Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Wenye hela ndo wanachapiwa sana sasa.Tuendelee kutafuta hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye hela ndo wanachapiwa sana sasa.Tuendelee kutafuta hela
Nimerudi babu,. Vipi kuna mpya huko mjini?Mungu ni mwema..hadimu sana binti yangu
hamna naona maeneo mengi ya nchi yanapata mvua za wastani so ni kilimo mashambani kisha tunakuja kupachungulia mjini kidogoNimerudi babu,. Vipi kuna mpya huko mjini?
Sawa,. Si tupohamna naona maeneo mengi ya nchi yanapata mvua za wastani so ni kilimo mashambani kisha tunakuja kupachungulia mjini kidogo
🤝mimi hua nashanga sana mwanaume unaruhusu vipi ubongo wako kuwa na nafasi ya kumdadavua mwanamke hadi kufika hatua ya kudadisi simu yake
mwanaume unatakiwa ukihisi tuh unapiga chini na hilo zoezi halihitaji ushauri bali ni mamuzi binafsi namba ya wanawake ni kubwa sana hakuna haja ya kupoteza muda na mjinga moja
Jidume langu hilo limetoa ushauri wa kibabe.. nakupenda sana daddyBadala ya kuzingatia hy simu ndogo, mm nashauri achana na demu mwenye simu mbili
Okay kwahiyo tusiweke bleachWadau wamesisitza sana umakini unahitajika Kwa pisi zenye bleach
Kudadadadeki umetisha kimano ManoIla poleni sana mnaodhani mna uwezo wa kumtuliza mtu pasipo kujua kuwa utulivu ni chaguo binafsi la mtu na sio shinikizo kwa mtu wa nje. Kama hakuoni wewe kama sababu ya kutulia, hata ukimchunga hatotulia kwa sababu huna umuhimu huo unaojipa katika maisha yake.
Kikubwa na cha msingi zaidi usikikague hicho kiswaswadu kama hauna ubavu wa kumuacha.
Kabisa afu namba utakuta whatsApp ipo kwa tambo lakn line ipo kwa ile ndogo. Unachat nae huku whatsApp afu kule kwa kitochi anaongea na mtuye mwingine. Upo sahihi kwa asilimia 100%Hapa Sina maelezo mengi
Usikariri vikuku, blichi, kipindi puani, tattoo, pia ogopa pisi ya simu mbili yaani tambo na kiswaswadu
Kama ana tambo na kiswaswadu basi we jua tambo halina magendo, kiswaswadu ndo kina uhalifu mwingi
Jambo Dr,unapoteza muda wako bure kwa ufupi usimpe nafasi mwanamke mpumbavu kwenye maisha yako ukimhisi tuh mpe kwaheri songa mbele ni rahisi sana
Hapo u Swahili mwingi na Siasa tu, cover it's a cover, hisia ni hisia na hazifanani na interpretation ya cover sio one to one for everyone na hakuna common understandable signals in their righteous situationJudging people by their looks isn't superficial; it's instinct. We read faces like a book, because sometimes the cover is the only truth you get before the story unfolds😌
Huwezi ilinda ile,peke yako hutoshi,acha Wana wakusaidie kusugua kutuTusilinde matunda ya katikati
Vitochi nilijua vinaitwa viswaswadu, lakini 'touch' kumbe zinaitwa 'tambo'!Hapa Sina maelezo mengi
Usikariri vikuku, blichi, kipindi puani, tattoo, pia ogopa pisi ya simu mbili yaani tambo na kiswaswadu
Kama ana tambo na kiswaswadu basi we jua tambo halina magendo, kiswaswadu ndo kina uhalifu mwingi