Hicho ni kivuli tu...economic recessions huwa hazina mbabe hata super powers huwa zinawakumba and they cannot mitigate kwa sababu myumbo/mdondoko wa uchumi huja na some unavoidable factors kama vita.... inayoendelea huko Ukraine. Ila sasa wabishi kuelewa kama wewe na kundi la wenzio mtakuwa mkilaumu tu Serikali bila kufahamu kwamba msambazaji mkubwa wa mafuta duniani muda huu yupo kwenye vita. Kwa hiyo huyo Magufuli angewalipia nyie hayo mafuta? na kwa muda gani?!! kuna vitu msiwe mnajitoa akili.Yote kwa yote tutakubaliana kuwa Magufuli angefanya maamuzi kuwasaidia watanzania wasiteseke na hii gharama za mafuta.
Kwahiyo hujui kwamba Corona ndio iliyomsomba?Kwenye ishu ya Corona wakati dunia nzima ikijifungia na kufata njia isiyo sahihi kushughulika na janga lile.
Baba yetu Magufuli alisimama kama kiongozi akaja na njia ambayo dunia nzima sasa inaifata kwenye kukabiliana na corona.
Naamini hata kwenye hii ishu ya mafuta, Magufuli angekuja na njia sahihi ya kusaidia watu wake wasiteseke na ugumu wa maisha unaosababishwa na gharama za mafuta kuwa juu. Angetafuta njia sahihi za kumlinda mwananchi asiumizwe na kupanda kwa bei za mafuta
Magufuli alikuwa na maono sana na aliwapenda watu wake hakutaka kuona wanateseka. Angetuvusha.
Hilo zee jizi liuwaji limeshakufa na halitarudi tenaKwenye ishu ya Corona wakati dunia nzima ikijifungia na kufata njia isiyo sahihi kushughulika na janga lile.
Baba yetu Magufuli alisimama kama kiongozi akaja na njia ambayo dunia nzima sasa inaifata kwenye kukabiliana na corona.
Naamini hata kwenye hii ishu ya mafuta, Magufuli angekuja na njia sahihi ya kusaidia watu wake wasiteseke na ugumu wa maisha unaosababishwa na gharama za mafuta kuwa juu. Angetafuta njia sahihi za kumlinda mwananchi asiumizwe na kupanda kwa bei za mafuta
Magufuli alikuwa na maono sana na aliwapenda watu wake hakutaka kuona wanateseka. Angetuvusha.
Hata COVID-19.Mafuta ni tatizo la dunia nzima!
Kumbuka kuna familia zinapoteza wapendwa wao kwa sababu ya kukithiri madawa ya kulevya.Mtoa hoja sikulaumu, ila kumbuka kuna familia tunapochart hapa hazina wapendwa wao, kisa ...tofauti za ideology na president Magufuli,..kumbuka Ben saanane yupo wapi?,Amory yupo wapi?,etc etc na mbaya zaidi hizi familia hazina closure kuhusu wapendwa wao, chato kuna grave ya president Magufuli, but kwenye family ya Saanane, Azory hawana hii, pls pls fikiria hizi familia maana nawe una familia
watu wa chini ndio watu gani hao?! Mwenyezi Mungu hakuumba mtu wa chini, wote tuko sawa. Labda useme WATU WAVIVU.
Acha kuweweseka..Magufuli alituvusha kwenye Corona wakati dunia inajifungia na hili angeweza.
Ha ha haMfuate Chato, atakutonya tu ,maana wewe kichwani hazimo.
Hata corona lilikuwa tatizobla dunia nzimaMafuta ni tatizo la dunia nzima!
Magaidi waliiba Tshs 1.5 Trilioni.Magaidi lazima yangetetea wafanyabiashara wapandishe bei kama yalivyofanya kwa acacia na tutashitakiwa MIGA
Kwaiyo baada ya kupanda Sukari aliiagizia Magunia kwa Magunia kutoka India sio au alifanyaje!Magu angetoa ruzuku kufidia kwa muda na ninaamini angeongea na Putin kama India na China tukanunua direct toka Russia... Hangaya hana uwezo huo... anaweza kutoa tu machozi kwa wimbo wa Christian Bella pale Chinangali sio kwa issue za masilahi mapana kwa nchi kama hili.
Kipindi chake ilipanda sukari tu...mijitu ikatoa povu kama imetiwa pilipili... sasa hivi kila kitu juu inasifia na kutetea... pumbavu kabisa
Aliagiza toka Brazil au hukuwepo ustadhi?Kwaiyo baada ya kupanda Sukari aliiagizia Magunia kwa Magunia kutoka India sio au alifanyaje!
Sasa kama Sukari ilimshinda atayaweza Mafuta?
Angeweza mkuu.Kwaiyo baada ya kupanda Sukari aliiagizia Magunia kwa Magunia kutoka India sio au alifanyaje!
Sasa kama Sukari ilimshinda atayaweza Mafuta?
Alifanya nini...?😳😳, Unamjua magufuli wa kwenye magazeti weweMagu alikuwa kiongozi haswa tukiweka mapungufu yake pembeni. Alitupenda watoto wake.
Nakuhakikishia asingeacha nchi nzima inalia vilio vya shida na yeye anakaa anatazama tu.
Bado mambo ni yale yale apo ishu sio kuagiza kwani hata hayo mafuta Still tunaagiza eti, au mliskia kutakua hakuna mafuta tena yanayoingia nchini!Aliagiza toka Brazil au hukuwepo ustadhi?
Tatizo huwa hamfuatilii Mambo,Belarus palikua na lock down!?Magufuli hayupo Chato, baba yetu yupo mioyoni mwa kila mtanzania.
Kipindi kama hiki uwa tunamkumbuka sana sababu ya uwezo wake wa kuchukua maamuzi ya kusaidia watu wa chini.