Kwani wanakosa cha kusema, utasikia Maji ndio yana pump Gesi.
Anyway, umeme wetu kwa kiasi kikubwa umeunganishwa na grid,
Pale unakutana umeme kutoka kwenye vyanzo vyote, unaunganishwa halafu unatolewa,
A) Kuna kiwango cha mwisho kabisa cha maji ili Mitambo iweze kuzalisha umeme, chini ya hapo ni kuzima baadhi ya generator(mgao) au kuzima Zote(Giza).
Lakini hivyo hivyo
B) Kuna kiwango cha chini kabisa cha Umeme kinahitajika ku operate zile plant pale ubungo na kufanya kazi bila shida na kwenda kwa wateja, hivyo basi shida ndogo ikitokea kule (A), impact kubwa itaonekana huku (B) hivyo
Ni either u shutdown mtambo mmoja(kama imegawanyika) upunguze uzalishaji, matokeo yake ni mgao maana Sio maziwa haya useme eti uwape nusu nusu au basi uzime plant nzima..
Yote kwa yote hii hailalalishi hii kata kata, kuna haja gani kuunganisha wote? Bora wangefanya kwa zones.