepata hela na hawana hasara sasa hawa waliojiunga juzi hapo ndo wanalia. Na wengi walidhani aftaer six month itawashinda ila Kalyinda wameshindwa hata miezi minne haijaisha 😄
😄 😄 😄 😄 😄

Binamu aka BIG aka Mtu Mzito kama huko humu basi nakusalimu. .
 
Wakati deci inaanza ndy inavuma
Nlishawahi mzuia mtu maana alikuwa
Ameuza gari premio sasa anataka apeleke hela zote deci....
Tena jamaa wakati ule alikuwa hakimu......alinisikia ila baada ya wiki 1 tu,mlipuko ukatokea deci vurugu mechi.......
Kna siku wakati anatokea mahakama ya kinondoni akanipigia sim,hoyaa baharia uko wapi,naomba tukutane Jackie's bar opp na ofisi za osha pale
Jamaa alinitandika sana beer....
Nakunishukuru

Ova
 
Maelfu ya wahanga muda huu:
0FEB15F5-ED6E-42FB-8ADB-0A2EB61F40C3.jpeg
 
Anayezungumza kwenye hii video ni binamu yangu kabisa. Alikuja nyumbani ijumaa kunishawishi kujiunga. Hata kabla sijafanya shauri la kujiunga au la Kalynda wakakimbia. Kifupi watu hawajui tu nadhani wengi wanaojiunga wanajua kwamba ni scam schemes ila wanaamini mwanzoni watapiga hela, na kweli wa mwanzo wamepata hela na hawana hasara sasa hawa waliojiunga juzi hapo ndo wanalia. Na wengi walidhani aftaer six month itawashinda ila Kalyinda wameshindwa hata miezi minne haijaisha 😄
😄 😄 😄 😄 😄

Binamu aka BIG aka Mtu Mzito kama huko humu basi nakusalimu. .
Kalynda hawajashindwa bali wameshinda, walioshindwa ni wananchi walitapeliwa pesa zao.
 
Shida ya watu wengi wakishasikia tu kuna pesa wanataka kuipata bila kuifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom