Kama alivyotuvusha kwenye janga la Corona, na hili la MAFUTA Magufuli angetuvusha!

Kama alivyotuvusha kwenye janga la Corona, na hili la MAFUTA Magufuli angetuvusha!

Mafuta ni tatizo la dunia nzima!
Hata Corona lilikua tatizo la Dunia nzima, au umesha sahau,jinsi Magufuli alivyotuvusha kwenye huo mtihani wa Corona!? Sasa Mama kapewa ka test tu ka Mafuta kupanda bei anayumbwisha na Wajanja akina Marope!!
 
Hizo ni siasa tu mkuu.. mfano Azory alipotelea kwenye battlefield uko kusini kama polisi wetu walikuwa wanauwawa je mwandishi wa habari anabakije salama
Upumbavu wako at its best, unamaanisha kuwa Azory aliuawa na wanausalama wetu ambao wamekula kiapo cha kutulinda, mke wa Azory anaeleza kuwa mme wake alikua abducted nyumbani, hakua kwenye battle field, serikali katili hadi kwa innocent people, ataungua hadi Nami nimkute anaungua ,ni serikali yake ambayo nchi yetu ilishughudia mauaji makubwa kwa raia wake, anzia Martin pale Ruvu hadi Coco ⛱,
 
Baba yangu angekuwepo, baba yangu angekuwepo, baba yangu angekuwepo. Kulia lia. Udhaifu na uyatima.

Nchi haipiganiwi na walio kaburini, nchi inapiganiwa na walio hai.
WEWE UPO HAI.
 
Ishu ya Corona na ishu ya Mafuta ni vitu viwili tofauti...

Mfumuko wa bei bado uko ktk range inayokubalika... Ukisema serikali itoe ruzuku ni sawa na kusema JPM angeweka lockdown kwenye ishu ya Corona maana yake serikali ingeumia zaidi kwa kukosa mapato na wananchi nao wangeumia zaidi kwa kupoteza kazi zao... Mafuta yamepanda bei dunia nzima na nchi wanachama wazalishaji wa OPEC hasahasa SaudiArabia amegoma kuongeza uzalishaji wakisema hatuwezi kufidia kiwango cha Mafuta na Gas kinachozalishwa na Russia hivo njia wanayotumia Tanzania ni sahihi kabisa maana ukisema utoe ruzuku swali ni Je utatoa mpaka lin? Acha maisha yajitafute.
Swala la Magufuli na Samia narudia tena kila zama na Nabii wake...
JPM hayupo na ata aangekuepo bado hali isingekua bora sana maana ata bei ya vitu haikuanzia kwa Samia ilianzia wakati wake rejea ishu ya Sukari,Mafuta ya kupikia nk...
 
Magu alikuwa kiongozi haswa tukiweka mapungufu yake pembeni. Alitupenda watoto wake.

Nakuhakikishia asingeacha nchi nzima inalia vilio vya shida na yeye anakaa anatazama tu.
Angekubomoa risasi ya kwenye masaburi sijui kama ungeongea huu utopolo wa kuweka mapungufu yake pembeni
 
Sukuma gang are pathetic
Jiwe aliyepandisha bei ya sukari kutoka 1500 hadi 3500 over night...
 
Yani unaanzisha uzi kabisaaa wa kumsifia mkuu wa malaika. Duh aisee kuna makabila mengine yana tabu sana loh!
 
Akwende huko.
Labda angeweka rehani makende yake.
Mtu yeyote ambaye hachimbi mafuta nchini kwake, mtu yeyote asiye na akiba angalau ya mwaka mmoja lazima anyooshwe na hii oil inflation
Tumewazoea
Kauli hizi hizi zakukatisha tamaa mliziongea kwenye janga la korona lakini Mwamba akatoboa.
Magufuli alikuwa mwamba na jiwe kweli kweli
 
Magufuli hayupo Chato, baba yetu yupo mioyoni mwa kila mtanzania.

Kipindi kama hiki uwa tunamkumbuka sana sababu ya uwezo wake wa kuchukua maamuzi ya kusaidia watu wa chini.
katika hao watanzania naomba mm unitoe kabisa mm sina roho ya kishetani
 
Kwenye ishu ya Corona wakati dunia nzima ikijifungia na kufata njia isiyo sahihi kushughulika na janga lile.

Baba yetu Magufuli alisimama kama kiongozi akaja na njia ambayo dunia nzima sasa inaifata kwenye kukabiliana na corona.

Naamini hata kwenye hii ishu ya mafuta, Magufuli angekuja na njia sahihi ya kusaidia watu wake wasiteseke na ugumu wa maisha unaosababishwa na gharama za mafuta kuwa juu. Angetafuta njia sahihi za kumlinda mwananchi asiumizwe na kupanda kwa bei za mafuta

Magufuli alikuwa na maono sana na aliwapenda watu wake hakutaka kuona wanateseka. Angetuvusha.
Mtaomboleza sana lakini hakuna kitakachobadilika Mungu wenu batili hayupo duniani milele.
 
Alishindwa sukari na mafuta ya kula........
 
Magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hajazikwa chato amezikwa mioyoni mwetu ,kwenye kipindi kigumu Sana Kama hiki Cha mwananchi kuteseka na kuachwa ahangaike Kama kuku was kienyeji hapo ndipo magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii alikuwa anaibuka na suluhisho mwanana uzuri wake alikuwa Ni researcher mzuri tu,kumbuka issue ya CORONA na SUKARI
 
Magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hajazikwa chato amezikwa mioyoni mwetu ,kwenye kipindi kigumu Sana Kama hiki Cha mwananchi kuteseka na kuachwa ahangaike Kama kuku was kienyeji hapo ndipo magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii alikuwa anaibuka na suluhisho mwanana uzuri wake alikuwa Ni researcher mzuri tu,kumbuka issue ya CORONA na SUKARI
Researcher! Ali search vizuri mitambo yake ya moyo. Amezikwa moyoni mwako. Mimi niliona akizikwa kwenye tope. Maana mvua ilinyesha.
 
Wakati anazikwa wewe ulikuwa umekaa wapi tayari kwa kushuhudia kwa macho yako ya nyama tukio like hakika alizikwa moyoni mwako kinachozikwa kwenye tope huwa hakiongeleki Tena, hakika umekiri kwa muongozo was macho yako,macho huangalia yanachokitamani na kuweka memory yake
 
Back
Top Bottom