Meragraphics
Member
- Dec 23, 2024
- 37
- 45
Vijana wengi siku za hivi karibuni wameonesha uzalendo wao kwa kujiunga na Jeshi La kujenga taifa (JKT) kwa kujitolea na kwa mujibu wa sheria pia.
Lakini idadi kubwa ya vijana Hao wanakosa ajira baada ya kuhitimu mafunzo yao na kumaliza mkataba wao jeshini, hivyo wanaishia kurudi mtaani na kuanza kujihusisha na shughuli zilizokinyume na sheria kama WIZI, ukabaja n. K.
Hii imekaaje kama ajira hazipo Kuna umuhimu wa vijana kwenda kwenye mafunzo?
Lakini idadi kubwa ya vijana Hao wanakosa ajira baada ya kuhitimu mafunzo yao na kumaliza mkataba wao jeshini, hivyo wanaishia kurudi mtaani na kuanza kujihusisha na shughuli zilizokinyume na sheria kama WIZI, ukabaja n. K.
Hii imekaaje kama ajira hazipo Kuna umuhimu wa vijana kwenda kwenye mafunzo?