Kama ajira hazipo Kuna umuhimu wa vijana kwenda kwenye mafunzo JKT?

Mimi binafsi siwezi mpeleka ndugu yangu kule jkt kama sina uwezo wa kumtoa kule nitampeleka nikiwa na uwakika wakumtoa kule kwenda kwenye ajira ila siwezi ni lawama
 
Ukijitolea haimaanishi ndo utaajiriwa mbona hata wao wanasema kabsa bora wangesema wanaenda kuwaajiri ndo mngelalamika nyie ni kama tu watu waliosoma chuo wakakosa ajira tena bora wa chuo ana ujuzi
 
Ni sahihi ndio maana vipo vyombo vingine vinavyochunga na kulinda nidham za raia na kutoa hukumu za kiraia
Ambazo so far nazo zina meno ya kumwajibisha Askar wa akiba kipindi akizingua
Ila wanatakiwa wasifundishwe vitu vyote kama matumizi ya silaa watu watajifunza kwenye kozi ya ajira ambayo atakayo bahatika kwenda
 
Ukijitolea haimaanishi ndo utaajiriwa mbona hata wao wanasema kabsa bora wangesema wanaenda kuwaajiri ndo mngelalamika nyie ni kama tu watu waliosoma chuo wakakosa ajira tena bora wa chuo ana ujuzi
Ni kweli lakini hao ndio nguvu zaki kubwa kujenga miradi mfano ukuta wa meleleni wamejenga vijana af wanakuja kuajiliwa watu wa mtaani mbaya sana hii
 
Kuwa kibaka au mwezi ni mentality ya MTU na sio Kwa sababu umeenda JKT na kukosa Ajira.

Then jaribu kusoma na kufatilia majukumu ya JKT utajifunza maana ya hilo Jeshi.
Mentality inajengwa na reasons behind
 
Wanatofauti sana graduate mwenye akili anajipanga na anatoka na mtaji wa kuanzia maisha ila kijana wakujitolea huwezi pata mtaji kwa posho ya 45k unayo pewa kila mwisho wa mwezi tofauti na graduate anaepewa laki6 kwa awamu mkuu
Nitakupa dada🤣🤣
 
Kwahiyo unaunga mkono JKT inazalisha ajira ya vibaka? Ndio national service act no 16-17 inavyosema kuwa vibaka wanazalishwa huko?

Vijana wakiingia JKT ndio ajira moja kwa moja?
Nini wanatoa huko?(lengo ni nini)
 
Hizo Ajira uchwara hata MTU asipozipata

Ni ujinga mkubwa Kijana smart kwenda
Jkt kulima mboga
 
Hakuna jkt mwizi wewe. Hao vijana wanajiheshimu sana waliotoka jkt
Hivi kwanini Jeshi lisiwachukue hao vijana wa Jkt?, wengine wanatabika tu mitaani kwa kulinda malindo yenye njaa kila leo kupoga vizinga, huku wakubwa wao wanoingia mikataba wakineemeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…