Mf.mke anaring ringa na wewe unakisu mahali, mf. Mume anaringa na unahamu ya hatari
Tlaatlaah lazima anayejikomba siunamkubali?? .
Kuna tofauti yakuishi na mtu halafu hakutimizi na kuna mtu anaishi mwenyewe na hatimiziw na hakuna mtu amekuja kuishi na mtu ili asitimiziwe . Kila mtu anapenda atimiziwe . Nalazima umtimizie mtu mf. Mie lazima kama namtu nimtimizie hata kama ni mara 10 kwa siku lazima nimpe na sichoki kwa maana nikazi yangu. Imenileta hapo
umenikumbusha wimbo moja naupenda sana, una maneno haya apa chini...
"maringo ya nini, ewe mwanadamu, mwili wako na wangu vitaliwa mchangani"...
mkipendana kwa dhati ya moyo, hakuna maringo wala kijivunga kupeana penzi motomoto, ila mkilazimishana kupendana, mathalan kwasababu ya pesa, mali au tamaa za kimwili, huenda hayo ndio matokeo yake...
lakini mkipendana upeo hamuwezi kunyimana, mtasameheana, mtavumiliana, mtastahimiliana na hakuna atakae juta au kujutia mapenzi baina yenu...
ukiijua vema ladha ya kimwili na ya kiroho, ya mwenzi wako, hutapata nguvu, hisia, wazo, wala muda wa kuchepuka au kufikiria kuchepuka...
na ikitokea jaribu likakulemea,
ukafikia hatua hiyo basi, utajihisi ni muhalifu sana, msaliti na mwenye dhambi sana kwa mwenzi wako nyumbani, na matokeo yake unaweza usiweze kuperform tendo kwa mchepuko, kwasababu ya wasiwasi na huruma dhidi ya mke au mume wako unaempenda sana nyumbani...
unaweza jikuta unalia tu kwa majuto ya kumsaliti kwa mwenzi wako...
na wengine ili afike mshindo lazma avute hisia ya ladha ya mwenzi wake nyumbani la sivyo anaweza ishia njiani....
so,
hali huyo inweza wakumba zaid watu walio lazimisha kupendana kwa sababu wanazozijua woa na kwahivyo hakuna upendo wa dhati...
maringo yanarekebishika kwa upendo ...